Bro naomba hiyo forum ya ndugu zetu wa Mombasa, hata ikiwezekana nitumie PM, huwa natamani sana kuchat nao.njoo katika forum ya mombasa toa donge lako na hicho kiherehere cha kwamva wajuwa kiswahili au na hayo makosa yako ya kijinga..hku utakimbia..kila mtu anapiga kiswahili safi kabisa...hamna cha samani,zahabu,mara siliazi,lamani...
😝😝😝😝 Tabu kwelikweli Tafuta kamusi ya kiswahili sanifu uangalie maana ya "STATE" na "COUNTY" usinichoshekumbe wewe hujui kiswahili..unapiga kelele tu...nipe maana ya
STATE....
COUNTY...
Alafu hayo maelezo yako..ilikuwa unamaanisha ugatuzi..wala si gatuzi..
sasa nionyeshe aisee katika kamusi ya kiswahili..
Hiko kiswahili kipo kwenye kamusi gani?Huo ni ugatuzi, gatuzi ndio 'county'.
Kiingeleza ndio lugha gani?Wewe kiazi kweli lugha gani duniani imejitosheleza? Zaidi ya asilimia 60 ya maneno ya kiingeleza yamekopwa kutoka kwenye lugha nyingine
Wewe hiyo asilimia 90 umeitoa wapi?
Sasa hapo ni "gatuzi la" au "gatuzi ya" maana naona mnabuni najina bila ya kufuata mtililiko wa kiswahili mfano sisi tunatililika hivi "Jimbo la ukonga"
heheeee...kwhyo wataka turekebishane mm na weweWajuwa [emoji777]
Wajua [emoji736]
Moja ya shida yenu kubwa ni mkikosea mnaona mpo right na hamtaki kurekebishwaheheeee...kwhyo wataka turekebishane mm na wewe
hehee....umehaha ukaona uanze kujifanya mwalimu..mwenzako najua vizuri hicho kitu ulichonirekebisha hapo...Wajuwa [emoji777]
Wajua [emoji736]
Kwa majivuno tu labda na sio vinginevyohehee....umehaha ukaona uanze kujifanya mwalimu..mwenzako najua vizuri hicho kitu ulichonirekebisha hapo...
na hapa umefika ndugu...ukitaka tukosoane utakimbia...kw kiswahili chako cha aisee...hapa hufui dafu nakwambia baba...nakwambia sijisifu na wala sitojifu..ila kiswahili hapa utatoka nduki...kuna mawaddii kibao walijifanya wanaweza
Hivi kweli tukiongea kiswahili cha TUKI kile sidhani kama wataelewa hata chembe ya neno lolote [emoji23][emoji23][emoji23]Wakenya mnajitutumua munekane kiswahili chenyewe kibovu kama yai viza.
Nyie kulambana madume kawaida si mapunga watupu.Hongereni kiswahili chenu wa tz wavumilivu.Na sisi sijui lugha yetu ipi mtupe basi kiluo au kikuyu huo ni uonevu.wakenya tembeeni vifua mbele kwa kiki zenukenya tumelamba dume tena mazeee
View attachment 1101190
Mi mwenyewe nimesoma kule nakujua vizuri sana. Hiyo manzi ni kiswahili cha mtaania kama unavyosema demu. Kule mtihani wa darasa la nane tu kuna mtihani wa lugha na insha. Kwenye insha huwezi andika huo upuuzi you have to be very professional. Form 4 kuna fasihi na lugha. Kwenye fasihi kuna mashairi, riwaya etc nakumbuka wakati nasoma nilisoma kitabu kinaitwa kisima cha giningi na AMEZIDI. Wapo wale wa bara ambao wameathiriwa na lugha ya mama. Mfano wajaluo neno sh hawawezi kutamka, fish anasema fis. Ila kwenye kuandika wanaandika poa sana. Tatizo hapa hata kwenye kuandika pia ni issue.
Federal = shirikisho, shirika, ushirikianoFederal Kama sijakosea ndio Jimbo, Kama vile Jimbo la California kule Marekani.
Pande hiiHawa si ndio wanawapotosha wageni ka kuwafundisha kiswahii cha hovyohovyo?
1. Nimeingia kwa mulango nikatokea kwa dirisha
2. Ile maneno
3. Wavijanaa
4.Mazee
5.