Kimbakuli
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 408
- 435
Habari Gani Mataalam.
Aisee kina bwana mdogo wangu amefaulu anataka kwenda FormV. Kwa sababu hapa ni nyumbani kwa wajuzi naomba mnisaidie shule nzuri ya formV kwa kuzingatia haya.
1. Mchepuo wa sayansi
2. Iwe mchanganyiko(Girls&Boys)
3. Ada iwe around 2M-3M
Thanks
Aisee kina bwana mdogo wangu amefaulu anataka kwenda FormV. Kwa sababu hapa ni nyumbani kwa wajuzi naomba mnisaidie shule nzuri ya formV kwa kuzingatia haya.
1. Mchepuo wa sayansi
2. Iwe mchanganyiko(Girls&Boys)
3. Ada iwe around 2M-3M
Thanks