Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Namwomba Mh. RC amsondeke ndani huyu jamaa angalau hata wiki!Gambo anavuna alichopanda kipindi cha Magu cha kumdharau Lema na kumuweka Jela kila mara mpaka wakapatanishwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namwomba Mh. RC amsondeke ndani huyu jamaa angalau hata wiki!Gambo anavuna alichopanda kipindi cha Magu cha kumdharau Lema na kumuweka Jela kila mara mpaka wakapatanishwa.
Gambo atulie maana ufanisi ni vitendo siyo kelele kelele ,!Arusha mjini kuna fukuto kubwa linakuja, Gamba simuoni kama anafaa kuendelea Mbunge wa Arusha na hata sehemu yoyote.
Background yako ya Korogwe akiwa DC bado tunaikumbuka. Ulivyomdhalilisha mwanasheria wa Halmashauri mpaka unapelekwa mahakamani bado tunakumbuka. Gamba akumbuke tu kwamba yeye ni Mbunge Na Makonda ni RC. Hakuna namna yoyote ya kukufanya wewe usimheshimu RC. Hata unavyo muadress ni dhahiri kwamba humtambui kama ni Mkuu wa Mkoa. Tukukumbushe tu kwam,ba huyo RC ndio mwakilishi wa Rais katika Mkoa wa Arusha. Endelea kumdharau Makonda utakuja kujuta.
Unaifahamu vizuri historia ya Makonda au unaijua hii ya mitandaoni? Labda nikusaidie kidogo, nenda Shule ya Msingi Nyanza pale jirani na Jengo Jipya la BOT Jijini Mwanza uulizie kipindi cha Mwalimu Mkuu Mama Tumbo na Shule ya Sekondari Pamba kipindi cha Mkuu wa Shule Mama Ruhumbika (RIP) uulizie kuhusu Paul Makonda na elimu yake. Wakikwambia hawaijui rudi uniulize.alimaanisha shule ya kuhudhuria darasani, sio shule ya kununua vyeti vyenye majina ya watu. wewe unaitwa daudi albert bashite, ghafla unasomeka makonda. au unaitwa madilu, ghafla unasomeka mwigulu mchema. n.k ni mfano tu lakini.
tuambie na habari za spika sitta. funguka.Unaifahamu vizuri historia ya Makonda au unaijua hii ya mitandaoni? Labda nikusaidie kidogo, nenda Shule ya Msingi Nyanza pale jirani na Jengo Jipya la BOT Jijini Mwanza uulizie kipindi cha Mwalimu Mkuu Mama Tumbo na Shule ya Sekondari Pamba kipindi cha Mkuu wa Shule Mama Ruhumbika (RIP) uulizie kuhusu Paul Makonda na elimu yake. Wakikwambia hawaijui rudi uniulize.
Kwanza tujue elimu yako wewe.
Maana kwa akili yako nyepesi unadhani UDOM ni chuo cha mchezo mchezo.
Walulize wenzio wanakifahamu sana.
Arusha mjini kuna fukuto kubwa linakuja, Gamba simuoni kama anafaa kuendelea Mbunge wa Arusha na hata sehemu yoyote.
Background yako ya Korogwe akiwa DC bado tunaikumbuka. Ulivyomdhalilisha mwanasheria wa Halmashauri mpaka unapelekwa mahakamani bado tunakumbuka. Gamba akumbuke tu kwamba yeye ni Mbunge Na Makonda ni RC. Hakuna namna yoyote ya kukufanya wewe usimheshimu RC. Hata unavyo muadress ni dhahiri kwamba humtambui kama ni Mkuu wa Mkoa. Tukukumbushe tu kwam,ba huyo RC ndio mwakilishi wa Rais katika Mkoa wa Arusha. Endelea kumdharau Makonda utakuja kujuta.
Hakunaga Chuo pale ni siasa tu 😂
Alikuwa hawara ya mamaako na Makonda ndio alikuwa kuwadi! Hata wewe inasemwa ni mtoto wake. Angalia viganja vyako na vyake uone mnavyofanana! Nshafunguka!tuambie na habari za spika sitta. funguka.
Ni vema tukapata Ufafanuzi wa " Shule iliyonyooka" Ili na sisi Jimbo la Kawe na pale Iringa Mjini tusije kuchagua Mbunge wa Elimu ya " hapa na pale"
Kwa Sasa Kawe tunaye Dr Gwajima PhD na Iringa Mjini Dr Jesca PhD
Nimekaa pale 🐼
Usimwombee mtu mabaya mkuu wacha tuendelee kula life tu.Namwomba Mh. RC amsondeke ndani huyu jamaa angalau hata wiki!
Bashite?Makonda kasoma Chuo cha Ushirika Moshi na baadae Chuo cha Uongozi Magogoni Sasa utasemaje Shule yake haijanyooka?
Kalikuwaga na jeuri sana wakati kapo na madaraka! Lema alijenga urafiki na gereza la.Kisongo!Usimwombee mtu mabaya mkuu wacha tuendelee kula life tu.
Upo sahihi sema katika life unakuta muhuni anakuchukia bila sababu yeyote ili mradi tu mambo yako yakwame.Kalikuwaga na jeuri sana wakati kapo na madaraka! Lema alijenga urafiki na gereza la.Kisongo!
Kwa mara ya kwanza anaandika mtu anayemjua makonda hi ili nalisema kila siku.Unaifahamu vizuri historia ya Makonda au unaijua hii ya mitandaoni? Labda nikusaidie kidogo, nenda Shule ya Msingi Nyanza pale jirani na Jengo Jipya la BOT Jijini Mwanza uulizie kipindi cha Mwalimu Mkuu Mama Tumbo na Shule ya Sekondari Pamba kipindi cha Mkuu wa Shule Mama Ruhumbika (RIP) uulizie kuhusu Paul Makonda na elimu yake. Wakikwambia hawaijui rudi uniulize.
Kwani Jesca Msambatavangu ana PhD?Ni vema tukapata Ufafanuzi wa " Shule iliyonyooka" Ili na sisi Jimbo la Kawe na pale Iringa Mjini tusije kuchagua Mbunge wa Elimu ya " hapa na pale"
Kwa Sasa Kawe tunaye Dr Gwajima PhD na Iringa Mjini Dr Jesca PhD
Nimekaa pale 🐼
Mwenye shida ni gambo, anahisi Makonda anataka kugombea ubunge, na anahisi kwa utendaji kazi wa makonda atambwaga kwenye uchaguzi, tatizo Gambo amejisahau sana.Hizo mentality zao sio nzuri wanabidi kujua Madaraka ni Kama Nyama ya tembo hauwezi kuila peke yako ukaimaliza.
Wamekosa Hekima , sifikirii Kama ni sahihi kudharauliana. Kiasi hiki.
Pia Gambo anachovuna ni karma aliwahi kumfanyia kitu Kama hiki God bless Lema miaka ya nyuma alipokuwa RC.
Tabia ya Ku-Out smart kiongozi wako huwa sio nzuri
Mrisho ni mjanja mjanja sn
Yani hata uwe umesoma Havard ukiingia kwenye system basi elimu unaitupa pembeniNi vema tukapata Ufafanuzi wa " Shule iliyonyooka" Ili na sisi Jimbo la Kawe na pale Iringa Mjini tusije kuchagua Mbunge wa Elimu ya " hapa na pale"
Kwa Sasa Kawe tunaye Dr Gwajima PhD na Iringa Mjini Dr Jesca PhD
Nimekaa pale 🐼