Elections 2010 Shule ndiyo humpa Dr Slaa kura nyingi katika mitandao

Elections 2010 Shule ndiyo humpa Dr Slaa kura nyingi katika mitandao

Zak Malang

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2008
Posts
5,404
Reaction score
239
Mimi nawashangaa wale wote wanaoziponda kura nyingi anazopata Dr Slaa katika kura za maoni kupitia mitandao – mfano Daily News, Mwanahalisi na hata humu JF. Jibu ni rahisi – shule.

Wanaompa Dr Slaa kura hizo ni watu ambao angalau wamekwenda shule, wanaweza kuchambua mambo wao wenyewe bila kuburuzwa na wanaweza kutumia Internet. Hawa ni watu ambao tunaweza kusema linaanza kuliimarisha lile tabaka la jamii la Kati (middle Class) la wasomi, wenye kipato cha wastani, na ni tabaka ambalo hupiga kura kutokana na maamuzi ya vichwa vyao, na si miyoyo yao (voting from the head and not from the heart).

Watanzania wengi bado ni mambumbumbu – watu wa kuburuzwa tu – na ukichanganya na umasikini wao, basi hufanywa kuwa vuno kubwa la CCM wakati wa uchaguzi.

Wewe angalia tu maeneo ambayo tabaka hili linapatikana na uone nguvu ya Dr Slaa huko: Kilimanjaro, Arusha, Kagera Dsm, na maeneo ya ukanda wa ziwa.


Kwingineko ni uburuzaji tu – fulana, T-Shirt, Sh elfu tano tano etc ndiyo hufanya kazi zaidi kuliko proper reasoning ya kutoka vichwani.


CCM inaliogopa sana taabaka hili, kwani likizidi kukua litaitokomeza CCM na hivyo uburuzaji wa watu kama makondoo utakwisha.
 
Mimi nawashangaa wale wote wanaoziponda kura nyingi anazopata Dr Slaa katika kura za maoni kupitia mitandao – mfano Daily News, Mwanahalisi na hata humu JF. Jibu ni rahisi – shule.

Wanaompa Dr Slaa kura hizo ni watu ambao angalau wamekwenda shule, wanaweza kuchambua mambo wao wenyewe bila kuburuzwa na wanaweza kutumia Internet. Hawa ni watu ambao tunaweza kusema linaanza kuliimarisha lile tabaka la jamii la Kati (middle Class) la wasomi, wenye kipato cha wastani, na ni tabaka ambalo hupiga kura kutokana na maamuzi ya vichwa vyao, na si miyoyo yao (voting from the head and not from the heart).

Watanzania wengi bado ni mambumbumbu – watu wa kuburuzwa tu – na ukichanganya na umasikini wao, basi hufanywa kuwa vuno kubwa la CCM wakati wa uchaguzi.

Wewe angalia tu maeneo ambayo tabaka hili linapatikana na uone nguvu ya Dr Slaa huko: Kilimanjaro, Arusha, Kagera Dsm, na maeneo ya ukanda wa ziwa.


Kwingineko ni uburuzaji tu – fulana, T-Shirt, Sh elfu tano tano etc ndiyo hufanya kazi zaidi kuliko proper reasoning ya kutoka vichwani.


CCM inaliogopa sana taabaka hili, kwani likizidi kukua litaitokomeza CCM na hivyo uburuzaji wa watu kama makondoo utakwisha.


Watanzania wengi bado ni mambumbumbu – watu wa kuburuzwa tu – na ukichanganya na umasikini wao, basi hufanywa kuwa vuno kubwa la CCM wakati wa uchaguzi.
 
Mimi nawashangaa wale wote wanaoziponda kura nyingi anazopata Dr Slaa katika kura za maoni kupitia mitandao – mfano Daily News, Mwanahalisi na hata humu JF. Jibu ni rahisi – shule.

Wanaompa Dr Slaa kura hizo ni watu ambao angalau wamekwenda shule, wanaweza kuchambua mambo wao wenyewe bila kuburuzwa na wanaweza kutumia Internet. Hawa ni watu ambao tunaweza kusema linaanza kuliimarisha lile tabaka la jamii la Kati (middle Class) la wasomi, wenye kipato cha wastani, na ni tabaka ambalo hupiga kura kutokana na maamuzi ya vichwa vyao, na si miyoyo yao (voting from the head and not from the heart).

Watanzania wengi bado ni mambumbumbu – watu wa kuburuzwa tu – na ukichanganya na umasikini wao, basi hufanywa kuwa vuno kubwa la CCM wakati wa uchaguzi.

Wewe angalia tu maeneo ambayo tabaka hili linapatikana na uone nguvu ya Dr Slaa huko: Kilimanjaro, Arusha, Kagera Dsm, na maeneo ya ukanda wa ziwa.


Kwingineko ni uburuzaji tu – fulana, T-Shirt, Sh elfu tano tano etc ndiyo hufanya kazi zaidi kuliko proper reasoning ya kutoka vichwani.


CCM inaliogopa sana taabaka hili, kwani likizidi kukua litaitokomeza CCM na hivyo uburuzaji wa watu kama makondoo utakwisha.

Bado ni tatizo la matabaka Mh. Wasomi, Matajiri, Born-towns how many of us belongs to non of the forementioned groups 80+%, angalia ni watu wangapi wana access ya internet na wapi!. You will be suprised to see that ni walewale wanaolipwa na vyama vyao kufanya contribution katika mitandao na sisi tulio vijijini hata kutuma SMS ni budget issue na wakati mwingine hatuna hata interest ya kushiriki katika opinion poll and remember that is just AN OPINION POLL just like KIPIMA JOTO CHA ITV hah! hah!
 
Bado ni tatizo la matabaka Mh. Wasomi, Matajiri, Born-towns how many of us belongs to non of the forementioned groups 80+%, angalia ni watu wangapi wana access ya internet na wapi!. You will be suprised to see that ni walewale wanaolipwa na vyama vyao kufanya contribution katika mitandao na sisi tulio vijijini hata kutuma SMS ni budget issue na wakati mwingine hatuna hata interest ya kushiriki katika opinion poll and remember that is just AN OPINION POLL just like KIPIMA JOTO CHA ITV hah! hah!
HAPO KAKA KWENYE RED UMEANDIKA KWA KUFUATA MOYO NA SIO BRAIN
 
Kinachoonekana kwenye mitandao ni reflection ya maoni ya watanzania wengi tu,wengi hatuna imani na serikali iliyoko madarakani,ila hatuna pa kusemea.Wengi wetu tunaoandika kwenye mitandao tunafanya hivyo sababu hatuonekani,hivyo kuponya ajira zetu(kwa wafanyakazi wa serikali na makampuni ambayo wamiliki wake ni wanaccm),so tuna sehem ya kumwaga machungu.Na hakika kama kila mtanzania angekuwa ana uwezo wa kuwa na access na jf kama sisi wachache ungeona "moto".Ndo tunarudi kwenye point ya muanzisha thread "Elimu".
 
Back
Top Bottom