BPM
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,760
- 576
elimu na ibada vinaenda pamoja,ndio maana shule za seminari zinafanya vizuri kwa kua wana abudu kwa sana!sasa vijana wa kiislam kama hawana mahali pa kuabudia itakuajee? Watakua wavuta bangi na elimu
na kwenye shule za kiislam nako wajenge makanisa????

