Ada sio tatizo sanaPeleka unapomudu ada. Iwe mchanganyiko au jinsia moja.
Watu wanapenda kusema shule za jinsia moja zinachochea ushoga/usagaji lakini si kweli. Hayo mambo yapo kila mahali hadi kwenye shule za mchanganyiko.
Unachotakiwa ni kumuelimisha mwanao juu ya kuuheshimu mwili wake.
haha, au sio big boss?Ada sio tatizo sana
Precious bloodPrecious blood arusha. Carmel Malolo Morogoro. Santahome Sabs ipo dodoma
Naona unajisahaulisha mchecheto wa foolishage, umri huo anajua hata maana ya kuuheshimu mwili wake??Peleka unapomudu ada. Iwe mchanganyiko au jinsia moja.
Watu wanapenda kusema shule za jinsia moja zinachochea ushoga/usagaji lakini si kweli. Hayo mambo yapo kila mahali hadi kwenye shule za mchanganyiko.
Unachotakiwa ni kumuelimisha mwanao juu ya kuuheshimu mwili wake.
kama binti yako ni mtu wa kutusua sana As anapataSorry mkuu sijajigamba
Hii mkuu nasikia kupata ngumu sana kama huna conections
Huko single sex ataishia kujihusisha na mapenzi ya jinsia (Usagaji) moja asipokua makiniSababymu gani?