Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hii ndio kauli yao na kukamata aliyerekodi na kusambaza pichaWatasema ni upotoshaji.
Watasema ni uzushi
Watasema ni uongo
Sio Rombo ,hata upareni shule lina darasa lina wanafunzi 15, wakizidi sana ni 45. Madawati ya kutosha. Unaweza ukawa na dawati lako mwenyewe. Iko hivyo toka zamani. Sisi darasani kwatu tulikuwa 30, madawati mengine yalikuwa yanapangwa huko nyuma maana ni mengi kuliko wanafunziWaende pale Wilaya ya Rombo Mkuu wakachukue madawati,kuna shule zimebaki na wanafunzi mpaka 30
Yeah!... Naunga mkono hojaPunguzeni kuzaa bangosha iiiii
Wakati huo huo Mama anamwaga pesa kwenye mechi za Simba na Yanga
Na hii ndio kauli yao na kukamata aliyerekodi na kusambaza picha
Hizo hela za madawati si bora tununue magari washawasha yawawashe chadema kisha tununue magoli ya yanga.