Shule ya msingi kila mwezi tulipe pesa wapewe waalimu wasiokuwa na ajira ni sahihi?

Kwanini usiwepo kikaoni, unapuuza vikao alafu unataka kwenda kinyume na Agenda za kikao.
Kwa mujibu ya waliokuwepo kikaoni ilikuwa imeshapangwa hivyo na wakuu na sio kwamba ni mjadala,hapana.yaani Kama walipewa tu taarifa.
Kwahiyo hata Kama ningekuwepo bado ningehoji JE NI HALALI AMA SI HALALI!,ninachotaka kujua uhalali tu wa hili ka mkubwa.
 
Yani tu michango ya jengo tu watu wanajifungia milango kwa ndani ilije unazani wataweza:kweli
 
Wewe shoga ungesoma Kwanza nilichotaka kujua kwenye bandiko langu na sio unamwaga povu la matyako.nmehoji uhalali na sio huo ungese unaozungumzia.huwa sizungumzagi Sana na watu design yako mnaojfany much know.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] plz acha muhemko bas, muelekeze kwa upole daaah.
 
Wewe shoga ungesoma Kwanza nilichotaka kujua kwenye bandiko langu na sio unamwaga povu la matyako.nmehoji uhalali na sio huo ungese unaozungumzia.huwa sizungumzagi Sana na watu design yako mnaojfany much know.
We ni mjinga tuu huna lolote unalo lijua zaid ya ujinga mi mwenyewe naona najishusha sana kujibizana mtu asiye na akili timamu anaye shindwa kung'amua vitu vidogo WEWE NI MJINGA TENA MJINGA WAKUTUPWA JALALANI

Kama unaona gharama kugharamia elimu kaaa na wao nyumban wafuge kama kuku , unaonekana unaoenda vya bure bure halafu mwanaume hasara hiyo ndoa itakuhusu sio mda.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] plz acha muhemko bas, muelekeze kwa upole daaah.
Hahaaaaa aa hana akili huyo asikupe shida tsh 1000 kwa mwezi analalamika mji mzima wakati anahonga malaya huko, hajui hata umuhimu wa elimu.
 
Hahaaaaa aa hana akili huyo asikupe shida tsh 1000 kwa mwezi analalamika mji mzima wakati anahonga malaya huko, hajui hata umuhimu wa elimu.
Upumbavu wangu Mimi bado sijakuzidi wewe,maana ungesoma na kuelewa nilichotaka kujua wala usingefika huko,kumbuka shida sio kulipa. Bali shida nataka kujua nilichotaka kujua ila wew unaleta ungeselema,njoo nikuhonge na wew Kama unaona hao Malaya wanafaid,maana umekazana tu kubana pua nyuma ya keyboard
 
Nenda shule upate uhalisia wa mambo. Na weka wazi, watoto hawana pesa, haina haja ya kuwatandika kama mlezi hujawapa hiyo hela.
 
Cha ajabu ni kwamba upo radhi kuhonga malaya kuliko kumlipa mwalimu wa kujitolea tsh 1000 kwa mwezi ili amfundishe mwanao , na wakati huo kwenye kikao cha wazazi walicho jadili hilo hukwenda halafu unakimbilia huku Jf,yaani hicho tu ndio kinakufanya ounekane takataka la kutupwa jalalani sheikh wangu.
 
WABONGO BOGUS SANA, WALIO WAAMBIA ELIMU BURE WATOTO WAO WANASOMA SHULE ADA MILLION 10. WEWE ENDELEA KUWAGOMEA WALIMU KUCHANGIA ELIMU IENDE MBELE, WATOTO WENU WATAMALIZA SHULE WAKIWA BOGUS
 
Waalimu waliochangia uzi huu ni wengi Sana kuliko wengine,na hawataki kujua mtoa mada amekusudia nini haswa.Bali wanaona ugali ule umetiwa mchanga, Ila mtoa mada saa hii yupo na headteacher yuleyule wanapiga gambe na kutembezeana fegi,haya Wana jf wachache na pasamehewe palipokosewa kuuliza, maana lengo limesahaulika au halitakiwi kusomeka.mtoa mada nimefunga mada,mapovu ya aliyeguswa yaendelee kumwagika hata bila kutaka kuelewa lengo.
Ila tusiende mbio nyingi Bali paliulizwa na muulizaji ''

Shule ya msingi kila mwezi tulipe pesa wapewe waalimu wasiokuwa na ajira ni sahihi.​


Tamati.
...............
 
Mnisamehe niliowakosea katika uzi huu kwani nami ni binadamu kama wengine.

Maana washaurianao hawajuti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…