Blue Bahari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,851
- 2,171
Hata Mimi najua iko hivyo.Hata shule za serikali,kuanzia msingi mpaka sekondari wanakwenda Kila likizo,hasa madarasa ya
4na 7 kwa msingi na
Kidato Cha 2 na 4 kwa sekondari,kwa hiyo suala la kutokuheshimu likizo,linaanzia serikalini.
Maafisa elimu mikoa na wilaya ndio wanawaagiza waratibu kwamba madarasa ya mitihani watoto waendelee kusoma wakati wa likizo.
Mbona miaka ya nyuma enzi zetu kulikuwa hamna uho ujinga na wanafunzi walikuwa wanafaulu vizuri tu.
Ni mambo ya ajabu sana,,kimsingi wako kibiashara zaidi.Utampeleka wapi kila kona ni hivyohivyo, hizo shule zinabore sana, ni ujinga mtupu et mtoto wa shule ya msingi asiende likizo ya maana ati ni masomo ya ziada.
Likizo je!? Siyo haki ya Mtoto!? Mbona hata wafanyakazi wanapewa likizo!? Usijibu Kama Mwalimu wa Mwendokasi,jifunze kujenga hoja!!Haki ya watoto ni kupata elimu
kwanza wewe sio mzazi!Likizo je!? Siyo haki ya Mtoto!? Mbona hata wafanyakazi wanapewa likizo!? Usijibu Kama Mwalimu wa Mwendokasi,jifunze kujenga hoja!!
Akili yako haiko sawa mkuu tatizo sio elimu inabidi kipindi cha likizo apumzike ndio maana hata kazi zina likizo vyuo vina likizo kupumzike ni sehemu ya kufanya ubongo upumzike na ulishe vitu vipyaKwani wanakulazimisha,unahiari ya kumkataza mwanao, ila nikukumbushe tu, kuna kamsemo ka wahenga kuwa kama elimu ni ghali jaribu ujinga. Kwa nyoongeza kuna mhenga alienda mbali zaidi akauandalia wimbo msemo huo wa mhenga.
Sahamani kama nitakukwaza,shida yetu Watanzania tulio wengi no wavivu,hivyo tusiutafutie sababu uvivu wetu,tuwazoeze wengine ikiwa hata watoto kutokuwa wavivu kama sisi,Kama hatuwezi tujifunze hata kwa wengine.Akili yako haiko sawa mkuu tatizo sio elimu inabidi kipindi cha likizo apumzike ndio maana hata kazi zina likizo vyuo vina likizo kupumzike ni sehemu ya kufanya ubongo upumzike na ulishe vitu vipya
Mfano mabinti inatakiwa wafundishwe baadhi ya vitu na Bibi zao,na kipindi cha likizo ndio muhafaka aswaa kilikuwaLikizo je!? Siyo haki ya Mtoto!? Mbona hata wafanyakazi wanapewa likizo!? Usijibu Kama Mwalimu wa Mwendokasi,jifunze kujenga hoja!!
Basi mnaopiga kelele Sana mtuambie pia kipindi hiki ndio mnawapeleka watoto kwa waganga wa kienyeji na wale wa kuchukua mahari ndio muda wao, sii kwa kelele hizo.Mfano mabinti inatakiwa wafundishwe baadhi ya vitu na Bibi zao,na kipindi cha likizo ndio muhafaka aswaa kilikuwa
izo bange unazovuta binti, angalia utavua nguo adhalaniBasi mnaopiga kelele Sana mtuambie pia kipindi hiki ndio mnawapeleka watoto kwa waganga wa kienyeji na wale wa kuchukua mahari ndio muda wao, sii kwa kelele hizo.
Yaani Walimu wa siku hizi,wao wanazani Maisha ni Elimu ya Makaratasi tu! Hata Watoto wakienda likizo bado wanapata Elimu nyingine tena kwa vitendo zaidi!!Mfano mabinti inatakiwa wafundishwe baadhi ya vitu na Bibi zao,na kipindi cha likizo ndio muhafaka aswaa kilikuwa
Si unamtoa mtoto huko
Haya huwa in makubaliano ya Shule na wazazi. We we kama hutaki mhamishe mwanao. Sasa mwanamke umekubali kuolewa halafu unang'ang'ania kulala na chupi?!Imekuwa ni kawaida kwa watoto wanasoma Shule za Binafsi kuwabebesha watoto mafurushi ya kazi za kufanya wakiwa likizo almaarufu Kama HOLIDAY PACKAGES na wakati mwingine watoto wanaendelea kwenda shuleni wakati wa likizo kwa kile kinachoitwa HOLIDAY COACHING. Sasa hizi ni likizo?
Likizo zingeachwa huru ili watoto wawe huru kuwasaidia wazazi wao kazi za nyumbani au kusafiri kwenda kuwasalimia bibi zao huko vijijini ili wafahamu asili yao na pia kujumuika na ndugu zao wengine.
Tungeomba Serikali ilitazame hili jambo na ikiwezekana itoe mwongozo kuhusiana na jili jambo. Tusiwafanye watoto wetu kuwa kama ndondocha, kuna maarifa mengine ambayo watoto wanayahitaji zaidi ya hesabu, fizikia na jiorafia.
Naomba kuwasilisha.
Tatizo letu wa bongo ni ubinafsi mtu analeta hoja mwengine anaichukulia kibanafsi utasikia mtoe mtoto sasa vipi na wale watoto wengine atakwambia hawakuhusu kutokana na hii tabia ndo mambo mengi yanayohitaji nguvu ya pamoja yanakwamaHivi wwe unajuwa maana ya Jamii forum,humu ndiyo ujumbe unawafikia kirahisi hao walengwa,hata Hayati Magufuli habari nyingi alikua anazipata humu,Mama nae anapitaga humu pia,na kwenye hii maada mi naona tutakaa sana utakuja kuniambia siku moja!! Hapa ni Walimu na Wazazi wa Tanzania wanabadilishana mawazo kuhusu Elimu ya Watoto wao,tunataka kila mtu ajenge hoja yake na si kususiana!! Asante!!
Huko hawanaga ujinga ujinga.
Wewe huna tofauti na mtoa mada............ hujui hata kuna vikao vya wazazi? wewe unakuja kusema eti anapita huku ndio njia ya kutoa malalamiko... Yaan uache kumkazania mwanao elimu ati aje kusaidia kazi weka wasaidizi mwache mtoto asome......... huko kusaidia kazi atakutana nako tuu kuna kumaliza kuna pia kusubiri alichopandaHivi wwe unajuwa maana ya Jamii forum,humu ndiyo ujumbe unawafikia kirahisi hao walengwa,hata Hayati Magufuli habari nyingi alikua anazipata humu,Mama nae anapitaga humu pia,na kwenye hii maada mi naona tutakaa sana utakuja kuniambia siku moja!! Hapa ni Walimu na Wazazi wa Tanzania wanabadilishana mawazo kuhusu Elimu ya Watoto wao,tunataka kila mtu ajenge hoja yake na si kususiana!! Asante!!
Ubinafsi gani unataka mtoto akae likizo week nne anaangalia TV na ndio huko kukaa na kuanza kujifunza mambo yasiyo na tija mara kuchezeana acha mtoto asome muda wake na kipindi chake awe na muda mchache wa kucheza na kufanya mambo ya jamii kidogo sio toka asubuhi yuko free mpk usiku uliona wapi?Tatizo letu wa bongo ni ubinafsi mtu analeta hoja mwengine anaichukulia kibanafsi utasikia mtoe mtoto sasa vipi na wale watoto wengine atakwambia hawakuhusu kutokana na hii tabia ndo mambo mengi yanayohitaji nguvu ya pamoja yanakwama
Wewe uende tu kwenye task force,japo kwa sasa sijui ni ya nini kwani ya enzi za mapambio zimepitwa na muda,lambda ni za kutafuta wakili kwa ajili ya kijana wenu pendwa.izo bange unazovuta binti, angalia utavua nguo adhalani