Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Ndugu zangu licha ya utititiri wa waalimu wengi kuhutimu vyuo mbalimbali lakini wengi wao wapo tu mitaani wapiga miayo, huku shule nyingi za private zikienda nje ya nchi kusaka waalimu.
Mzazi ukienda kutafuta shule kwa ajili ya mwanao basi sifa utakazopewa kuhusu shule husika basi utaambiwa hapa tuna waalimu wazoefu kutoka kenya, uganda etc.
Watanzani mnafeli wapi? Mmerundikana mitaani wenzenu wanatoka huko wanakuja kubeba ajira zenu.
Mzazi ukienda kutafuta shule kwa ajili ya mwanao basi sifa utakazopewa kuhusu shule husika basi utaambiwa hapa tuna waalimu wazoefu kutoka kenya, uganda etc.
Watanzani mnafeli wapi? Mmerundikana mitaani wenzenu wanatoka huko wanakuja kubeba ajira zenu.