Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili baada ya kuingia makubaliano na Kenya

Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili baada ya kuingia makubaliano na Kenya

Data datani sio lugha rasmi mzee, kwenye kiswahili hayo maneno yanaitwa MISIMU huzuka na kutoweka.

Lakini nyinyi mmehalalisha kabisaa matumizi ya neno "COUNTY"
Nakufundisha kuanzia leo Neno "County" kiswahili chake ni "JIMBO"
Jina sahihi la 'county' ni gatuzi sio jimbo.
 
Data datani sio lugha rasmi mzee, kwenye kiswahili hayo maneno yanaitwa MISIMU huzuka na kutoweka.

Lakini nyinyi mmehalalisha kabisaa matumizi ya neno "COUNTY"
Nakufundisha kuanzia leo Neno "County" kiswahili chake ni "JIMBO"
Jimbo-State
County-Gatuzi/Kaunti
 
Mara nyingi tunawaambia humu kwamba sisi Wakenya tunakipenda Kiswahili, ndio lugha yetu ya taifa inayotambulika kikatiba, tunakitumia mitaani na kote kote, sema ni ile hatuna ubumbumbu wa kujifungia kwenye lugha moja.
Tunatumia Kiswahili, Kingereza na lugha zetu za asili. Leo Kiswahili kinazagaa dunia na kupata umaarufu kwa ajili ya jitihada za Wakenya, tunakitangaza na kukipigia debe lakini pamoja na hayo tunaonyesha umahiri mkubwa kwa kumudu lugha zingine.
Utafiti wa sayansi ulishabaini kwamba ujanja wa kuongea lugha zaidi ya moja hupanua hata uwezo wa kutumia ubongo na kufikiria.

Afrika Kusini wamesaini makubaliano na Kenya ya kuanza kufundisha Kiswahili kwenye mtaala wao, hapo tayari maelfu ya Wakenya watahitajika kwenda kukifunza, ikumbukwe kule Uchina na Japani Wakenya ndio wanafunza Kiswahili kwenye vyuo vyao.

Waziri wa elimu wa Afrika Kusini yupo Kenya na amehudhuria utiaji saini wa hayo makubaliano.
------------------------------------------

zytgdhsdkzc2ub3dkz725cde613696019.jpg

Principal Secretary for Early Learning and Basic Education, Dr. Belio Kipsang, Cabinet Secretary for Education Prof George Magoha (C) and South African Minister for Basic Education Angelina Matsie Motshekga. [Photo: Courtesy]


South Africa will teach Kiswahili in her Educational System after signing an agreement with Kenya
This precedes yesterday’s meeting in which Cabinet Secretary of Education Prof George Magoha and South African Minister for Basic Education Angelina Matsie Motshekga signed a Memorandum of Understanding for the respective countries.


The Signing of the MOU paves way for the introduction of Kiswahili teaching in South Africa, which will add to the bulk of many languages taught in the country.


Speaking at his office in Jogoo House, Nairobi, after signing the MOU; Prof Magoha lauded the development as a step forward to strengthen collaboration between the two countries.
Motshekga on the other hand said that 40 per cent of learners in South Africa are currently are either learning or speaking Kiswahili. This, she said would be beneficial to developing country’s educational system.

Ki ukweli kabisa wakenya wapo vzuri kwenye kiswahili especially wale wanotoka ukanda wa pwani. Watz wengi wanashindwa kutofautisha R and L. dha wanatumia za na tha wanasema sa. Very sad. Unakuta mtu amemaliza mpaka chuo kikuu lakini still hawezo tofautisha hiyo
 
Ki ukweli kabisa wakenya wapo vzuri kwenye kiswahili especially wale wanotoka ukanda wa pwani. Watz wengi wanashindwa kutofautisha R and L. dha wanatumia za na tha wanasema sa. Very sad. Unakuta mtu amemaliza mpaka chuo kikuu lakini still hawezo tofautisha hiyo
Kama ulivyo sema wakenya wa pwani wako vizuri ata hao wa Tz wenye tatizo la L na R ungetaja ukanda wanapo tokea. Ila kwakua lengo lako ni kupaka matope umeishia kusema wa Tz wote! Lengo lako likatimia bila shaka unajipongeza kwa kucheza mayeno
 
Kama ulivyo sema wakenya wa pwani wako vizuri ata hao wa Tz wenye tatizo la L na R ungetaja ukanda wanapo tokea. Ila kwakua lengo lako ni kupaka matope umeishia kusema wa Tz wote! Lengo lako likatimia bila shaka unajipongeza kwa kucheza mayeno
Hilo tatizo la L na R ni karibia asilimia 90 ya watz mkuu. Wewe angalia hata hapa JF. watu wanavyopost utaona. Na wakenya wabara mara nying huwa wanakosa misiati/maneno ya baadhi ya maneno ndio maana huwa wanaweka kiingereza wanapokosa msamiati wa neno flani. Ila mistakes za R na L au dhahabu mtu kusema zahabu au thamani mtu kusema samani. Hivyo vitu hawana. Mimi kama mimi ukiniwekea Mtz na mkenya kwenye kiswahili, I will definately pick a Kenyan. Sina unafki hapa naonge ukweli.
 
Jimbo-State
County-Gatuzi/Kaunti
😝😝😝😝 Kiswahili cha wapi hiki ndio maana nikasema Wakenya mnatuharibia Kiswahili sanifu mtuachie Kiswahili chetu.

Gatuzi ni kupeleka, kuhamisha, kuteremsha madaraka, mamlaka, kwa maana ya fedha, rasilmali watu, nyenzo, technologia n.k.

State sio jimbo "HEAD OF STATE" "Mkuu wa nchi"😛😛😛 Hakuna kiswahili cha Kaunti kwenye kamusi ya Kiswahili Sanifu haipo. (BAKITA) wenyewe hawajui Kinachotambulika ni hiki 👇

County= Jimbo. Mfano kwa kiingereza ukitaka kusema "Jimbo la Geita vijijini" hauwezi kusema "GEITA VILLAGE STATE" hiki sijui kitakuwa kiingereza cha wapi inatakiwa isemwe hivi "GEITA VILLAGE COUNTY"

Wakenya Kiswahili chetu mtuachie
 
Hilo tatizo la L na R ni karibia asilimia 90 ya watz mkuu. Wewe angalia hata hapa JF. watu wanavyopost utaona. Na wakenya wabara mara nying huwa wanakosa misiati/maneno ya baadhi ya maneno ndio maana huwa wanaweka kiingereza wanapokosa msamiati wa neno flani. Ila mistakes za R na L au dhahabu mtu kusema zahabu au thamani mtu kusema samani. Hivyo vitu hawana. Mimi kama mimi ukiniwekea Mtz na mkenya kwenye kiswahili, I will definately pick a Kenyan. Sina unafki hapa naonge ukweli.
Eti asilimia 90, wewe lena kweli
 
Eti asilimia 90, wewe lena kweli
Huo ndio ukweli kaka usikatae ukweli. Out of 10 only one anaweza kuongea au kuandika kiswahili fasaha TZ. Advantage ambayo watz wanayo over kenyans kwenye kiswahili is that they can speak very fast. Hilo tu mkuu
 
Huo ndio ukweli kaka usikatae ukweli. Out of 10 only one anaweza kuongea au kuandika kiswahili fasaha TZ. Advantage ambayo watz wanayo over kenyans kwenye kiswahili is that they can speak very fast. Hilo tu mkuu
Duuh uongo wa karne huu
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Nyang'au mtafundisha nani kiswahili nyinyi? Labda watu wa mombasa ambao wengi hawana ukabila wanajichanganya na watu.
Bunge lenu anayeongea kiswahili kizuri Mohamed Ali pekee wa jicho pevu.
 

Attachments

  • Inst-video-17.mp4
    4.5 MB
Hilo tatizo la L na R ni karibia asilimia 90 ya watz mkuu. Wewe angalia hata hapa JF. watu wanavyopost utaona. Na wakenya wabara mara nying huwa wanakosa misiati/maneno ya baadhi ya maneno ndio maana huwa wanaweka kiingereza wanapokosa msamiati wa neno flani. Ila mistakes za R na L au dhahabu mtu kusema zahabu au thamani mtu kusema samani. Hivyo vitu hawana. Mimi kama mimi ukiniwekea Mtz na mkenya kwenye kiswahili, I will definately pick a Kenyan. Sina unafki hapa naonge ukweli.
Sasa matatizo ya wakenya kwenye kuongea na kuandika Kiswahili hayo uliyo yataja ni cha mdoll. Mfano "Jana yule manzi ali elewa njaro zangu aka come kwa keja nika mmanga, ila ali kuwa ana shuta vi deadly" sasa mtu kama huyo si bora yule anaekosea L na R! Mimi wakenya nimekaa nao na nilishawahi kufundishwa na mwalimu wa Kiswahili Mkenya na wao "mother language" zime wa affect. mwizi= mwisi, unasema= unasemanga n.k. Wabongo tulikua tuna mcheka mpaka akawa ana tumind.
 
Jina sahihi la 'county' ni gatuzi sio jimbo.
Maana ya gatuzi ni kupeleka, kuhamisha, kuteremsha madaraka, mamlaka, kwa maana ya fedha, rasilmali watu, nyenzo, technologia n.k.

Hivyo mtuachie kiswahili chetu mnakiharibu
 
Umenoa, tena kwa mbali sana. Ungesema 'county/kaunti' au gatuzi(ambalo ndio jina sahihi) ni kata ningekuelewa. Kila gatuzi lina majimbo kadhaa ndani yake.
Maana ya Gatuzi ni hii kwenye kamusi ya Kiswahili sanifu ni kupeleka, kuhamisha, kuteremsha madaraka, mamlaka, kwa maana ya fedha, rasilmali watu, nyenzo, technologia n.k.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Hapa bongo,waziri wa utamaduni anatenga bajeti ya kuendeleza lugha za kikabila .
Kiuhalisia,ndo kaeneo wanajichotea hela za wanyonge.
Kuongozwa na ccm,ni km laana kwa tanzania
 
Sasa matatizo ya wakenya kwenye kuongea na kuandika Kiswahili hayo uliyo yataja ni cha mdoll. Mfano "Jana yule manzi ali elewa njaro zangu aka come kwa keja nika mmanga, ila ali kuwa ana shuta vi deadly" sasa mtu kama huyo si bora yule anaekosea L na R! Mimi wakenya nimekaa nao na nilishawahi kufundishwa na mwalimu wa Kiswahili Mkenya na wao "mother language" zime wa affect. mwizi= mwisi, unasema= unasemanga n.k. Wabongo tulikua tuna mcheka mpaka akawa ana tumind.
Mi mwenyewe nimesoma kule nakujua vizuri sana. Hiyo manzi ni kiswahili cha mtaania kama unavyosema demu. Kule mtihani wa darasa la nane tu kuna mtihani wa lugha na insha. Kwenye insha huwezi andika huo upuuzi you have to be very professional. Form 4 kuna fasihi na lugha. Kwenye fasihi kuna mashairi, riwaya etc nakumbuka wakati nasoma nilisoma kitabu kinaitwa kisima cha giningi na AMEZIDI. Wapo wale wa bara ambao wameathiriwa na lugha ya mama. Mfano wajaluo neno sh hawawezi kutamka, fish anasema fis. Ila kwenye kuandika wanaandika poa sana. Tatizo hapa hata kwenye kuandika pia ni issue.
 
Mi mwenyewe nimesoma kule nakujua vizuri sana. Hiyo manzi ni kiswahili cha mtaania kama unavyosema demu. Kule mtihani wa darasa la nane tu kuna mtihani wa lugha na insha. Kwenye insha huwezi andika huo upuuzi you have to be very professional. Form 4 kuna fasihi na lugha. Kwenye fasihi kuna mashairi, riwaya etc nakumbuka wakati nasoma nilisoma kitabu kinaitwa kisima cha giningi na AMEZIDI. Wapo wale wa bara ambao wameathiriwa na lugha ya mama. Mfano wajaluo neno sh hawawezi kutamka, fish anasema fis. Ila kwenye kuandika wanaandika poa sana. Tatizo hapa hata kwenye kuandika pia ni issue.
Kama umekaa na wakenya halafu unasema wakenya wanajua Kiswahili kuliko watanzania naomba nikuache kama ulivyo. Ila kaa ukijua mwalimu wa lugha anafundisha kusoma, kuandika na kuongea.
 
Kama umekaa na wakenya halafu unasema wakenya wanajua Kiswahili kuliko watanzania naomba nikuache kama ulivyo. Ila kaa ukijua mwalimu wa lugha anafundisha kusoma, kuandika na kuongea.
Wako poa mkuu. Hapa tupo fluent tu. Sikiliza bongo fleva ni kichefuchefu. Sijui hao maproducer/mameneja wanafanya kazi gani. Hata diamond nyimbo zake anashindwa kutofautusha L na R kwenye nyimbo zake sijui kama umelijua hilo.
 
Ungejua historia ya Kiswahili hungeandika huu upupu, Kiswahili chenyewe hakijajitosheleza kwa maneno, hivyo inabidi kuendelea kutohoa maneno kutoka kwenye lugha zingine zikiwemo zetu za asili.
Nyie hapo kwenu nimekua nikiona matangazo eti data datani....ndio Kiswahili hicho?
Wewe kiazi kweli lugha gani duniani imejitosheleza? Zaidi ya asilimia 60 ya maneno ya kiingeleza yamekopwa kutoka kwenye lugha nyingine
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Back
Top Bottom