Copro mtego
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 619
- 796
Hii ni shule ya mtu binafsi ina matawi mawili Madale na Ubungo.
Mmiliki wa shule hizi anatumikisha vijana bila kuwalipa anawalisha tu chakula cha wanafunzi na kuwatunza kama wanafunzi ila hawapati posho zao kama wanavyoahidiwa mwanzo.
Mtu ameanza kazi miezi mitano bila kulipwa ukidai anakujibu si unakula? Basi imeisha hiyo
Huyu mmiliki ana asili ya Kagera wilaya ya muleba ambapo anawaajiri watu kutoka muleba akiwadanganya anawasaidia kuwaajiri lakini mwisho hawapati chochote Hadi uamue kuacha mwenyewe.
Soma Pia: Walimu wa shule ya Ivumwe High School Mbeya inayomilikiwa na CCM, wafanya mgomo kudai mishahara yao
Kibaya zaidi kaweka ndugu zake kwenye uongozi na usimamizi wa pesa na hao ndo wanalipwa tu
Hao wanaotetea maslahi ya vijana,wafanyakazi, na wizara ya ajira sijui wana mpango gan na uhuni huu unaofanyika na mabosi wa shule binafsi
Mmiliki wa shule hizi anatumikisha vijana bila kuwalipa anawalisha tu chakula cha wanafunzi na kuwatunza kama wanafunzi ila hawapati posho zao kama wanavyoahidiwa mwanzo.
Mtu ameanza kazi miezi mitano bila kulipwa ukidai anakujibu si unakula? Basi imeisha hiyo
Huyu mmiliki ana asili ya Kagera wilaya ya muleba ambapo anawaajiri watu kutoka muleba akiwadanganya anawasaidia kuwaajiri lakini mwisho hawapati chochote Hadi uamue kuacha mwenyewe.
Soma Pia: Walimu wa shule ya Ivumwe High School Mbeya inayomilikiwa na CCM, wafanya mgomo kudai mishahara yao
Kibaya zaidi kaweka ndugu zake kwenye uongozi na usimamizi wa pesa na hao ndo wanalipwa tu
Hao wanaotetea maslahi ya vijana,wafanyakazi, na wizara ya ajira sijui wana mpango gan na uhuni huu unaofanyika na mabosi wa shule binafsi