Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili baada ya kuingia makubaliano na Kenya

Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili baada ya kuingia makubaliano na Kenya

kiswahili na chuo kikuu cha Dar es Salam wapi na wapi...kiswahili ni cha wapwani bwana...we km ni m'bara hakikusu ndugu...(wajuwa) mbna si neno la kiswahili...uandishi tu ndio umeniponza...sasa na mi pia nikuulize...kw akili zako hzo unataka kunambia samani na thamani ni visawe....manake mi najaribu kuwafunza wanaopenda kulitumia hilo neno vibaya...we unakuja kupayuka payuka tu hapa km mjusi..

warukia mashaza matako wazi...utapasuka mkundu wewe
Hahaha hao wapwani ndio wale wa Kenya?? THUBUUTUU!!!
 
Hahaha hao wapwani ndio wale wa Kenya?? THUBUUTUU!!!
heheee...km si wa mwambao ni wa wapi...jamaa lina wivu...nadhan wewe somo la historia umeanguka...ka some kuhusu kiswahili kimekujaje..hapo ndipo utakuja elewa km pwani ya kenya inatambuliki...tatizo unaishi kwa shangazi
 
heheee...km si wa mwambao ni wa wapi...jamaa lina wivu...nadhan wewe somo la historia umeanguka...ka some kuhusu kiswahili kimekujaje..hapo ndipo utakuja elewa km pwani ya kenya inatambuliki...tatizo unaishi kwa shangazi
Kile Kiswahili cha pwani ya Kenya kilikuwa ni lahaja tu wala si chochote! Kiswahili sanifu na fasaha ni kile KILICHOSANIFIWA na wajerumani wakati wa ukoloni!

Kiswahili hicho fasaha ndicho kikakita kambi Tanzania kuanzia nyakati za harakati za uhuru na baada ya uhuru kuanzia mashuleni, serikalini, bungeni, na kwenye vyombo vya habari!

Wakati huo ninyi wakenya mkabaki mnababaika na makapi ya lahaja za hovyo hovyo za Kiswahili! Baadaye kidogo mkajivuruga zaidi na sheng' za ajabu ajabu hazieleweki ni Kiswahili au upupu!

Wacha ubishi, Nyang'au! Njoo nikufunze sarufi uone venye hujui lolote!
 
hehee...kw fasihi hamuwezi kabisa...kisha wacha unafiki..kwnza hyo uliyemtaja ni jamaa la 20s labda...manake waniuliza km nilikuwa nmezaliwa kwel
Huyo mwanafasihi wenu kwa kilatini anaitwa "UNDER DOG". Hajulikani wala havuki boda. Anaishia kwenye hizo gatuzi/kaunti zenu chache! [endapo tu kama sijashawishika kuamini ni mtu ambaye hajawahi kupata kuishi kabisa].
 
Huyo mwanafasihi wenu kwa kilatini anaitwa "UNDER DOG". Hajulikani wala havuki boda. Anaishia kwenye hizo gatuzi/kaunti zenu chache! [endapo tu kama sijashawishika kuamini ni mtu ambaye hajawahi kupata kuishi kabisa].
heheee!!!wakenya wananyakua awards za fasihi wewe bado umebaki na hekaya zako...tishio la wakenya ni wa zenji...lkn hakuna siku utakuta kitabu cha mtu kutoka tanganyika cha fasihi nje ya tanzania...bwahaaaa...ukweli mchungu ndugu
 
heheee!!!wakenya wananyakua awards za fasihi wewe bado umebaki na hekaya zako...tishio la wakenya ni wa zenji...lkn hakuna siku utakuta kitabu cha mtu kutoka tanganyika cha fasihi nje ya tanzania...bwahaaaa...ukweli mchungu ndugu
Hizo tuzo za fasihi ni zile za uchochoroni zisizo na mashiko! Mashindano ya fasihi yanafanyika miongoni mwa wakenya hao hao, na wanaoshinda ni wale wenye "UNAFUU" lakini si kwamba ni nguli! Kwa kukusaidia tu, tafuta kitabu cha fasihi kinaitwa 'ROZA MISTIKA" .... Utatamani kuzifuta hizo tuzo bandia za huyo mwanafasihi wenyu wa kubangaiza!
 
Huu Uzi umewasumbua watu fulani was SADC mara EAC kwa kutopewa kazi kuwafunza "tuliwakomboa SA toka kwa mabeberu", wanafikiri biashara wanafanya marafiki badala ya interests.
 
Kile Kiswahili cha pwani ya Kenya kilikuwa ni lahaja tu wala si chochote! Kiswahili sanifu na fasaha ni kile KILICHOSANIFIWA na wajerumani wakati wa ukoloni!

Kiswahili hicho fasaha ndicho kikakita kambi Tanzania kuanzia nyakati za harakati za uhuru na baada ya uhuru kuanzia mashuleni, serikalini, bungeni, na kwenye vyombo vya habari!

Wakati huo ninyi wakenya mkabaki mnababaika na makapi ya lahaja za hovyo hovyo za Kiswahili! Baadaye kidogo mkajivuruga zaidi na sheng' za ajabu ajabu hazieleweki ni Kiswahili au upupu!

Wacha ubishi, Nyang'au! Njoo nikufunze sarufi uone venye hujui lolote!
bwahaaaa....hv unakijua unakijua unachokiongea....wajua kwanza kiswahili kina baadhi ya maneno yamekopa kutoka kw wareno....wakati walipokita kambi mombasa..km vile meza,mvinyo...dogo hujui kitu...eti kilichosanifiwa na wajerumani...bwahaha...kumbe najadiliana na mtu ambaye hajui chochote kuhusu kiswahili....kwnza kabla ya kuitwa kilikuwa kikiitwa kingozi....kuna maeno kibao sai ya kingozi/yametelekezwa...kw sababu ya watu kujiona wameendelea...

tanganyika mmefanya kukikopa hichi kiswahili...eti mlianza kukitumia kutoka wakati flani wakati watu wa pwani ya kenya walikuwa wanakiongea tayari...mijisifa tu ya kijinga
 
Hizo tuzo za fasihi ni zile za uchochoroni zisizo na mashiko! Mashindano ya fasihi yanafanyika miongoni mwa wakenya hao hao, na wanaoshinda ni wale wenye "UNAFUU" lakini si kwamba ni nguli! Kwa kukusaidia tu, tafuta kitabu cha fasihi kinaitwa 'ROZA MISTIKA" .... Utatamani kuzifuta hizo tuzo bandia za huyo mwanafasihi wenyu wa kubangaiza!
heheeeee...dogo kumbe hujui kitu wewe...eti tuzo za kenya...dogo hujui kitu wewe...huoni wenzako wamekutelekeza...mbna hujishtukizii...bwahaa
 
heheeeee...dogo kumbe hujui kitu wewe...eti tuzo za kenya...dogo hujui kitu wewe...huoni wenzako wamekutelekeza...mbna hujishtukizii...bwahaa
Dogo maana yake nini? Mimi nina umri sawa na baba yako!
 
bwahaaaa....hv unakijua unakijua unachokiongea....wajua kwanza kiswahili kina baadhi ya maneno yamekopa kutoka kw wareno....wakati walipokita kambi mombasa..km vile meza,mvinyo...dogo hujui kitu...eti kilichosanifiwa na wajerumani...bwahaha...kumbe najadiliana na mtu ambaye hajui chochote kuhusu kiswahili....kwnza kabla ya kuitwa kilikuwa kikiitwa kingozi....kuna maeno kibao sai ya kingozi/yametelekezwa...kw sababu ya watu kujiona wameendelea...

tanganyika mmefanya kukikopa hichi kiswahili...eti mlianza kukitumia kutoka wakati flani wakati watu wa pwani ya kenya walikuwa wanakiongea tayari...mijisifa tu ya kijinga
Nasemaje, uje Tanganyika nikufunze sarufi! Unataabika sana nashindwa kuelewa lugha unayoandika!
 
Hizo tuzo za fasihi ni zile za uchochoroni zisizo na mashiko! Mashindano ya fasihi yanafanyika miongoni mwa wakenya hao hao, na wanaoshinda ni wale wenye "UNAFUU" lakini si kwamba ni nguli! Kwa kukusaidia tu, tafuta kitabu cha fasihi kinaitwa 'ROZA MISTIKA" .... Utatamani kuzifuta hizo tuzo bandia za huyo mwanafasihi wenyu wa kubangaiza!
Roza mistika.. Ni roza au Rosa? Kitabu kitamu sana hiki.Nilikisoma nilipokuwa kidato cha kwanza Kimeandikwa na mtanganyika?
 
Nasemaje, uje Tanganyika nikufunze sarufi! Unataabika sana nashindwa kuelewa lugha unayoandika!
hahaaaa...hta usisumbuke dogo...mambo ya kuandika insha ndefu lazima nitakosea herufi au pia hta maneno mengine kutoyaandika...hz simu tu ndugu yangu...siwezi poteza mda kuangalia km naaandika nn....ila kw ufupi...kiswahili watanganyika mmekopa tu...
 
anyway...don't take it personal...we are here also to have fun..not only arguing
 
Back
Top Bottom