Latrice
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 2,389
- 2,366
Kwa hiyo unataka ziungue shule kwa usawa?Kwann shule za kiislam tu? Uchunguz usipofanyika mapema Kuna madhara huko mbele
Wewe mzima kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo unataka ziungue shule kwa usawa?Kwann shule za kiislam tu? Uchunguz usipofanyika mapema Kuna madhara huko mbele
Tizama maoni ya ukurasa wa kwanza utagundua ni kwanini Tanzania ni miongoni mwa nchi za ajabu sana duniani.Zinajengwa kienyeji sana bila kutumia wataalam wa ujenzi
Watu wako kazini kitaaaaambo, unataka wapige tarumbeta. Be patient, the system is extremely efficient.
Siyo sababu ya kujitosheleza, kuzifanye nyingi ziungue ndani ya mwaka mmoja, zikiwa katika mikoa tofauti...Zinajengwa kienyeji sana bila kutumia wataalam wa ujenzi
Tupe uhusiano wa hizo shule zote zilizoungua nje ya kiimani ukiukosa uhusiano wao, ni kheri ukanyamaza mkuu.Siyo sababu ya kujitosheleza, kuzifanye nyingi ziungue ndani ya mwaka mmoja, zikiwa katika mikoa tofauti...
Kwann zisiungue shule zetu zenye miaka 55, na nyaya zinaning'inia kila kona, majiko ya kuni e.t.c.
Binafsi nahisi, kuna kikundi cha watu, wanaofaidika na hii misaada ya kitaasisi, nafikiri wanatafuta mbinu ya kupata pesa, haiwezekani shule zaidi ya 3 ziungue ndani ya mwaka mmoja.
Wanatafuta ufadhili na pesa kwa nguvu, wabinafsi, hawajali maisha ya watoto wetu.
Everyday is Saturday............................... 😎
Mkuu ukishafahamishwa kuna lolote utachangia?hili jambo lisifumbiwe macho.....kwa nini linaendelea?! kuna nini?! kwa nini?!
jeshi la polisi tafadhali sana toeni majibu haraka na kwa wakati. kwa mtiririko huu wa haya matukio ya kuungua moto si ishara nzuri kabisa .....uchunguzi ufanywe kwa haraka na taarifa itolewe, lkn pia kuna haja ya viongozi wa shule kuchukua tahadhari, wekeni ulinzi wa kutosha kwenye shule zenu
kama ni uchakavu wa miundobinu ya umeme tufahamishwe. au kama kuna uhalifu pia itolewe taarifa
Mkuu inaonekana unajua nini kipo nyuma ya pazia weka ukijuacho jukwaani, watu waelewe.Tupe uhusiano wa hizo shule zote zilizoungua nje ya kiimani ukiukosa uhusiano wao, ni kheri ukanyamaza mkuu.
Umemnukuu vibaya!Kwa hiyo unataka ziungue shule kwa usawa?
Wewe mzima kweli?
Shule ya awali na msingi inayomilikiwa na Taasisi ya Kiislam ya Istiqaama iliyopo mkoani Tabora imeungua kwa moto usiku wa kuamkia leo Septemba 27. Hakuna madhara yoyote kwa binadamu yaliyotokea kwa tukio hilo.
=====
Shule ya Awali na Msingi ya Taasisi ya Kiislamu ya Istiqaama iliyopo mkoani Tabora imeungua moto usiku wa kuamkia leo na kuteketeza baadhi ya vitu vya wanafunzi katika bweni moja.
Kamanda wa polisi wa mkoa wa Tabora, Barnabas Mwakalukwa amethibitisha kutokea kwa tukio la kuungua kwa moto kwa shule ya msingi.
Akizungumza na EATV / Radio Digital hii leo Septemba 27, 2020 Kamanda Mwakalukwa amesema kuwa moto huo ambao chanzo chake hakijajulikana haukusababisha madhara yoyote kwa binadamu.
''Ni kweli shule imeungua moto, hakuna madhara yoyote kwa binadamu lakini kuna bweni moja ambalo walikuwa wanakaa wasichana 45 vitu vyao vimeungua moto,” amesema RPC Mwakalukwa
Aidha Kamanda Mwakalukwa amesema kuwa uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea ili kubaini chanzo cha moto huo.
View attachment 1582350View attachment 1582351View attachment 1582352
Pole mzeeHawa wenye siasa za matukio Chadema waangaliwe kwa jicho la pili katika haya matukio ya moto. Ikiwa walichoma ofisi yao kule Arusha, watashindwa kuchoma taasisi zingine ili kuleta taharuki na chuki kwa nchi na waislam
Hawa hawafai kabisa
Mkuu mwanzoni nilivyoyasoma majibu yako nikajua tuko pamoja unatumia kichwa ku think ila sasa nimeelewa kuna waya unatoka moja kwa moja kutoka kwenye Medula oblongata hadi kwenye WOWOWO lakoMkuu ukishafahamishwa kuna lolote utachangia?
Vipi ukijua kwamba shule nyingi za kiislamu zinajengwa kwa donation za ndani ya misikiti ambazo hazikidhi kabisa kuajiri wakandarasi wa ujenzi na umeme?
Inawezekana pia Wachomaji wa Hizi Shule wanatoka nje ya dini husikaSiyo sababu ya kujitosheleza, kuzifanye nyingi ziungue ndani ya mwaka mmoja, zikiwa katika mikoa tofauti...
Kwann zisiungue shule zetu zenye miaka 55, na nyaya zinaning'inia kila kona, majiko ya kuni e.t.c.
Binafsi nahisi, kuna kikundi cha watu, wanaofaidika na hii misaada ya kitaasisi, nafikiri wanatafuta mbinu ya kupata pesa, haiwezekani shule zaidi ya 3 ziungue ndani ya mwaka mmoja.
Wanatafuta ufadhili na pesa kwa nguvu, wabinafsi, hawajali maisha ya watoto wetu.
Everyday is Saturday............................... 😎