Hapana, kwa hili nakuwa na mtazamo wa tofauti wakuu.
01.Hiyo shule imeanzishwa tangu lini?
02. Kuna jitihada gani zimechukuliwa na jamii husika juu ya kupunguza uhaba wa madawati shuleni hapo?
03. Serikali ya mtaa imeshirikishwaje na imefanya nini kUtatua tatizo?
04. Ni upi mtazamo wa kielimu wa hiyo jamii tukirejerea na hali iliyopo?
Pengine, wenye shule wameridhia hilo. Sisi wengine wa mbali tufanye nini sasa!
Kama suala ni lako na unaweza kulifanya pana haja gani ya kusubiri msaada wa mbali?(hata kama msaada ni halali yako).
Hivi sisi watanzania tuna shida gani sana kiasi cha kuwa wategemezi namna hii?
Siku nikiwa na wa ng'ambo ile nitakuwa na ujasiri kweli wa kuiongelea Tanzania yangu?
Nevertheless, the villest situation can't ruin the place amenities.