DOKEZO Shule ya Msingi Irunda (Sengerema - Mwanza) ina Wanafunzi 900 ila madawati yapo 60

DOKEZO Shule ya Msingi Irunda (Sengerema - Mwanza) ina Wanafunzi 900 ila madawati yapo 60

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

NBica

Member
Joined
Sep 13, 2010
Posts
39
Reaction score
36

Kuna Shule ya Msingi Irunda ipo Kata ya Ngoma Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza inakabiliwa na upungufu wa madawati ambapo karibu nusu ya Wanafunzi hulazimika kusoma wakiwa wameketi sakafuni.

Shule hiyo yenye Wanafunzi wapatao 900 ina madawati yasiyozidi 60, inapofika nyakati za Mitihani, Wanafunzi hulazimika kutembea umbali usiopungua Kilomita 3 kufuata madawati yanayoazimwa kwenye shule ya sekondari ya kata hiyo.

Wakimaliza mitihani huyarudisha baada ya kumaliza mitihani.

Hiki kinachoendelea naona sio salama kwa hawa Wanafunzi, Wizara ya Elimu na TAMISEMI waje waone Watoto wetu wanavyoteseka.
 
Kuna Shule ya Msingi Irunda ipo Kata ya Ngoma Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza inakabiliwa na upungufu wa madawati ambapo karibu nusu ya Wanafunzi hulazimika kusoma wakiwa wameketi sakafuni.

Shule hiyo yenye Wanafunzi wapatao 900 ina madawati yasiyozidi 60, inapofika nyakati za Mitihani, Wanafunzi hulazimika kutembea umbali usiopungua Kilomita 3 kufuata madawati yanayoazimwa kwenye shule ya sekondari ya kata hiyo.

Wakimaliza mitihani huyarudisha baada ya kumaliza mitihani.

Hiki kinachoendelea naona sio salama kwa hawa Wanafunzi, Wizara ya Elimu na TAMISEMI waje waone Watoto wetu wanavyoteseka.
Mbunge,diwani na mwenye kiti wa huko ni wakina nani? Naomba majina yao hapa jukwaani ili niwatumie mchango wangu wa madawati.
 
Kuna Shule ya Msingi Irunda ipo Kata ya Ngoma Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza inakabiliwa na upungufu wa madawati ambapo karibu nusu ya Wanafunzi hulazimika kusoma wakiwa wameketi sakafuni.

Shule hiyo yenye Wanafunzi wapatao 900 ina madawati yasiyozidi 60, inapofika nyakati za Mitihani, Wanafunzi hulazimika kutembea umbali usiopungua Kilomita 3 kufuata madawati yanayoazimwa kwenye shule ya sekondari ya kata hiyo.

Wakimaliza mitihani huyarudisha baada ya kumaliza mitihani.

Hiki kinachoendelea naona sio salama kwa hawa Wanafunzi, Wizara ya Elimu na TAMISEMI waje waone Watoto wetu wanavyoteseka.
CCM mbele kwa mbele
 
Hao wasubiri kwanza tunamalizia kununua magoli kwa milioni tano tano kisha tutarejea kwao. Hata sisi wazazi, tupo bize kwanza kumnunulia mkuu wa nchi HEDKOPTA na kumnunulia fomu ya kugombea. Tukimaliza haya tutawakumbuka watoto wetu msijali.

Pumbavu zetu
 
Watafikiwa tu bila shaka. Mama anafika kila kona ya nchi hii na elimu ni moja ya vipaumbele vyake anavyovisimamia kwa nguvu kubwa.
 
Kwanza kabisa napenda kumshukuru sana Mama.
Pili napenda kutoa pongezi kwa mtoa taaarifa.
 
Hyo shule ipo kwenye kijiji, kata na halmashauri
Pia ina kiongozi wa kijiji au mtaa diwani na wajumbe wake

Hivi hao wameshindwa kutatua hyo changa moto?

Sometimes viongozi wa chin huku tunaowachaguwa uwezo wao mdogo wa kutatua changa moto
 
Kuna Shule ya Msingi Irunda ipo Kata ya Ngoma Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza inakabiliwa na upungufu wa madawati ambapo karibu nusu ya Wanafunzi hulazimika kusoma wakiwa wameketi sakafuni.

Shule hiyo yenye Wanafunzi wapatao 900 ina madawati yasiyozidi 60, inapofika nyakati za Mitihani, Wanafunzi hulazimika kutembea umbali usiopungua Kilomita 3 kufuata madawati yanayoazimwa kwenye shule ya sekondari ya kata hiyo.

Wakimaliza mitihani huyarudisha baada ya kumaliza mitihani.

Hiki kinachoendelea naona sio salama kwa hawa Wanafunzi, Wizara ya Elimu na TAMISEMI waje waone Watoto wetu wanavyoteseka.
Duh!!
 
Back
Top Bottom