Mkushi Mbishi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 332
- 549
- Thread starter
-
- #21
Kwa mujibu ya waliokuwepo kikaoni ilikuwa imeshapangwa hivyo na wakuu na sio kwamba ni mjadala,hapana.yaani Kama walipewa tu taarifa.Kwanini usiwepo kikaoni, unapuuza vikao alafu unataka kwenda kinyume na Agenda za kikao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] plz acha muhemko bas, muelekeze kwa upole daaah.Wewe shoga ungesoma Kwanza nilichotaka kujua kwenye bandiko langu na sio unamwaga povu la matyako.nmehoji uhalali na sio huo ungese unaozungumzia.huwa sizungumzagi Sana na watu design yako mnaojfany much know.
We ni mjinga tuu huna lolote unalo lijua zaid ya ujinga mi mwenyewe naona najishusha sana kujibizana mtu asiye na akili timamu anaye shindwa kung'amua vitu vidogo WEWE NI MJINGA TENA MJINGA WAKUTUPWA JALALANIWewe shoga ungesoma Kwanza nilichotaka kujua kwenye bandiko langu na sio unamwaga povu la matyako.nmehoji uhalali na sio huo ungese unaozungumzia.huwa sizungumzagi Sana na watu design yako mnaojfany much know.
Hahaaaaa aa hana akili huyo asikupe shida tsh 1000 kwa mwezi analalamika mji mzima wakati anahonga malaya huko, hajui hata umuhimu wa elimu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] plz acha muhemko bas, muelekeze kwa upole daaah.
Upumbavu wangu Mimi bado sijakuzidi wewe,maana ungesoma na kuelewa nilichotaka kujua wala usingefika huko,kumbuka shida sio kulipa. Bali shida nataka kujua nilichotaka kujua ila wew unaleta ungeselema,njoo nikuhonge na wew Kama unaona hao Malaya wanafaid,maana umekazana tu kubana pua nyuma ya keyboardHahaaaaa aa hana akili huyo asikupe shida tsh 1000 kwa mwezi analalamika mji mzima wakati anahonga malaya huko, hajui hata umuhimu wa elimu.
Nenda shule upate uhalisia wa mambo. Na weka wazi, watoto hawana pesa, haina haja ya kuwatandika kama mlezi hujawapa hiyo hela.Wakuu Nina wadogo zangu watatu,nimejikaza niishi nao na niwasomeshe kwa kila hali ingawa sina kitu.lakini shule ya msingi waliyopo wazazi tuliambiwa waalimu ni wachache(sikuwepo kikaoni)
Hivyo ikapangwa kila mwezi,kila mzazi alipie Tsh 1000 wameletwa waalimu ambao tuliambiwa hawajaajiriwa wawe wanalipwa kufidia pengo la uchache wa Waalimu(nahisi ni wale waliotumbuliwaga wanalindana)
Sasa mm nikifikiria nahisi Kama hii kaz ya kuwalipa ni kaz ya serikali sio sisi,ingawa siku zote nalipa ila miez hii miwili nimegoma maana hakuna risiti ya malipo tunayipewa ,Cha ajabu wanachapwa na kulazimishwa kulipa,hela ya kulipa ninayo lakini nahisi Kama wanaonewa haswa Leo baada ya kunieleza ijumaa walipigwa mboko za kutosha,Nina hasira sana
Sasa nataka kujua hii ni halali?tuendelee ama Kama si halali nianzie wapi?
Maana huwa sipendi rushwa wala uonevu kwa watoto wanaotafutiwa elimu.
Cha ajabu ni kwamba upo radhi kuhonga malaya kuliko kumlipa mwalimu wa kujitolea tsh 1000 kwa mwezi ili amfundishe mwanao , na wakati huo kwenye kikao cha wazazi walicho jadili hilo hukwenda halafu unakimbilia huku Jf,yaani hicho tu ndio kinakufanya ounekane takataka la kutupwa jalalani sheikh wangu.Upumbavu wangu Mimi bado sijakuzidi wewe,maana ungesoma na kuelewa nilichotaka kujua wala usingefika huko,kumbuka shida sio kulipa. Bali shida nataka kujua nilichotaka kujua ila wew unaleta ungeselema,njoo nikuhonge na wew Kama unaona hao Malaya wanafaid,maana umekazana tu kubana pua nyuma ya keyboard