Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili baada ya kuingia makubaliano na Kenya

Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili baada ya kuingia makubaliano na Kenya

Rwanda na Kenya una njozi... the two don't get along
Unafahamu na tunafamu hili
Rwanda na Tz wana ushirikiano wa kiasi kikubwa kuliko Rwanda na Kenya
So dude don't lie to yourself
By the way hili zoezi la kufundisha Kiswahili Rwanda lilianza kitambo
Kiswahili.chenu kibovu kawadanganyeni WaSouth ( what I know hata hawa watafundishwa na Tz coz wanajua asili ya Kiswahili ni Tz. Kumbuka waSouth Africa waliishi Tz na bado wapo. South Africa na Tz ni dugu moya.. upo hapo??!
Rwanda watafundishwa Kiswahili na WaTz amini hili
Kagame sio wa kupelekeshwa hivyo na WaKenya
Pole kwa Ku.paGawa
 
funza sio kitenzi ...kitenzi ni fundisha na ukiendelea kunyambulisha unapata vitenzi kama fundishwa,fundishana,fundishia hauwezi kunyambulisha kitenzi funza
Hujielewi wewe. Umeanza kwa kusema funza si kitenzi tena mwishowe ukasema ni kitenzi. Confused element. 😕
As a noun, it can't be conjugated but it can be as a verb.Rudi darasa la 3 ukafundishwe kuhusu mnyambuliko wa vitenzi
 
k
Kama ilivyo kawaida yetu kuchangamkia fursa, Rwanda wamebadilisha katiba na kukifanya lugha rasmi, hivyo kitafunzwa shuleni kwenye mitaala yao, tutiririke huko, halafu poa sana maana Rwanda wao tulishaingia makubaliano nao hakuna cha paspoti wala nini, ilmradi unacho kitambulisho chako.
----------------------

Rwanda lawmakers approve swahili as the official Language of the country, dropping french completely and sidelining english People said: "This is good,really good but such a move leavez the Belgian (the former
kwani wakenya wanajua kiswahili? kiswahili kipo Tz pekee, hata Rwanda wenyewe wanaelewa hilo. labda wangeenda kufundisha kiingereza.
 
Ndo hivyo yani
52cf8b39e191f9972d37b40fa9cef9e5.jpeg
 
Kama mnataka kudanganya nendeni mbali sio maeneo haya ambayo kila mtu anajua wapi Kiswahili kinatumika ktk nyanja zote.

Akina Museveni, Kagame, Kabila, Munangagwa, Kaberuka, Garang and others wote walisoma na kuishi TZ, wanaelewa hilo vizuri tu.

Asilimia kubwa ya wanyaRwanda na Warundi walisoma Kiswahili ktk shule za TZ wakati wakiwa wakimbizi toka miaka ya 70.

Leo hii uwapelekee mwalimu wa Kiswahili toka nchi nyingine zaidi ya TZ, wanafunzi watakuwa wanamcheka darasani na badala yake watakua wanaangalia YouTube za akina Diamond na Harmo.

Kama ilivyo kawaida yetu kuchangamkia fursa, Rwanda wamebadilisha katiba na kukifanya lugha rasmi, hivyo kitafunzwa shuleni kwenye mitaala yao, tutiririke huko, halafu poa sana maana Rwanda wao tulishaingia makubaliano nao hakuna cha paspoti wala nini, ilmradi unacho kitambulisho chako.
----------------------

Rwanda lawmakers approve swahili as the official Language of the country, dropping french completely and sidelining english People said: "This is good,really good but such a move leavez the Belgian (the former
 
Kama mnataka kudanganya nendeni mbali sio maeneo haya ambayo kila mtu anajua wapi Kiswahili kinatumika ktk nyanja zote.

Akina Museveni, Kagame, Kabila, Munangagwa, Kaberuka, Garang and others wote walisoma na kuishi TZ, wanaelewa hilo vizuri tu.

Asilimia kubwa ya wanyaRwanda na Warundi walisoma Kiswahili ktk shule za TZ wakati wakiwa wakimbizi toka miaka ya 70.

Leo hii uwapelekee mwalimu wa Kiswahili toka nchi nyingine zaidi ya TZ, wanafunzi watakuwa wanamcheka darasani na badala yake watakua wanaangalia YouTube za akina Diamond na Harmo.

Hili nalisema kila siku, utaalam wa kufundisha lugha ni tofauti na kuizungumza mtaani, nyie mpo ovyoo sana kwenye uandishi wa Kiswahili.
 
Kama mnataka kudanganya nendeni mbali sio maeneo haya ambayo kila mtu anajua wapi Kiswahili kinatumika ktk nyanja zote.
Akina Museveni, Kagame, Kabila, Munangagwa, Kaberuka, Garang and others wote walisoma na kuishi TZ, wanaelewa hilo vizuri tu.
Asilimia kubwa ya wanyaRwanda na Warundi walisoma Kiswahili ktk shule za TZ wakati wakiwa wakimbizi toka miaka ya 70.
Leo hii uwapelekee mwalimu wa Kiswahili toka nchi nyingine zaidi ya TZ, wanafunzi watakuwa wanamcheka darasani na badala yake watakua wanaangalia YouTube za akina Diamond na Harmo.
Bantu, kuzungumza mnazungumza vizuri sana ila kuandika na nafikiri pia kufundisha mpo ZERO. Umeona vile wenzio wamedhihirisha kuwa mna elimu duni? Yaani mtu haelewi vitawe na mnyambuliko wa vitenzi. Ukiuliza mtoto wa kikenya maswali kama haya atakujibu vizuri sana.
 
Back
Top Bottom