DOKEZO Shule ya Msingi Tumaini ya Tabata Kimanga Wanafunzi wasiochangia Tsh. 800 wanatolewa Darasani

DOKEZO Shule ya Msingi Tumaini ya Tabata Kimanga Wanafunzi wasiochangia Tsh. 800 wanatolewa Darasani

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Wazee nendeni Shule ya Msingi Tumaini, ipo Kata ya Kimanga, Dar es Salaam kila siku kila Mwanafunzi wa Darasa la Saba anatakiwa atoe mchango Tsh. 800 na kwa siku ya Alhamisi wanachangishwa Tsh. 2,000 ya mtihani.

Pia soma:
  1. Malalamiko yaendelea kuhusu malipo ya 'Mchango wa Uendeshaji wa Shule Tsh 65,000' licha ya Serikali kufuta ada
  2. DOKEZO - √ - Wanafunzi wa kidato cha tano kukataliwa kisa hawajamaliza michango ni usumbufu kwa wanaotoka mbali
  3. DOKEZO - √ - Wazazi wa wanafunzi Shule ya Sekondari BUJUNANGOMA, tumechoka na Michango, Rushwa, Utumikishwaji wa watoto wetu shuleni
  4. DOKEZO - √ - Wanafunzi wa darasa la 7 shule ya Msingi Chanika wazuiliwa kuingia darasani kutokana na kutochangia 500 ya masomo

Kibaya zaidi ni kuwa wanafunzi ambao hawapati nafasi ya kuchanga wanatakiwa kukaa nje ya madarasa waendelee kusoma wenyewe au wacheze, hawawaruhusu kutoka nje ya shule kwa kuwa wanajua wakienda huko wanaweza kupata nafasi ya kusoma au kufundishwa na waalimu wengine wa mtaani.

Kinachoendelea hiki Serikali inatakiwa kuangalia kwa jicho la tatu maana haiwezekani kila siku watu tunalia na michango ambayo haina kichwa wala miguu na mamlaka zipo kimya.

Soma: Waziri wa Elimu, Prof. Mkenda apiga marufuku Shule kuzuia Wanafunzi ambao hawajalipa fedha za michango
 
Wahuni Wameshika hatamu, huo ni mnyororo wa KULAMBA ASALI ni mwendo wa kula kwa urefu wa Kamba mpaka mseme pooo.
 
Ccm waache propanganda ya kuwa elimu tanzania sasa ni bure...watangaze ada ni bei gani wazazi tujipange mapema
 
Kama hauna hela hufai kuishi, ndiyo maana nasema tutafute pesa watoto wasome siyo kukariri.
😂😂😂
 
hilo dogo
Kama madaktari wameambiwa wanaweza fanya privately kwenye ofisi za umma
 
Wazee nendeni Shule ya Msingi Tumaini, ipo Kata ya Kimanga, Dar es Salaam kila siku kila Mwanafunzi wa Darasa la Saba anatakiwa atoe mchango Tsh. 800 na kwa siku ya Alhamisi wanachangishwa Tsh. 2,000 ya mtihani.

Kibaya zaidi ni kuwa wanafunzi ambao hawapati nafasi ya kuchanga wanatakiwa kukaa nje ya madarasa waendelee kusoma wenyewe au wacheze, hawawaruhusu kutoka nje ya shule kwa kuwa wanajua wakienda huko wanaweza kupata nafasi ya kusoma au kufundishwa na waalimu wengine wa mtaani.

Kinachoendelea hiki Serikali inatakiwa kuangalia kwa jicho la tatu maana haiwezekani kila siku watu tunalia na michango ambayo haina kichwa wala miguu na mamlaka zipo kimya.
Huu msururu wa watu kula kwa urefu wa kamba zao ni wa hovyo kabisa na nje ya maadili

Mtoto anakoseshwa haki yake kwa wazazi wake kukosa hela aisee ni huruma, na mtoto ameandikishwa shule hiyo michango isiyo ya msingi inamkosesha haki yake

Ndio hatukatai shule nyingi zinachangamoto ambazo kwa namna nyingine wazazi wanatakiwa kushirikishwa ili zitatuliwe ila in this way it's wrong.
 
Back
Top Bottom