Shule binafsi hazina msaada kwenye badiliko ya Elimu kama mazingira ni haya.

Shule binafsi hazina msaada kwenye badiliko ya Elimu kama mazingira ni haya.

robbyr

Senior Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
129
Reaction score
221
9df99f4b01e6fd78bc11fd7b021eace8.jpg


Katika kasi ya mabadiliko ya mtaala niliona shule binafsi kama chachu kwa sababu ya uwezo wa kuweka miundo mbinu kwa ajili ya kuisaidia serikali ila kwa mazingira haya naona giza.

Siandike kuweka data ila kwa uzoefu wa miaka minne ni udhibitisho tosha.

Unanyanyasaji wa walimu, baadhi ya shule zinanyanyasa walimu hasa kwenye malipo hii ni kutokana na idada kubwa ya wahitaji wengi hivyo aliyepo kazi kutishiwa kufukuzwa endapo ataka mshahara. Pili malipo kuchukua muda, ni kweli kuendesha shule binafsi ni gharama ila kumekuwa na wamiliki kijiweka mbele wao na kupuuza wafanyakazi.

Serikali itazame hili suala ili pia wafanyakazi wa shule binafsi wawe sehemu ya taifa hili Katika mabadiliko ya elimu.

Mizigo mikubwa, licha ya wazazi kujitoa kulipa ada bado shule za binafsi zimeendelea kuajiri walimu wachache sana ambapo ningumu kufikia watoto kwa ubora zaidi. Maana yangu ni kwamba wazazi wamepeleka watoto huko wapate ahueni. Maoni, naona wazazi wa shule husika waunde kamati na iwe sehemu ya shule ili waone kama watoto wao wanatendewa haki ipasavyo.

Nimeshuhudia darasa la kwanza la watoto 40 yupo mwalimu mmoja tu na anafundisha masomo yote.

itaendelea
 
Umelazimishwa kumpeleka mtoto huko binafsi?

Watu wamewekeza, wanahitaji faida sio hasara acha kuwapangia.
 
Umelazimishwa kumpeleka mtoto huko binafsi?

Watu wamewekeza, wanahitaji faida sio hasara acha kuwapangia.
huja Soma hata mada, ila ume ropoka tu.

Jamaa kazungumzia maslahi ya waalimu, na mazingira mabovu wanayo kutana nayo huko.

Wewe una kuja zig zag.
 
View attachment 3225608

Katika kasi ya mabadiliko ya mtaala niliona shule binafsi kama chachu kwa sababu ya uwezo wa kuweka miundo mbinu kwa ajili ya kuisaidia serikali ila kwa mazingira haya naona giza.

Siandike kuweka data ila kwa uzoefu wa miaka minne ni udhibitisho tosha.

Unanyanyasaji wa walimu, baadhi ya shule zinanyanyasa walimu hasa kwenye malipo hii ni kutokana na idada kubwa ya wahitaji wengi hivyo aliyepo kazi kutishiwa kufukuzwa endapo ataka mshahara. Pili malipo kuchukua muda, ni kweli kuendesha shule binafsi ni gharama ila kumekuwa na wamiliki kijiweka mbele wao na kupuuza wafanyakazi.

Serikali itazame hili suala ili pia wafanyakazi wa shule binafsi wawe sehemu ya taifa hili Katika mabadiliko ya elimu.

Mizigo mikubwa, licha ya wazazi kujitoa kulipa ada bado shule za binafsi zimeendelea kuajiri walimu wachache sana ambapo ningumu kufikia watoto kwa ubora zaidi. Maana yangu ni kwamba wazazi wamepeleka watoto huko wapate ahueni. Maoni, naona wazazi wa shule husika waunde kamati na iwe sehemu ya shule ili waone kama watoto wao wanatendewa haki ipasavyo.

Nimeshuhudia darasa la kwanza la watoto 40 yupo mwalimu mmoja tu na anafundisha masomo yote.

itaendelea
We ni mualimu unangaika na ajira tu.
 
Shule Nyingi za English Medium, Zilizoota kama uyoga ni pangu pakavu.

Zinajiendesha kwa Mgongo wa cheap labor, au Jobless teacher.

Imagine Mwalimu anagongwa Probation 6months kwa 150k monthly, baada ya hapo unaambiwa huja qualify analetwa mwingine mqendo ni ule ule.
 
View attachment 3225608

Katika kasi ya mabadiliko ya mtaala niliona shule binafsi kama chachu kwa sababu ya uwezo wa kuweka miundo mbinu kwa ajili ya kuisaidia serikali ila kwa mazingira haya naona giza.

Siandike kuweka data ila kwa uzoefu wa miaka minne ni udhibitisho tosha.

Unanyanyasaji wa walimu, baadhi ya shule zinanyanyasa walimu hasa kwenye malipo hii ni kutokana na idada kubwa ya wahitaji wengi hivyo aliyepo kazi kutishiwa kufukuzwa endapo ataka mshahara. Pili malipo kuchukua muda, ni kweli kuendesha shule binafsi ni gharama ila kumekuwa na wamiliki kijiweka mbele wao na kupuuza wafanyakazi.

Serikali itazame hili suala ili pia wafanyakazi wa shule binafsi wawe sehemu ya taifa hili Katika mabadiliko ya elimu.

Mizigo mikubwa, licha ya wazazi kujitoa kulipa ada bado shule za binafsi zimeendelea kuajiri walimu wachache sana ambapo ningumu kufikia watoto kwa ubora zaidi. Maana yangu ni kwamba wazazi wamepeleka watoto huko wapate ahueni. Maoni, naona wazazi wa shule husika waunde kamati na iwe sehemu ya shule ili waone kama watoto wao wanatendewa haki ipasavyo.

Nimeshuhudia darasa la kwanza la watoto 40 yupo mwalimu mmoja tu na anafundisha masomo yote.

itaendelea
Mkuu ungekuwa unamiliki shule ungependa haya yafanyike kwenye shule yako, yaani ni kuwa unaliwa hapo ulipo Sasa unalia ili wakubwa wacheki usiliwe, hii dunia either hunt or get hunted, select to be predator or prey, Ila najua with time hakuna anayekupenda Kila mtu anawaza namna ya kukula ,yaani Kila mtu anatamani uwe mtumwa wake umtafutie utajiri, cheki viongozi wa dini wanamiliki magari na wanalala na kula pazuri kuliko waumini wao, cheki serikali yaani mtu anakuja kwa mgongo kuwa anakupenda Ila kiukweli anataka akuvue sketi akishakuvua akakubutua utajua Kama hujui
 
Shule Nyingi za English Medium, Zilizoota kama uyoga ni pangu pakavu.

Zinajiendesha kwa Mgongo wa cheap labor, au Jobless teacher.

Imagine Mwalimu anagongwa Probation 6months kwa 150k monthly, baada ya hapo unaambiwa huja qualify analetwa mwingine mqendo ni ule ule.
Yaani ni mateso sana. Pia wazazi wawe makin aise
 
Back
Top Bottom