Shule ya msingi kila mwezi tulipe pesa wapewe waalimu wasiokuwa na ajira ni sahihi?

Shule ya msingi kila mwezi tulipe pesa wapewe waalimu wasiokuwa na ajira ni sahihi?

Mkushi Mbishi

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2018
Posts
332
Reaction score
549
Wakuu Nina wadogo zangu watatu,nimejikaza niishi nao na niwasomeshe kwa kila hali ingawa sina kitu.lakini shule ya msingi waliyopo wazazi tuliambiwa waalimu ni wachache(sikuwepo kikaoni)

Hivyo ikapangwa kila mwezi,kila mzazi alipie Tsh 1000 wameletwa waalimu ambao tuliambiwa hawajaajiriwa wawe wanalipwa kufidia pengo la uchache wa Waalimu(nahisi ni wale waliotumbuliwaga wanalindana)

Sasa mm nikifikiria nahisi Kama hii kaz ya kuwalipa ni kaz ya serikali sio sisi,ingawa siku zote nalipa ila miez hii miwili nimegoma maana hakuna risiti ya malipo tunayipewa ,Cha ajabu wanachapwa na kulazimishwa kulipa,hela ya kulipa ninayo lakini nahisi Kama wanaonewa haswa Leo baada ya kunieleza ijumaa walipigwa mboko za kutosha,Nina hasira sana

Sasa nataka kujua hii ni halali?tuendelee ama Kama si halali nianzie wapi?

Maana huwa sipendi rushwa wala uonevu kwa watoto wanaotafutiwa elimu.
 
Sawa
Man. Toa tu Buku 3 maisha yaendelee hapo madogo wanakula stick kisa ubishi wako. Na kesho monday watakula tena.

Au toa hela lakini uende na wewe kuuliza zaidi ili madogo wasisurubishwe.
Sawa Mkuu ila nataka kujua hii mipango ni sahihi ama si sahihi maana huwa nachukia Sana RUSHWA au UJANJA UJANJA.hapo tu ndo nataka kujua,kutoa si tatzo
 
Toa hela wewe, kama hutak ukubaliane na matokeo ya wadogo zako yatakavyokuja
 
Bro Denis
Sawa Mkuu ila nataka kujua hii mipango ni sahihi ama si sahihi maana huwa nachukia Sana RUSHWA au UJANJA UJANJA.hapo tu ndo nataka kujua,kutoa si tatzo


Toa hela wewe, kama hutak ukubaliane na matokeo ya wadogo zako yatakavyokuja
 
Bro Denis
Sawa Mkuu ila nataka kujua hii mipango ni sahihi ama si sahihi maana huwa nachukia Sana RUSHWA au UJANJA UJANJA.hapo tu ndo nataka kujua,kutoa si tatzo
Kwa faida ya wadogo zako ni sahihi otherwise sio sahihi. Mimi nimepita kwenye phase zote 2 yan nimesoma school walim hawatoshi na nimefundisha kama ticha wa kujitolea

Mwanafunzi anaesoma shule isiokua na walim wa kutosha ana possibility ndogo sana ya kufaulu while mwalimu anaefundisha bila malipo anafundisha bas tu ionekane kafundisha. Lakini pia ukimlipa mwalimu unamuongezea hamasa ya kufundisha otherwise unamuumiza na kuona kama anafundisha watoto wa mtu asiejali
 
Kwa faida ya wadogo zako ni sahihi otherwise sio sahihi. Mimi nimepita kwenye phase zote 2 yan nimesoma school walim hawatoshi na nimefundisha kama ticha wa kujitolea

Mwanafunzi anaesoma shule isiokua na walim wa kutosha ana possibility ndogo sana ya kufaulu while mwalimu anaefundisha bila malipo anafundisha bas tu ionekane kafundisha. Lakini pia ukimlipa mwalimu unamuongezea hamasa ya kufundisha otherwise unamuumiza na kuona kama anafundisha watoto wa mtu asiejali
Asante Kaka Denis,nimekuelewa vizuri sasa,nakushukuru Sana kwani walisema wenye kusema ''wenye kushauriana hawajuti''.kichwa changu pekee kisingeweza kuchakata mambo haya na kujielewesha chenyewe.
 
Asante Kaka Denis,nimekuelewa vizuri sasa,nakushukuru Sana kwani walisema wenye kusema ''wenye kushauriana hawajuti''.kichwa changu pekee kisingeweza kuchakata mambo haya na kujielewesha chenyewe.
Shukrani Bro.
 
Sasa kama hela unayo kwann usilipe? Mchango wa elfu moja tu unalalamika, je ingekua elfu kumi
 
Kama tunatoa fedha since Bora tuition zirudishe,sioni tofauti hapo
 
Kama tunatoa fedha si bora tuition zirudishe,sioni tofauti hapo
 
Serikali haitoi ajira, umeshasema kuna upungufu wa walimu, waliopo hapo wanazidiwa na kazi hadi kufikia maamuzi ya kutafuta walimu wa kuwalipa wenyewe kupitia michango ya wazazi, unadhani serikali ingepeleka walimu au kulipa hao wanaolipwa kwa michango mngetakiwa mtoe pesa? Hiyo si rushwa. Unakosea. Mazingira yanawafanya walazimike kufanya hayo yote
 
Sawa

Sawa Mkuu ila nataka kujua hii mipango ni sahihi ama si sahihi maana huwa nachukia Sana RUSHWA au UJANJA UJANJA.hapo tu ndo nataka kujua,kutoa si tatzo
Acha ujinga wewe mjinga, kumbe hata kwenye kikao hukwenda sasa hapa ndio shuleni kwamba utapata muhtasari wa kikao walicho jadili wenzio? Wazazi wa aina yako wapumbavu mpo wengi sana, nadhani ungeenda kwenye kikao usinge kimbilia huku .

Upo radhi uhonge malaya hata Tsh. 50,000/= lakini kutoa 1000 kwa mwezi kwa ajili ya walimu wanao jitolea kufundisha watoto wako unaona nongwa kelele hadi mitandaoni , mitanzania mingine sijui iliumbwaje mnatia hadi kichefuchefu aghhh!!!

nimefanya tafiti na kubaini shule za misingi hazina walimu wa kutosha maana walimu wapo 5 wanafunzi 700+ mwalimu mmoja anavipindi 46 hadi 50 kwa wiki na serikali haija ajili walimu wa kutosha sasa nini kifanyike?

Maana huo mzigo haubebeki kwa idadi hiyo ya wanafunzi hapo lazima kutakuwa na kulipua kazi au baadhi ya madarasa wasisome

Swala la walimu wa kujitolea lipo karibu sehemu kubwa ya nchi na mara zote wanachangiwa na wazazi na mara nyingi swala la makusanyo ya pesa huwa linafanywa na wazazi wenyewe wanaunda kamati yao , walimu huwa wanaombwa kufanya ufuatiliaji tu kwa wanafunzi.

Watu wanalipa mamilioni kwa ajili ya elimu wewe 1000 kwa mwenzi unakuja kunapiga mayowe hadi mitandaoni!? Na Kwa haraka wewe nikikutafiti ni lazima unatoka kati ya mikoa hii
1.pwani
2. Morogoro
3.dodoma.
4.singida
5.mtwara
6. lindi
7.ruvuma/ songea
Maana hiyo ndiyo mikoa ambayo swala la elimu kwao halina tija yaan ni ziada sana yaan mzazi yupo radhi ajibane milioni moja iishe kwa ajili ya ngoma/ sherehe za kijinga tu lakini sio elimu na ndio walalamikaji sana hasa wanapo ona swala elimu linataka kuwagusa mifukoni yaani hawapo tayari kuingia gharama kwenye swala linalo itwa shule/elimu yaan hata kumpa tu mwanae hela ya kula shule ni nongwa lakini hela ya sherehe hata akitaka laki atapata ila sio elfu 1000 ya kumlipa mwalimu wa kujitolea tenanl kwa mwezi.

Cha kufanya ili ujiridhishe kwanza tambua walimu wa kujitolea hapo shuleni kwako wapo wangapi na wanalipwa kiasi gani kwa mwezi kisha piga hesabu kwa idadi ya walimu wakujitolea wote watahitaji kulipwa jumlaya Tsh ngapi kwa mwezi

Baada ya hapo chukua tsh 1000/= zidisha mara idadi ya wanafunzi hapo shuleni kama watalupa wote, kiasi utakacho pata kigawe kwa walimu hao wanao jitolea kulingana na malipo waliyo kubaliana kulipwa kwa mwezi.

Sasa ukiona kiasi cha pesa kinacho patikana kwa mwezi bado kina baki baada kuwalipa walimu wote wa kujitolea kwa mwezi husika ikiwa wanafunzi wote wamechanga hapo ndio uanze kulalamika kiasi kinacho baki kinaenda wapi.

Na ukiona kiasi cha pesa kinacho patikana kinaisha basi jijue wewe ni mjinga na mpumbavu wakutupwa halalani.

Na kwa uzoefu nilio nao swala la kujitolea huwa lipo idara nyingi za serikali zenye uhaba wa watumishi ,hata ukija afya kuna wanao jitolea, ukienda mahakama kuna wanao jitolea na ni wengi tu na hawalipwi na serikali wengine wanalipwa na vyanzo vya mapato vya vituo wanavyo jitolea kama vipo kinyume na hapo wazazi wanajitolea.

Nimekuelewesha sana kama bado huta elewa basi wewe ni bumunda na bora uwe hujawarithisha hao watoto wako huo ubumunda wako.
 
Acha ujinga wewe mjinga, kumbe hata kwenye kikao hukwenda sasa hapa ndio shuleni kwamba utapata muhtasari wa kikao walicho jadili wenzio? Wazazi wa aina yako wapumbavu mpo wengi sana, nadhani ungeenda kwenye kikao usinge kimbilia huku .

Upo radhi uhonge malaya hata Tsh. 50,000/= lakini kutoa 1000 kwa mwezi kwa ajili ya walimu wanao jitolea kufundisha watoto wako unaona nongwa kelele hadi mitandaoni , mitanzania mingine sijui iliumbwaje mnatia hadi kichefuchefu aghhh!!!

nimefanya tafiti na kubaini shule za misingi hazina walimu wa kutosha maana walimu wapo 5 wanafunzi 700+ mwalimu mmoja anavipindi 46 hadi 50 kwa wiki na serikali haija ajili walimu wa kutosha sasa nini kifanyike?

Maana huo mzigo haubebeki kwa idadi hiyo ya wanafunzi hapo lazima kutakuwa na kulipua kazi au baadhi ya madarasa wasisome

Swala la walimu wa kujitolea lipo karibu sehemu kubwa ya nchi na mara zote wanachangiwa na wazazi na mara nyingi swala la makusanyo ya pesa huwa linafanywa na wazazi wenyewe wanaunda kamati yao , walimu huwa wanaombwa kufanya ufuatiliaji tu kwa wanafunzi.

Watu wanalipa mamilioni kwa ajili ya elimu wewe 1000 kwa mwenzi unakuja kunapiga mayowe hadi mitandaoni!? Na Kwa haraka wewe nikikutafiti ni lazima unatoka kati ya mikoa hii
1.pwani
2. Morogoro
3.dodoma.
4.singida
5.mtwara
6. lindi
7.ruvuma/ songea
Maana hiyo ndiyo mikoa ambayo swala la elimu kwao halina tija yaan ni ziada sana yaan mzazi yupo radhi ajibane milioni moja iishe kwa ajili ya ngoma/ sherehe za kijinga tu lakini sio elimu na ndio walalamikaji sana hasa wanapo ona swala elimu linataka kuwagusa mifukoni yaani hawapo tayari kuingia gharama kwenye swala linalo itwa shule/elimu yaan hata kumpa tu mwanae hela ya kula shule ni nongwa lakini hela ya sherehe hata akitaka laki atapata ila sio elfu 1000 ya kumlipa mwalimu wa kujitolea tenanl kwa mwezi.

Cha kufanya ili ujiridhishe kwanza tambua walimu wa kujitolea hapo shuleni kwako wapo wangapi na wanalipwa kiasi gani kwa mwezi kisha piga hesabu kwa idadi ya walimu wakujitolea wote watahitaji kulipwa jumlaya Tsh ngapi kwa mwezi

Baada ya hapo chukua tsh 1000/= zidisha mara idadi ya wanafunzi hapo shuleni kama watalupa wote, kiasi utakacho pata kigawe kwa walimu hao wanao jitolea kulingana na malipo waliyo kubaliana kulipwa kwa mwezi.

Sasa ukiona kiasi cha pesa kinacho patikana kwa mwezi bado kina baki baada kuwalipa walimu wote wa kujitolea kwa mwezi husika ikiwa wanafunzi wote wamechanga hapo ndio uanze kulalamika kiasi kinacho baki kinaenda wapi.

Na ukiona kiasi cha pesa kinacho patikana kinaisha basi jijue wewe ni mjinga na mpumbavu wakutupwa halalani.

Na kwa uzoefu nilio nao swala la kujitolea huwa lipo idara nyingi za serikali zenye uhaba wa watumishi ,hata ukija afya kuna wanao jitolea, ukienda mahakama kuna wanao jitolea na ni wengi tu na hawalipwi na serikali wengine wanalipwa na vyanzo vya mapato vya vituo wanavyo jitolea kama vipo kinyume na hapo wazazi wanajitolea.

Nimekuelewesha sana kama bado huta elewa basi wewe ni bumunda na bora uwe hujawarithisha hao watoto wako huo ubumunda wako.
Wewe shoga ungesoma Kwanza nilichotaka kujua kwenye bandiko langu na sio unamwaga povu la matyako.nmehoji uhalali na sio huo ungese unaozungumzia.huwa sizungumzagi Sana na watu design yako mnaojfany much know.
 
Back
Top Bottom