Shule aliyosoma Mkapa yafungwa kwasababu ya udini (waislam vs wakristu) ni kasheshe!

Shule aliyosoma Mkapa yafungwa kwasababu ya udini (waislam vs wakristu) ni kasheshe!

Status
Not open for further replies.
Nadhani mkuu wa shule bado ni Mr Sowan David, na kwa hiyo sababu uliyosema (kuhusu ukiranja) ni kichokoo tu, wiki moja iliyopita waliandamana kudai wajengewe msikiti shuleni (kumbuka, shuleni hapo hakuna kanisa), wakristo (UKWATA, CASFETA, ASA nk) huwa wnasali madarasani. Waislamu wamepewa jengo lao moja kwa ajili ya ibaada na ofisi ya jumuiya yao.

Inakera sana kuona vijana wanaoandaliwa kuwa wasomi wanasukumwa na suala la kidini tena katika hali hasi kabisa ya kutaka kupendelewa, wangegoma wakitaka kuwepo na nafasi za viti maalumu za ukiranja kwa dini yao ningewaelewa lakini kwa hili, la, uchaguzi unafanyika wanagombea na hii ni shule ya serikali hivyo suala la dini linabaki kuwa lako binafsi.

Japo kufukuza wote sio suluhisho, napendekeza pande zote zikae na kama vp jengo wanalotaka kujenga msikiti likajengwe liputu, kwenye shamba la shule
 
Mbona rais na makamu waote dini moja mbona dini nyingine haihoji wala kulalamika? hao wamewahi kujiuliza swali hili au wanafikiria kwa kutumia nini?
 
Haki hizi tunazodai siku hizi, mhhh! Kama ni kweli, those boys don't know...they are wasting their precious asset, which is time! If they want to compete equally, then they should work hard on raising their standards. Hatutakuja kuongozwa na wajinga wajinga tena.
 
Shule ni ya serikali,ila ni majengo ya kanisa la roman,karibu sana na shule kuna lkanisa la roman,so wanataka kuwe na msikiti pia,its nonsense

kanisa la Roma liko nje ya eneo la shule na lipo pale kwa historia, sio kuwa wamependelewa. Nyie watoto waislamu, kuweni na ustaarabu
 
Hiyo shule imejengwa na wamisionari na serikali ikaitaifisha. kwa bahati mbaya imezungukwa na maeneo yenye investments za hao watu wa dini, sijui hilo eneo la kujenga msikiti watalipata wapi, labda wajenge ndani ya eneo la shule. na wakijenga ndani ya shule na wakristo nao wanaweza kuanza kudai kanisa lijengwe. Hivi kweli kutokuwepo msikiti au kanisa karibu na shule kunawazuia kuabudu?

Wenzao vyuo vikuu wanapewa lecture rooms. Yawezekana kabisa kudai msikiti na wakapewa ajabu iko wapi hapo kama idara zote nyeti, mikoa na jeshi lapolisi wanalimiliki? Wanatamani kuwa maalhaji na hajats
 
Mbona rais na makamu waote dini moja mbona dini nyingine haihoji wala kulalamika? hao wamewahi kujiuliza swali hili au wanafikiria kwa kutumia nini?
Katika hilo wao huwa wanahesababu wameshinda ................... na wanataka washinde na pale ndanda....... WAO KILA KUKICHA NI KUSHINDANA TU........ wakristu wakitoa tamko...nao wanatoa, lakini kutoa kwao si kwa sababu wanahitaji kufanya hivyo... la hasha ila kwa vile wengine wametoa
 
Kama wanataka msikiti basi waachane na shule waende wakasome misikitini maana misikiti iko mingi Bongo. Huu nao ni uchokozi japo ni wa kichovu. Yaani nikukaribishe nyumbani kwangu halafu utake kulala na kitandani kwangu! Hii ni tabia ya paka. Hivi msikiti au kanisa na elimu wapi na wapi? Hawa watoto wanatumwa na magaidi wadai mambo ya kijinga ili wapate sababu ya kulipua shule. Maana hata al shabaab walianza hivyo huko Kenya kwa kufanya uchokozi mdogo mdogo na sasa wanapata cha moto.
 
Wangetokea watu mia nane wenye ufikiri mbovu kama wako basi dini flani ingeandamana kumpinga JK na makamu wake hapa TZ.

hahaha ... mshabiki wa VINEGA kama wewe ukiongea pumba kama hizi siwezi kukulaumu....
😛oa


 
avoid the ignorant." (Qur'an 7:199)

kama ndivyo, WALUTHERI wadai KANISA LAO ndani ya shule. WASABATO NAO wasirudi nyuma. BUDHALIST nao wadai MAHEKALU yao, AHMADIYA wadai MSIKITI WAO, WAMASAI wadai mahali pa ibada za kimila hapo hapo. PATATOSHA KWELI?
 
avoid the ignorant." (Qur'an 7:199)

kama ndivyo, WALUTHERI wadai KANISA LAO ndani ya shule. WASABATO NAO wasirudi nyuma. BUDHALIST nao wadai MAHEKALU yao, AHMADIYA wadai MSIKITI WAO, WAMASAI wadai mahali pa ibada za kimila hapo hapo. PATATOSHA KWELI?
 
Shule ya sekondari ya ndanda imefungwa kwa muda usiojulikana,kufuatia mgogoro wa kidini,wanafunzi wakiislamu wanadai eneo la kujenga msikiti eneo la shule

WALUTHER nao wadai kujenga KANISA lao, WASABATO nao. WAANGLIKAN nao, WABAPTIST nao WAMENÖNITE nao, WAOTHODOX nao, WAOPTIC nao. MASHAHIDI WA YEHOVA nao. BUDHALIST nao wadai kujenga HEKALU, HAMADIYA wadai MSIKITI. MASAI nao wadai eneo la kufanyia MILA patatosha kweli. WAISLAMU ACHENI UMAAMUMA!
 
Shule ilikuwa Ilijengwa na RC. Ikataifishwa na serikali. Sasa intakiwa kubinafsishwa kwa DINI ZOTE. Kwa kuwa sasa Serikali yetu haina DINI. Sipendi sana kuamini kama Uislamu ni "Msikiti" au Ukristo ni "kanisa". Mkristo atabakia kuwa mkristo bila hata Kanisa na Muislamu atabakia kuwa muislamu bila hata msikiti kama tukifuata "IMANI" zetu ambazo hazipatikani wala hazihifadhiwi kwenye majengo ya ibaada.
 
WALUTHERI nao WADAI UJENZI WA KANISA LAO, WASABATO NAO. WAOPTIC NAO, WAMENONITE NAO, WAOTHODOX NAO, WABATIST NAO, WAMOROVIAN NAO. WABUDHALIST WADAI UJENZI WA HEKALU LAO, WASHINTO NAO. AHMADIYA NAO wadai ujenzi wa MSIKITI WAO. MASAI NAO WADAI ENEO LA KUFANYIA IBADA ZAO ZA KIMILA, patatosha kweli?
 
Wakristu waongeze kasi ya kupiga buku waachane na hao wanaotaka nafasi za uongozi ili watekeleze ajenda zao binafsi.....necta ni mwalimu mzuri sana mwisho wa siku atawapa stahiki yao kama kawaida lazima washike mkia. Na hivi waziri wa elimu na katibu wake ni wa dini yao hawatakuwa na cha kujitetea.
 
Udini umejaa wizara ya elimu kama ilivyo NSSF,mambo ya ndani etc
 
Wenzao vyuo vikuu wanapewa lecture rooms. Yawezekana kabisa kudai msikiti na wakapewa ajabu iko wapi hapo kama idara zote nyeti, mikoa na jeshi lapolisi wanalimiliki? Wanatamani kuwa maalhaji na hajats
Lakini halijajengwa kanisa ndani ya eneo la shule... wakati nasoma hapo ilikuwa siku za kuabudu wakristo wanatoka nje ya shule na hata waisilamu nao walikuwa wanaruhusiwa kutoka siku ya kuswali. tena wakati ule tulikuwa tukivaa kaptula lakini waislamu walikuwa wakiruhusiwa kuvaa suruali kutokana na imani yao
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom