Shule aliyosoma Mkapa yafungwa kwasababu ya udini (waislam vs wakristu) ni kasheshe!

Shule aliyosoma Mkapa yafungwa kwasababu ya udini (waislam vs wakristu) ni kasheshe!

Status
Not open for further replies.
ndanda ni shule yangu, kuna chumba kipo kat ya mtandi na ilulu domitor ndo kilikuwa km msikit na ss tulikuwa na chapel main gate, heb mdau nipe detail wao wanataka wajengewe msikit kbsa ndan ya eneo la wamisionar?
 
Hao watoto sio wajinga kiasi hicho, ni lazima kuna sababu nyingine..

Kama ipo sababu nyingine basi ni siri yao moyoni, wanalotamka tukasikia ni kudai kujengwa msikiti ndani ya eneo la shule na mabadiliko ya uongozi wa serikali ya wanafunzi ( kaka mkuu na msaidizi wake ni wakristo).

Hawa vijana inavyoonekana wanapewa shinikizo toka mahali fulani, naamini hivi kwa vile pale shuleni hakuna watu wa dhehebu lingine waliopewa chumba maalum cha kuabudu isipokuwa wao. Kama ni suala la usawa kama FF anavyodai, ndani ya eneo la shule hakuna kanisa.

Nionavyo mimi: Kwa vile JK amekwisha bariki suala la udini ningeshauri serikali yake kufanya moja kati ya haya yafuatayo:-
1. Kujenga nyumba za ibada kwa kila dhehebu kwenye kila shule ya serikali.
2. Kuhamisha wanafunzi wanaoona wanahitaji zaidi ibada na kuwapeleka kwenye shule ambazo hitaji lao litatimizwa.
3. Shule za kanisa zirudi kanisani na za msikiti ziende msikitini.

Ni maoni tu msijenge chuki.
 
Utakuta wanapapulishwa na li COMPLICATOR tena lenye midevu,suruali fupi,elimu la saba,lina mijini 20 na muda wote likimuona mkristu linatamani kumchinja eti kisa likimchinja mkristu litapokelewa peponi.JAMANI MACOMPLICATOR wa kiislamu hebu waacheni watoto wasome msiwapandikizie ujeuri au kisasi kwa maana MUNGU wa kweli hafanani na mambo machafu jamani.Mi pale nimesoma na napajua sana kuna msikiti mkubwa upo jirani na shule maeneo ya Nandope mkubwa sana ambapo kila ijumaa huwa wanaenda kuswali na hata masomo husitishwa siku hiyo pia nilikuwa nakaa bweni opposite na ule na ile nyumba maalumu waliopewa waislamu kuabudu na sijawahi kuona wamejaa mpaka ile nyumba isitoshe HAPA KUNA SHINIKIZO KUTOKA NJE kwani wanafunzi wa enzi zote wajaliona hilo mpaka wa mwaka huu ndo wagome?ACHENI KUSHIKIWA AKILI Enyi vijana wa kiislamu.Hata hilo kanisa halipo ndani ya eneo la shule na dini zingine zinatumia madarasa kufanyia ibada wakati wa jioni ni WAISLAM tu ndio wenye special building la kufanyia ibada ndani ya eneo la shule.Mambo ya kuamini eti ukifa unapigania dini tena pasipo kujali aina gani ya ugomvi unaenda peponi ni UJINGA USIO VUMILIKA ndio maana mnapoteza waislamu wenzenu walioelimika na kuamua kuwa wakina ALLY jina tu kutokana na mafunzo kuleta crack sound vichwani mwao na kubakia na MACOMPLICATOR wakiwaendesha ovyo ovyo.
 
Hivi watoto kuomba eneo la kufanyia ibada ni udini???

Acheni ujinga, wapewe eneo la kufanyia ibada kuna tatizo gani hapo..

Mkuu wa shule either ni kilaza au mdini
 
Hivi watoto kuomba eneo la kufanyia ibada ni udini???

Acheni ujinga, wapewe eneo la kufanyia ibada kuna tatizo gani hapo..

Mkuu wa shule either ni kilaza au mdini

Lione...nalo hili..
 
Kwanza kabisa aliyeanzisha hii thread kakosea. Mkapa alisoma shule ya kigonsera iliyopo iliyokuwa seminary kabla ya kuhamishiwa Likonde. Watu wanajichanganya kwa kuwa zote ni shule zilizokuwa zikimilikiwa na wamisionari wa kibenedictini.

Waislam kudai msikiti ni suala lisiloingia akilini kwa kuwa serikali haijawahi kujenga makanisa katika shule zake. Maoni yangu ni kwamba kanisa ndilo lingedai kunyanganywa shule pamoja na kanisa, kwa kuwa ubinafsishaji ulikuwa ni kwa shule na sio makanisa. Hivyo kama shule ni ya serikali, kanisa sio shule basi kanisa lirudishwe kwa wamisionary. Lakin kwa kuzingatia mazingira na jiografia ya ujenzi wa makanisa ndani ya shule, ni vyema waislam wakafundishwa ukweli huu wa kihistoria.


 
Mi nilifikiri Mkapa alisoma Chidya!!! Nafikiri si Ndanda jamani ni Chidya.
 
Kwa kadri ninavyofahamu shule ya Ndanda ilijengwa na Wamissionary wa Kiroma miaka mingi iliyopita,PAMOJA NA HOSPITALI KUBWA TU.
Mwl Nyerere alibinafsisha shule kuwa mali ya serikali ili watu wote wapate elimu.Kitu ambacho serikali ilishindwa kufanya ni kuhamisha majengo ya shule yawe mbali na eneo la mission.
Kwa kipindi cha zaidi ya miaka 50 ya uwepo wa shule hii, msukuwa wa kutaka kujenda msikiti ndani ya mission unatoka wapi?
Kwa nini msikiti ujengwe leo na sio jana?
 
This is an important observation!! Kila dhehebu likidai kujenga nyumba ya ibada itakuwaje jamani. Fukuza takataka wakasome madrasa

Eeeee ! wewe naona umeenda mbali sana ! nani takataka? na Madrasa hapa imeingiaje? mbona mnaepnda kuchanganya mambo! hao wanadai haki yao ya msingi! muumin wa kiislam " sio muislam" muumin wa kiislam anatakiwa aendane na kitabu chake kinavomueleza! anatakiwa aswali mara tano kwa siku! na lazima anaposwalia pawe pasafi yaani "PATAKATIFU" kumbuka hata nabii musa alivua viatu wakati anaingia katika "sinagogi" msikiti wa kiyahudi , akanawa" kutawadha" na akaendelea na ibada ! nyie mnataka hawa watoto waswali hata sehemu wanayokanyaga watu na viatu vilivokanyaga kinyesi?

Mnadhani sehemu ya ibada ya kiislam ni sawa na hayo makanisa mnayoyasema? watu wanaingia na vichupi kanisani ! uchi kabisa eti anaenda kufanya ibada! wanakanyaga mavi wanaingia kanisani eti mahali patakatifu, na kwa mantiki hiyo na waislamu nao wafuate mila zenu ! wewe usitukane watu hapa! acheni jazba tafadhali!
 
Kwanza kabisa aliyeanzisha hii thread kakosea. Mkapa alisoma shule ya kigonsera iliyopo iliyokuwa seminary kabla ya kuhamishiwa Likonde. Watu wanajichanganya kwa kuwa zote ni shule zilizokuwa zikimilikiwa na wamisionari wa kibenedictini.

Waislam kudai msikiti ni suala lisiloingia akilini kwa kuwa serikali haijawahi kujenga makanisa katika shule zake. Maoni yangu ni kwamba kanisa ndilo lingedai kunyanganywa shule pamoja na kanisa, kwa kuwa ubinafsishaji ulikuwa ni kwa shule na sio makanisa. Hivyo kama shule ni ya serikali, kanisa sio shule basi kanisa lirudishwe kwa wamisionary. Lakin kwa kuzingatia mazingira na jiografia ya ujenzi wa makanisa ndani ya shule, ni vyema waislam wakafundishwa ukweli huu wa kihistoria.



Hapa angalau umenena ni kukaa na kuwaelimisha na kuwatafutia sehemu mbadala ya kusalia, kwa sababu SALA NI LAZIMA KWA MUUMIN WA DINI YA KIISLAM! sio kutukana watu bila sababu, kitu kidogo madrasa ! hamjui hadhi ya madrasa nyie, acheni kubabiababia!
 
Hapa angalau umenena ni kukaa na kuwaelimisha na kuwatafutia sehemu mbadala ya kusalia, kwa sababu SALA NI LAZIMA KWA MUUMIN WA DINI YA KIISLAM! sio kutukana watu bila sababu, kitu kidogo madrasa ! hamjui hadhi ya madrasa nyie, acheni kubabiababia!

Kila mtu anajua hadhi ya vitu vilivyomo katika dini yake. Usiwalazimishe watu wasioamini dini yako waone hadhi ya vitu vya dini yako sawasawa na wewe uionavyo.
 
Kwa wale ambao wamesoma Mzumbe Sec kuna msikiti uliojengwa katika mpaka wa Mzumbe chuo na sekondari. Umemaliziwa katikati ya miaka ya tisini. Wakristo hawajalalamika, ila wamekuwa wanatumia madarasa ya Mzumbe chuo na Mzumbe secondary kwa ajili ya ibada. Sijui ndio kama zile nafasi za upendeleo kwa waislam kama vile ilivyo kwa wabunge wa kuteuliwa?
 
Shule ni ya serikali,ila ni majengo ya kanisa la roman,karibu sana na shule kuna lkanisa la roman,so wanataka kuwe na msikiti pia,its nonsense

Serikali inabidi iwarudishie ROMA wenyewe shule yao nao ndo wataamua wafanyeje hapo mgogoro utakuwa umekwisha. Misikiti wakajenge majumbani mwao sio shuleni
 
Wakristu waongeze kasi ya kupiga buku waachane na hao wanaotaka nafasi za uongozi ili watekeleze ajenda zao binafsi.....necta ni mwalimu mzuri sana mwisho wa siku atawapa stahiki yao kama kawaida lazima washike mkia. Na hivi waziri wa elimu na katibu wake ni wa dini yao hawatakuwa na cha kujitetea.
ni ujinga na upumbavu kukashifu dini za watu. unajiona mjanja kuandika upumbavu kama huu! yaelekea una matope kichwani. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika hii pumba! Yaelekea umetoroka mirembe
 
Serikali inabidi iwarudishie ROMA wenyewe shule yao nao ndo wataamua wafanyeje hapo mgogoro utakuwa umekwisha. Misikiti wakajenge majumbani mwao sio shuleni
ushauri mzuri sana ila mwisho umeharibu! shule warudishiwe roma na kama hawatarudishiwa basi msikiti ujengwe! msikiti ni nyumba ya ibada kama ilivyo kanisa na si bar ya mbege! sioni sababu ya wajinga kuchukia mskiti na kukashifu
 
Mmm mkapa kasomea uko, tuchunguze kwani shule hii itakuwa mtambo wa kuzalishia mafisadi
 
Mambo mengi yanapaswa yatutoe kwenye jiza cha kufikiri.
1. Dhana ya udini: Hapa nitadodosa haya: kabla ya kutoa lawama kwa yeyote tafakari namna uchaguzi ulivyokwenda na ushiriki wa misikiti na makanisa katika kuwapandikiza wagombea. Hili huhitaji 'degree' wala 'diploma' kulibaini bali ubinadamu wa kawaida tuliojaliwa na Muumba.
2. Ndanda: Kanisa katoliki lilinyang'anywa ile shule pamoja na majengo ya shule si shule tu: ukweli ni kuwa kanisa lililojengwa pale lilikuwa la jumuiya yote ya waroma si wanafunzi pekee. Waislamu, ambao pia ni wanafunzi wa pale, walipa kodi wanahaki ya kuabudu, ila busara inahitajika, je mazingira ni mwafaka kwa msikiti? Wasio waroma lakini ni Wakristo wanasali wapi? Ndanda ni mahali ambapo shughuli zote za kanisa, pamoja na malezi ya masista na mapandri yanafanyika! Ni mahali palipotapakaa uturi wa bibilia!!! Waislamu nawashauri haya: a) Tumieni msikiti ulio nje ya maeneo hayo b) Zingatieni Masomo ili nanyi mfungue himaya zenu c) Mwambieni kiongozi wenu aandike barua ya kuomba mrudi shuleni na kuendelea na masomo d) Kama umbali wa msikiti unaathari kubwa kwa ibada zenu, ombeni chumba cha kudumu hapo shuleni! Mmenyimwa? Nawatakia uamuzi wenye busara katika suala hili.
 
Bdo kdgo wataomb kujengewa mskit bungeni hawa jamaa bwna.
 
Hapa angalau umenena ni kukaa na kuwaelimisha na kuwatafutia sehemu mbadala ya kusalia, kwa sababu SALA NI LAZIMA KWA MUUMIN WA DINI YA KIISLAM! sio kutukana watu bila sababu, kitu kidogo madrasa ! hamjui hadhi ya madrasa nyie, acheni kubabiababia!

Tangu lini nyie mnaelimishwa na kuelewa.HUWA NI VIGUMU KUELIMIKA NDIO MAANA MNAFANYA MAMBO YA KUJIDHALILISHA BILA KUJALI EFFECTS ZAKE KWENYE JAMII.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom