Shule Binafsi zinazotoa elimu bora ni zipi?

Shule Binafsi zinazotoa elimu bora ni zipi?

ALFAGEMS ipo Morogoro ingekufaa ila ndo umeshachelewa usaili umefanyika leo
 
Wanajf habari za makujumu mi nikijana wa miaka 23 niko serengeti mkoa wa mara ni mjasiliamali wa kawaida niko na mdogo wangu anaenitegemea kwa kila kitu mi ndo kaka na mimi ndo baba kwake amehitimu mwaka jana kidato cha nne na post zimetoka majuzi ajafanikiwa kuchaguliwa kujiunga na kidato cha tano matokeo yake yako hivi CIV - 'D' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'B' ENGL - 'E' PHY - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'C' B/MATH - 'F' . Nakama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu kipato changu ni kidogo na niko na lengo la kutaka kuakikisha mdogo wangu anafika anapo pahitaji ila tatizo ni pesa siko vizuri kiivyo ndo maana natafuta yoyote mwenye kujua ni wapi naweza pata shule ya advance ya gharama nafuu na yenye kutoa elimu bora na si bora elimu yangu ni hayo tu nangojea msaada wenu wadau.
 
kaka na mimi ninatatizo kama lako sijui SECOND SELECTION zitatoka lini yaani mpaka kichwa kinauma wadau tunaomba msaada tafadhali
 
International school of Tanganyika. Kwa elimu bora na siyo bora elimu. Wako vizuri kitaaluma na ada ni nafuu sana. Hatakama ulizungusha (kama mimi) unaingia na ukitoka hapo unakuja Stanford/Harvard/M.I.T na ukimaliza hautajutia ada uliyolipia maana utaitengeneza ndani ya miezi michache
 
Unataka niandike uwongo ? Kuna sehemu alikua anaenda poa ila ameshindwa kubalance

Mkuu sio vizuri kukatisha watu tamaa. Hebu unesha wapi alikuwa anaenda vizuri akaharibu?

Ushauri wangu sasa.
Kwanza ni seme kijana amekidhi vigezo vya kwenda A level tena bahati nzuri sayansi. Muongozo wa wizara unasema ili mwanafunzi aruhusiwe kwenda A level (iwe gvt au prvt) anatakiwa asipate GPA chini ya 1.6 au kwenye tahasusi(combi) apate kuanzia C na kuendelea. Hivyo kama mwanafunzi amepata C tatu za ndani ya kombi GPA haiangaliwi tena.
Kwa maeelezo hayo dogo kafaulu PCB so hapo anakwenda bila shida kabisa. Kuhusu shule ya gharama nafuu sio rahisi kusema ni ipi. Ila kama lengo ni kumsaidia dogo haswa kwenue kombi ya sayansi mpeleke shule nzuri. Moshi kuna shule nzuri kama MAJENGO SECONDARY na Ada yake ni kama 1.2 hivi kwa mwaka ila ni shule ya kutwa. Hosteli zipo ila haziendeshwi na shule na ada ya hosteli ni kama laki 8 hivi kwa mwaka. Hapo dogo akiwa sirius anapiga mkuu.
 
Mkuu sio vizuri kukatisha watu tamaa. Hebu unesha wapi alikuwa anaenda vizuri akaharibu?

Ushauri wangu sasa.
Kwanza ni seme kijana amekidhi vigezo vya kwenda A level tena bahati nzuri sayansi. Muongozo wa wizara unasema ili mwanafunzi aruhusiwe kwenda A level (iwe gvt au prvt) anatakiwa asipate GPA chini ya 1.6 au kwenye tahasusi(combi) apate kuanzia C na kuendelea. Hivyo kama mwanafunzi amepata C tatu za ndani ya kombYi GPA haiangaliwi tena.
Kwa maeelezo hayo dogo kafaulu PCB so hapo anakwenda bila shida kabisa. Kuhusu shule ya gharama nafuu sio rahisi kusema ni ipi. Ila kama lengo ni kumsaidia dogo haswa kwenue kombi ya sayansi mpeleke shule nzuri. Moshi kuna shule nzuri kama MAJENGO SECONDARY na Ada yake ni kama 1.2 hivi kwa mwaka ila ni shule ya kutwa. Hosteli zipo ila haziendeshwi na shule na ada ya hosteli ni kama laki 8 hivi kwa mwaka. Hapo dogo akiwa sirius anapiga mkuu.

Kuna shule inaitwa white lake ipo changanyikeni dsm. ipo nyuma ya chuo kikuu dsm.itafute itamfaa
 
Wanajf habari za makujumu mi nikijana wa miaka 23 niko serengeti mkoa wa mara ni mjasiliamali wa kawaida niko na mdogo wangu anaenitegemea kwa kila kitu mi ndo kaka na mimi ndo baba kwake amehitimu mwaka jana kidato cha nne na post zimetoka majuzi ajafanikiwa kuchaguliwa kujiunga na kidato cha tano matokeo yake yako hivi CIV - 'D' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'B' ENGL - 'E' PHY - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'C' B/MATH - 'F' . Nakama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu kipato changu ni kidogo na niko na lengo la kutaka kuakikisha mdogo wangu anafika anapo pahitaji ila tatizo ni pesa siko vizuri kiivyo ndo maana natafuta yoyote mwenye kujua ni wapi naweza pata shule ya advance ya gharama nafuu na yenye kutoa elimu bora na si bora elimu yangu ni hayo tu nangojea msaada wenu wadau.

mkuu mlete MBEZI BEACH HIGH SCHOOL mwaka huu ndo wanaanza kufundisha masomo ya sayansi na ada yake ni laki nane na ishirini elfu ( 820,000/=) ni ya day, ila hostel zipo, kuna hostel nilikua nakaa na wadau wangu kwa mwezi 35000 msosi unajitegemea.Hiyo shule ipo vzr sana academically. Ukitaka information zaidi mkuu ni PM
 
mkuu mlete MBEZI BEACH HIGH SCHOOL mwaka huu ndo wanaanza kufundisha masomo ya sayansi na ada yake ni laki nane na ishirini elfu ( 820,000/=) ni ya day, ila hostel zipo, kuna hostel nilikua nakaa na wadau wangu kwa mwezi 35000 msosi unajitegemea.Hiyo shule ipo vzr sana academically. Ukitaka information zaidi mkuu ni PM

VP kuhusu walimu vifaa name maabara
 
Mkuu mwanao kafaulu kuingia advance japo hajawa selected na government school ushauri kama hauko stable financially basi mpeleke kijana Health institute au Technical college mana kwa ufaulu huo ni PCB advance sasa shule ikiwa private then ada nafuu na kwa msuli wa PCB ulivyo anaweza jikuta anapoteza two years patupu
 
Wanajf habari za makujumu mi nikijana wa miaka 23 niko serengeti mkoa wa mara ni mjasiliamali wa kawaida niko na mdogo wangu anaenitegemea kwa kila kitu mi ndo kaka na mimi ndo baba kwake amehitimu mwaka jana kidato cha nne na post zimetoka majuzi ajafanikiwa kuchaguliwa kujiunga na kidato cha tano matokeo yake yako hivi CIV - 'D' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'B' ENGL - 'E' PHY - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'C' B/MATH - 'F' . Nakama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu kipato changu ni kidogo na niko na lengo la kutaka kuakikisha mdogo wangu anafika anapo pahitaji ila tatizo ni pesa siko vizuri kiivyo ndo maana natafuta yoyote mwenye kujua ni wapi naweza pata shule ya advance ya gharama nafuu na yenye kutoa elimu bora na si bora elimu yangu ni hayo tu nangojea msaada wenu wadau.

Ndugu !dogo mpeleke Thaqaafa secondary, ipo mwanza hautajutia uamuzi wako,
 
Back
Top Bottom