Kikwava
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 1,741
- 1,068
Kutokana na mwenendo wa shule hizi (msingi/sekondari) kwa miaka hii ya Sasa kutokufunga kabisa hasa kwa madarasa ya mitihani nashauri yafuatayo:
1. Badala ya kukaa na watoto kwa kipindi cha mwaka mzima bila likizo ya kurudi makwao basi wawape watoto kazi za nyumban kipindi cha likizo (home parkage) ambazo zikachukua maeneo yote muhimu ya kusoma.
2. Wafanye tafiti kutafuta ulinganifu wa ufaulu wa watoto kipindi ambacho shule zilifungwa kweli kweli na kipindi hiki ambacho ratiba inaonyesha kufungwa kwa shule lakini bado watoto wanaonekana mashuleni. Na Matokeo ya tafiti yawekwe wazi kwa watoto.
3. Nawapa hongera Walimu kwa kazi nzuri, HONGERENI WALIMU POPOTE MLIPO KWA KUJITUMA.
1. Badala ya kukaa na watoto kwa kipindi cha mwaka mzima bila likizo ya kurudi makwao basi wawape watoto kazi za nyumban kipindi cha likizo (home parkage) ambazo zikachukua maeneo yote muhimu ya kusoma.
2. Wafanye tafiti kutafuta ulinganifu wa ufaulu wa watoto kipindi ambacho shule zilifungwa kweli kweli na kipindi hiki ambacho ratiba inaonyesha kufungwa kwa shule lakini bado watoto wanaonekana mashuleni. Na Matokeo ya tafiti yawekwe wazi kwa watoto.
3. Nawapa hongera Walimu kwa kazi nzuri, HONGERENI WALIMU POPOTE MLIPO KWA KUJITUMA.