Yaani hata mtoto wa darasa la nne atashangaa kwa haya maneno yako. Kwani Funzwa, Funzia, Funzana si vitenzi vilivyonyambuliwa?funza sio kitenzi ...kitenzi ni fundisha na ukiendelea kunyambulisha unapata vitenzi kama fundishwa,fundishana,fundishia hauwezi kunyambulisha kitenzi funza
Pole kwa Ku.paGawaRwanda na Kenya una njozi... the two don't get along
Unafahamu na tunafamu hili
Rwanda na Tz wana ushirikiano wa kiasi kikubwa kuliko Rwanda na Kenya
So dude don't lie to yourself
By the way hili zoezi la kufundisha Kiswahili Rwanda lilianza kitambo
Kiswahili.chenu kibovu kawadanganyeni WaSouth ( what I know hata hawa watafundishwa na Tz coz wanajua asili ya Kiswahili ni Tz. Kumbuka waSouth Africa waliishi Tz na bado wapo. South Africa na Tz ni dugu moya.. upo hapo??!
Rwanda watafundishwa Kiswahili na WaTz amini hili
Kagame sio wa kupelekeshwa hivyo na WaKenya
Hujielewi wewe. Umeanza kwa kusema funza si kitenzi tena mwishowe ukasema ni kitenzi. Confused element. πfunza sio kitenzi ...kitenzi ni fundisha na ukiendelea kunyambulisha unapata vitenzi kama fundishwa,fundishana,fundishia hauwezi kunyambulisha kitenzi funza
kwani wakenya wanajua kiswahili? kiswahili kipo Tz pekee, hata Rwanda wenyewe wanaelewa hilo. labda wangeenda kufundisha kiingereza.Kama ilivyo kawaida yetu kuchangamkia fursa, Rwanda wamebadilisha katiba na kukifanya lugha rasmi, hivyo kitafunzwa shuleni kwenye mitaala yao, tutiririke huko, halafu poa sana maana Rwanda wao tulishaingia makubaliano nao hakuna cha paspoti wala nini, ilmradi unacho kitambulisho chako.
----------------------
Rwanda lawmakers approve swahili as the official Language of the country, dropping french completely and sidelining english People said: "This is good,really good but such a move leavez the Belgian (the former
Rwanda lawmakers approve swahili as the official Language of the country, dropping french completely.
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Rwanda lawmakers approve swahili as the official Language of the country, dropping french completely and sidelining english People said: "This is good,really good but such a move leavez the Belgian (the former (via: trendolizer.com)belgium.trendolizer.com
Yeah Rosa sio roza kama GODZILLA anavyosema.Rosa Mistika Kiliandikwa na Euphrase Kezilahabi, Alizaliwa Ukerewe island
Majinga sana aisee.Matz majinga sana,hahaha,mnatia aibu midanganyika.
Hii Habari ya nyang'au kukimbilia kila kitu Kama wanavyokimbiza upepo baadae wanatulaumu kumbe uwezo wao mdogo mfano pipeline, kiswahili, cow. Magufuli kawatibulia sasaNdo hivyo yaniView attachment 1108674
Na Rwanda tunakuja kuwatibulia Wakenya kabla ya kuharibu kiswahili huko πππ
Nachopenda kuhusu Tanzania huwa hatukurupuki Kama wenzetu wakenya,ndio maana inakuwa rahisi kuwapikuHii Habari ya nyang'au kukimbilia kila kitu Kama wanavyokimbiza upepo baadae wanatulaumu kumbe uwezo wao mdogo mfano pipeline, kiswahili, cow. Magufuli kawatibulia sasa
Hii Habari ya nyang'au kukimbilia kila kitu Kama wanavyokimbiza upepo baadae wanatulaumu kumbe uwezo wao mdogo mfano pipeline, kiswahili, cow. Magufuli kawatibulia sasa
Kama ilivyo kawaida yetu kuchangamkia fursa, Rwanda wamebadilisha katiba na kukifanya lugha rasmi, hivyo kitafunzwa shuleni kwenye mitaala yao, tutiririke huko, halafu poa sana maana Rwanda wao tulishaingia makubaliano nao hakuna cha paspoti wala nini, ilmradi unacho kitambulisho chako.
----------------------
Rwanda lawmakers approve swahili as the official Language of the country, dropping french completely and sidelining english People said: "This is good,really good but such a move leavez the Belgian (the former
Rwanda lawmakers approve swahili as the official Language of the country, dropping french completely.
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Rwanda lawmakers approve swahili as the official Language of the country, dropping french completely and sidelining english People said: "This is good,really good but such a move leavez the Belgian (the former (via: trendolizer.com)belgium.trendolizer.com
Kama mnataka kudanganya nendeni mbali sio maeneo haya ambayo kila mtu anajua wapi Kiswahili kinatumika ktk nyanja zote.
Akina Museveni, Kagame, Kabila, Munangagwa, Kaberuka, Garang and others wote walisoma na kuishi TZ, wanaelewa hilo vizuri tu.
Asilimia kubwa ya wanyaRwanda na Warundi walisoma Kiswahili ktk shule za TZ wakati wakiwa wakimbizi toka miaka ya 70.
Leo hii uwapelekee mwalimu wa Kiswahili toka nchi nyingine zaidi ya TZ, wanafunzi watakuwa wanamcheka darasani na badala yake watakua wanaangalia YouTube za akina Diamond na Harmo.
Bantu, kuzungumza mnazungumza vizuri sana ila kuandika na nafikiri pia kufundisha mpo ZERO. Umeona vile wenzio wamedhihirisha kuwa mna elimu duni? Yaani mtu haelewi vitawe na mnyambuliko wa vitenzi. Ukiuliza mtoto wa kikenya maswali kama haya atakujibu vizuri sana.Kama mnataka kudanganya nendeni mbali sio maeneo haya ambayo kila mtu anajua wapi Kiswahili kinatumika ktk nyanja zote.
Akina Museveni, Kagame, Kabila, Munangagwa, Kaberuka, Garang and others wote walisoma na kuishi TZ, wanaelewa hilo vizuri tu.
Asilimia kubwa ya wanyaRwanda na Warundi walisoma Kiswahili ktk shule za TZ wakati wakiwa wakimbizi toka miaka ya 70.
Leo hii uwapelekee mwalimu wa Kiswahili toka nchi nyingine zaidi ya TZ, wanafunzi watakuwa wanamcheka darasani na badala yake watakua wanaangalia YouTube za akina Diamond na Harmo.