Shule aliyopelekwa Polepole ilimfundisha jinsi ya kucheka kama Balozi?

Shule aliyopelekwa Polepole ilimfundisha jinsi ya kucheka kama Balozi?

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Ninaweza nisieleweke, ila kimsingi tangu Mh. Polepole ateuliwe na aripoti ubalozini nchini Malawi Kuna jinsi anacheka kwa kweli, mpaka ukimwona kwenye picha unashindwa kuelewa mbona anacheka kicheko cha hela yote?

Saa nyingine picha anazotupia kwenye mtandao hazioneshi content ya kumfanya acheke, lakini yeye anakuwa amekenua mpaka jino la mwisho linaonekana.

Sasa nataka kujua, hilo ndiyo somo ambalo Samia Suluhu Hassani alilazimika kutuongezea tozo Ili tumpeleke Balozi shule ajifunze?

Yaani yeye akikutana na mtu anacheka, amekuwa kama wanafunzi wa jinsia ya kike wanaoishi boarding wafungiwao muda mrefu pasipo kulishwa mafuta ya taa kwenye maharage.

20220826_175815.jpg
20220826_175813.jpg
20220825_193919.jpg
 
Hata Mimi Kuna viongozi wanaopenda kuchekacheka huwa Wananiingiza kwenye hofu kwani matendo yao hayafanani na furaha waliyonayo kwa mfano fuatilia vicheko vya kina;

(1) Tulia Ackson.

(2)Mulamula.

(3) Dorothy Gwajima.

(4)Mwigulu Nchemba.

(5)Kasimu Majaliwa.

Hawa ukiwaona unajua ni kicheko Cha uchawachawa kabisa
 
Samia alijua kumfunga Polepole jiwe kubwa shingoni na kumzamisha baharini! Shikamoo mama Samia. Wewe ni bingwa wa siasa za kimikakati Afrika mashariki na kati, pamoja na kusini mwa jangwa la Sahara... 🙌
 
Hata Mimi Kuna viongozi wanaopenda kuchekacheka huwa Wananiingiza kwenye hofu kwani matendo yao hayafanani na furaha waliyonayo kwa mfano fuatilia vicheko vya kina;

(1) Tulia Ackson.

(2)Mulamula.

(3) Dorothy Gwajima.

(4)Mwigulu Nchemba.

(5)Kasimu Majaliwa.

Hawa ukiwaona unajua ni kicheko Cha uchawachawa kabisa
Huku chamani kila mtu ana pembe. Kwa hiyo 'tumekubaliana' kuishi kwa kuheshimiana...
 
Hata Mimi Kuna viongozi wanaopenda kuchekacheka huwa Wananiingiza kwenye hofu kwani matendo yao hayafanani na furaha waliyonayo kwa mfano fuatilia vicheko vya kina;

(1) Tulia Ackson.

(2)Mulamula.

(3) Dorothy Gwajima.

(4)Mwigulu Nchemba.

(5)Kasimu Majaliwa.

Hawa ukiwaona unajua ni kicheko Cha uchawachawa kabisa
Huyo namba tatu ndio kati ya watu wasiokua na aibu hapa nchini.
 
HV polepole Ni mwenyeji wa wapi ?

B ,HV polepole ameoa je amemuoa Nani
C ,HV polepole Ana watoto kweli je ni kina Nani wanaitwa Nani ?


Nimjuavyo Mm polepole amearise 2012 ktk bunge la katiba au wajumbe walikuwa wanakuzanya maoni juu ya rasimu ya katiba gafla bin fuu akaja kujiunga na magufuli na kuwa mkuu wa willaya, gafla akawa katibu mwenzi ,gafla Yuko bungeni gafla bin vuu Ni balozi wa Malawi ,

Mwanzo alionekanan Ni kijana mpe haki na mzalendo asiye tiliwa mashaka hasa kweny misamamo yake ktk bunge la katiba na makongamano ya kiktiba jamaa alijizolea umaaharufu sna toka amejinga na sukuma gang ndio akapoteza uelekea na kuchukiwaa na watu wengi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
HV polepole Ni mwenyeji wa wapi ?

B ,HV polepole ameoa je amemuoa Nani
C ,HV polepole Ana watoto kweli je ni kina Nani wanaitwa Nani ?


Nimjuavyo Mm polepole amearise 2012 ktk bunge la katiba au wajumbe walikuwa wanakuzanya maoni juu ya rasimu ya katiba gafla bin fuu akaja kujiunga na magufuli na kuwa mkuu wa willaya, gafla akawa katibu mwenzi ,gafla Yuko bungeni gafla bin vuu Ni balozi wa Malawi ,

Mwanzo alionekanan Ni kijana mpe haki na mzalendo asiye tiliwa mashaka hasa kweny misamamo yake ktk bunge la katiba na makongamano ya kiktiba jamaa alijizolea umaaharufu sna toka amejinga na sukuma gang ndio akapoteza uelekea na kuchukiwaa na watu wengi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
HV polepole Ni mwenyeji wa wapi ?

B ,HV polepole ameoa je amemuoa Nani
C ,HV polepole Ana watoto kweli je ni kina Nani wanaitwa Nani ?


Nimjuavyo Mm polepole amearise 2012 ktk bunge la katiba au wajumbe walikuwa wanakuzanya maoni juu ya rasimu ya katiba gafla bin fuu akaja kujiunga na magufuli na kuwa mkuu wa willaya, gafla akawa katibu mwenzi ,gafla Yuko bungeni gafla bin vuu Ni balozi wa Malawi ,

Mwanzo alionekanan Ni kijana mpe haki na mzalendo asiye tiliwa mashaka hasa kweny misamamo yake ktk bunge la katiba na makongamano ya kiktiba jamaa alijizolea umaaharufu sna toka amejinga na sukuma gang ndio akapoteza uelekea na kuchukiwaa na watu wengi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
HV polepole Ni mwenyeji wa wapi ?

B ,HV polepole ameoa je amemuoa Nani
C ,HV polepole Ana watoto kweli je ni kina Nani wanaitwa Nani ?


Nimjuavyo Mm polepole amearise 2012 ktk bunge la katiba au wajumbe walikuwa wanakuzanya maoni juu ya rasimu ya katiba gafla bin fuu akaja kujiunga na magufuli na kuwa mkuu wa willaya, gafla akawa katibu mwenzi ,gafla Yuko bungeni gafla bin vuu Ni balozi wa Malawi ,

Mwanzo alionekanan Ni kijana mpe haki na mzalendo asiye tiliwa mashaka hasa kweny misamamo yake ktk bunge la katiba na makongamano ya kiktiba jamaa alijizolea umaaharufu sna toka amejinga na sukuma gang ndio akapoteza uelekea na kuchukiwaa na watu wengi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom