Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sawa, hata bima ya kifo unalipa kabla hujafa. Tena naunga mkono maana hilo n swala kupunguza shiida za kukimbizana na ada january. Ukiwa wajitambua zaid hata unaweza lipa ada ya mwaka mzima mapema.Ikiwa bado hata nusu mwaka wa kalenda 2024 hatujafika na Hata darasa la 7 hawajafanya mitihani. Tayari shule kadhaa binafsi zimeanza kukusanya Ada kwa ajili ya wanafunzi wa Kidato cha 1 mwakani (2025). Hii si sawa.
Lipa tu mkuuIkiwa bado hata nusu mwaka wa kalenda 2024 hatujafika na Hata darasa la 7 hawajafanya mitihani. Tayari shule kadhaa binafsi zimeanza kukusanya Ada kwa ajili ya wanafunzi wa Kidato cha 1 mwakani (2025). Hii si sawa.
Hujalazimishwa....kama huwezi subiri 70k kayumba maisha yaendeeee....Ikiwa bado hata nusu mwaka wa kalenda 2024 hatujafika na Hata darasa la 7 hawajafanya mitihani. Tayari shule kadhaa binafsi zimeanza kukusanya Ada kwa ajili ya wanafunzi wa Kidato cha 1 mwakani (2025). Hii si sawa.
Maskini mna shida sana aisee kwenye akili zenu.Ikiwa bado hata nusu mwaka wa kalenda 2024 hatujafika na Hata darasa la 7 hawajafanya mitihani. Tayari shule kadhaa binafsi zimeanza kukusanya Ada kwa ajili ya wanafunzi wa Kidato cha 1 mwakani (2025). Hii si sawa.
Wanafanya vizuri maana wanajua mwanzoni mwa mwaka upatikanaji wa hiyo ada ni mgumu km unauwezo lipa na kutunza stakabadhi nakuwakumbusha wasiwasimbue mwanzoni mwa mwaka eti hamjalipa adaIkiwa bado hata nusu mwaka wa kalenda 2024 hatujafika na Hata darasa la 7 hawajafanya mitihani. Tayari shule kadhaa binafsi zimeanza kukusanya Ada kwa ajili ya wanafunzi wa Kidato cha 1 mwakani (2025). Hii si sawa.
Kwenda secondary Sio lazima mtoto awe kamaliza darasa la saba Kwa shule za secondary za privateWanakusanyaje ada watoto hawajafanya mitihani? Hawajajua matokeo yatatokaje