Crystal field theory
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 940
- 401
Wakuuu kwema
Hii ndio elimu bure?
Kwanini serikali isiajiri wapishi ikawalipa?
Inauma sana.
Hii ndio elimu bure?
Kwanini serikali isiajiri wapishi ikawalipa?
Inauma sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado.wakuuu kwema
Hii ndio elimu bure?
kwanini serikali isiajiri wapishi ikawalipa?
inauma saa.
View attachment 2235268
Wewe lipa tu, Maisha yaendeewakuuu kwema
Hii ndio elimu bure?
kwanini serikali isiajiri wapishi ikawalipa?
inauma saa.
View attachment 2235268
Tuna kizazi cha watu wasiojua kusoma na kuandika kwa ufasahaHii nchi ina tatizo kubwa sana katika uandishi hususan katika matumizi ya silabi la,le,li,lo,lu na ra,re,ri,ro,ru.
Sasa "kalo" ndio nini?
Usahihi ni "Karo".
Nilimwambia dogo kuliko uweke shule zipi za kwenda form5 wewe kwenye zile option4 tatu weka vyuo vya ufundii ya mwisho weka shule hautakuja kujutia maishani Ila naona aliniona mm zoba ngoja aje kuingia chuo ataamini kipi ni boraMimi nimeona neno "kalo"
Mbona hyo ni kawaida kwa elimu ya advance hata alipokuewepo uncle!!Wakuuu kwema
Hii ndio elimu bure?
Kwanini serikali isiajiri wapishi ikawalipa?
Inauma sana.
View attachment 2235268
Hata huko vyuoni Kuna baadhi ya vyuo wanachanga even though umechaguliwa na serikali! Elimu ni gharama..lazima tu tukubali kuigharamiaNilimwambia dogo kuliko uweke shule zipi za kwenda form5 wewe kwenye zile option4 tatu weka vyuo vya ufundii ya mwisho weka shule hautakuja kujutia maishani Ila naona aliniona mm zoba ngoja aje kuingia chuo ataamini kipi ni bora
Right kabsa [emoji817]Usipende vya bure bure, hata hivyo hiyo sera ya elimu bure haihusishi kidato cha TANO.
Kwani uongo, wewe ni zoba kweli kweli.Nilimwambia dogo kuliko uweke shule zipi za kwenda form5 wewe kwenye zile option4 tatu weka vyuo vya ufundii ya mwisho weka shule hautakuja kujutia maishani Ila naona aliniona mm zoba ngoja aje kuingia chuo ataamini kipi ni bora
Hakuna elimu bure kidato cha tano na sita .Serikali haijawahi kuahidi elimu bure advanced level. Elimu bure ni elimu msingi(yaani awali,primary na ordinary level).Wakuuu kwema
Hii ndio elimu bure?
Kwanini serikali isiajiri wapishi ikawalipa?
Inauma sana.
View attachment 2235268
Na inaonekana ni kawaida kabisa yaniTuna kizazi cha watu wasiojua kusoma na kuandika kwa ufasaha
Big problem