Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili baada ya kuingia makubaliano na Kenya

Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili baada ya kuingia makubaliano na Kenya

Ki ukweli kabisa wakenya wapo vzuri kwenye kiswahili especially wale wanotoka ukanda wa pwani. Watz wengi wanashindwa kutofautisha R and L. dha wanatumia za na tha wanasema sa. Very sad. Unakuta mtu amemaliza mpaka chuo kikuu lakini still hawezo tofautisha hiyo
Mkuu rudia tena
 
Hilo tatizo la L na R ni karibia asilimia 90 ya watz mkuu. Wewe angalia hata hapa JF. watu wanavyopost utaona. Na wakenya wabara mara nying huwa wanakosa misiati/maneno ya baadhi ya maneno ndio maana huwa wanaweka kiingereza wanapokosa msamiati wa neno flani. Ila mistakes za R na L au dhahabu mtu kusema zahabu au thamani mtu kusema samani. Hivyo vitu hawana. Mimi kama mimi ukiniwekea Mtz na mkenya kwenye kiswahili, I will definately pick a Kenyan. Sina unafki hapa naonge ukweli.

Wewe hiyo asilimia 90 umeitoa wapi?
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Wewe kiazi kweli lugha gani duniani imejitosheleza? Zaidi ya asilimia 60 ya maneno ya kiingeleza yamekopwa kutoka kwenye lugha nyingine
Umenielewa kweli au umedandia kwa mbele bila kujua inaenda wapi.
Nilikua nampa mwenzio darasa ambaye anashangaa akiona tunabuni maneno ya Kiswahili, ambapo ni wazi kuna maneno mengi ambayo hakina na inabidi kutohoa kutoka kwenye lugha zetu za asili au Kingereza.
 
Hilo tatizo la L na R ni karibia asilimia 90 ya watz mkuu. Wewe angalia hata hapa JF. watu wanavyopost utaona. Na wakenya wabara mara nying huwa wanakosa misiati/maneno ya baadhi ya maneno ndio maana huwa wanaweka kiingereza wanapokosa msamiati wa neno flani. Ila mistakes za R na L au dhahabu mtu kusema zahabu au thamani mtu kusema samani. Hivyo vitu hawana. Mimi kama mimi ukiniwekea Mtz na mkenya kwenye kiswahili, I will definately pick a Kenyan. Sina unafki hapa naonge ukweli.

Kwa mantiki hiyo unamaanisha hata kwenye huu uzi kuna watu 9/10 wamekosea matumizi ya L na R,
what a dumb goat[emoji2][emoji2][emoji2].
 
  • Thanks
Reactions: Oii
South Africa wamewasahau SADC mwenzao wakaja EAC kuwasajili Wakenya kufunza luhga ya Kiswahili kwao. Kudos Kenya.
 
Jina sahihi la 'county' ni gatuzi sio jimbo.
Sasa hapo ni "gatuzi la" au "gatuzi ya" maana naona mnabuni najina bila ya kufuata mtililiko wa kiswahili mfano sisi tunatililika hivi "Jimbo la ukonga"
 
Maana ya gatuzi ni kupeleka, kuhamisha, kuteremsha madaraka, mamlaka, kwa maana ya fedha, rasilmali watu, nyenzo, technologia n.k.

Hivyo mtuachie kiswahili chetu mnakiharibu
Huo ni ugatuzi, gatuzi ndio 'county'.
 
Mwambie akacheki JamiiForums.com FORUM kule ni lugha gongana sijue hata kama wao Kwa wao wanaelewana wanaongea kama walevi wa changaa
 
Mwambie akacheki ********* FORUM kule ni lugha gongana sijue hata kama wao Kwa wao wanaelewana wanaongea kama walevi wa changaa
Heeee nimeandika neno kenyatalkk forum limekataa kweli Kenya inalaana hadi jf inakataa kiberatalk forum
 
Mwambie akacheki ********* FORUM kule ni lugha gongana sijue hata kama wao Kwa wao wanaelewana wanaongea kama walevi wa changaa
njoo katika forum ya mombasa toa donge lako na hicho kiherehere cha kwamva wajuwa kiswahili au na hayo makosa yako ya kijinga..hku utakimbia..kila mtu anapiga kiswahili safi kabisa...hamna cha samani,zahabu,mara siliazi,lamani...
 
Nenda ukawafundihe sasa unatuambia sisi ili iweje??

Mkawafundishe kwamba
Masee ni nini??
Kunyora ni nini?
Mtoi ni nini??

Bando ni langu sio lazima uelewe
mkuu usisahau na "pigia nduru kwa kipepewo!"
 
njoo katika forum ya mombasa toa donge lako na hicho kiherehere cha kwamva wajuwa kiswahili au na hayo makosa yako ya kijinga..hku utakimbia..kila mtu anapiga kiswahili safi kabisa...hamna cha samani,zahabu,mara siliazi,lamani...
Forum ya Mombasa nitajie jina lake
 
Mara nyingi tunawaambia humu kwamba sisi Wakenya tunakipenda Kiswahili, ndio lugha yetu ya taifa inayotambulika kikatiba, tunakitumia mitaani na kote kote, sema ni ile hatuna ubumbumbu wa kujifungia kwenye lugha moja.
Tunatumia Kiswahili, Kingereza na lugha zetu za asili. Leo Kiswahili kinazagaa dunia na kupata umaarufu kwa ajili ya jitihada za Wakenya, tunakitangaza na kukipigia debe lakini pamoja na hayo tunaonyesha umahiri mkubwa kwa kumudu lugha zingine.
Utafiti wa sayansi ulishabaini kwamba ujanja wa kuongea lugha zaidi ya moja hupanua hata uwezo wa kutumia ubongo na kufikiria.

Afrika Kusini wamesaini makubaliano na Kenya ya kuanza kufundisha Kiswahili kwenye mtaala wao, hapo tayari maelfu ya Wakenya watahitajika kwenda kukifunza, ikumbukwe kule Uchina na Japani Wakenya ndio wanafunza Kiswahili kwenye vyuo vyao.

Waziri wa elimu wa Afrika Kusini yupo Kenya na amehudhuria utiaji saini wa hayo makubaliano.
------------------------------------------

zytgdhsdkzc2ub3dkz725cde613696019.jpg

Principal Secretary for Early Learning and Basic Education, Dr. Belio Kipsang, Cabinet Secretary for Education Prof George Magoha (C) and South African Minister for Basic Education Angelina Matsie Motshekga. [Photo: Courtesy]


South Africa will teach Kiswahili in her Educational System after signing an agreement with Kenya
This precedes yesterday’s meeting in which Cabinet Secretary of Education Prof George Magoha and South African Minister for Basic Education Angelina Matsie Motshekga signed a Memorandum of Understanding for the respective countries.


The Signing of the MOU paves way for the introduction of Kiswahili teaching in South Africa, which will add to the bulk of many languages taught in the country.


Speaking at his office in Jogoo House, Nairobi, after signing the MOU; Prof Magoha lauded the development as a step forward to strengthen collaboration between the two countries.
Motshekga on the other hand said that 40 per cent of learners in South Africa are currently are either learning or speaking Kiswahili. This, she said would be beneficial to developing country’s educational system.


Hongereni Wakenya kwa kupata dili la kufunza Kiswahili duniani. Nyinyi ni Waswahili zaidi ya Waswahili wenyewe.
 
Ungejua historia ya Kiswahili hungeandika huu upupu, Kiswahili chenyewe hakijajitosheleza kwa maneno, hivyo inabidi kuendelea kutohoa maneno kutoka kwenye lugha zingine zikiwemo zetu za asili.
Nyie hapo kwenu nimekua nikiona matangazo eti data datani....ndio Kiswahili hicho?
Mkenya unajua hadi neno kutohoa? We bila shaka utakuwa umesoma tz sio bure!
 
😝😝😝😝 Kiswahili cha wapi hiki ndio maana nikasema Wakenya mnatuharibia Kiswahili sanifu mtuachie Kiswahili chetu.

Gatuzi ni kupeleka, kuhamisha, kuteremsha madaraka, mamlaka, kwa maana ya fedha, rasilmali watu, nyenzo, technologia n.k.

State sio jimbo "HEAD OF STATE" "Mkuu wa nchi"😛😛😛 Hakuna kiswahili cha Kaunti kwenye kamusi ya Kiswahili Sanifu haipo. (BAKITA) wenyewe hawajui Kinachotambulika ni hiki 👇

County= Jimbo. Mfano kwa kiingereza ukitaka kusema "Jimbo la Geita vijijini" hauwezi kusema "GEITA VILLAGE STATE" hiki sijui kitakuwa kiingereza cha wapi inatakiwa isemwe hivi "GEITA VILLAGE COUNTY"

Wakenya Kiswahili chetu mtuachie
kumbe wewe hujui kiswahili..unapiga kelele tu...nipe maana ya
STATE....
COUNTY...

Alafu hayo maelezo yako..ilikuwa unamaanisha ugatuzi..wala si gatuzi..

sasa nionyeshe aisee katika kamusi ya kiswahili..
 
kama kiswahili chenu ni kile anachoongea nkirote. Basi mmefeli
 
Mara nyingi tunawaambia humu kwamba sisi Wakenya tunakipenda Kiswahili, ndio lugha yetu ya taifa inayotambulika kikatiba, tunakitumia mitaani na kote kote, sema ni ile hatuna ubumbumbu wa kujifungia kwenye lugha moja.
Tunatumia Kiswahili, Kingereza na lugha zetu za asili. Leo Kiswahili kinazagaa dunia na kupata umaarufu kwa ajili ya jitihada za Wakenya, tunakitangaza na kukipigia debe lakini pamoja na hayo tunaonyesha umahiri mkubwa kwa kumudu lugha zingine.
Utafiti wa sayansi ulishabaini kwamba ujanja wa kuongea lugha zaidi ya moja hupanua hata uwezo wa kutumia ubongo na kufikiria.

Afrika Kusini wamesaini makubaliano na Kenya ya kuanza kufundisha Kiswahili kwenye mtaala wao, hapo tayari maelfu ya Wakenya watahitajika kwenda kukifunza, ikumbukwe kule Uchina na Japani Wakenya ndio wanafunza Kiswahili kwenye vyuo vyao.

Waziri wa elimu wa Afrika Kusini yupo Kenya na amehudhuria utiaji saini wa hayo makubaliano.
------------------------------------------

zytgdhsdkzc2ub3dkz725cde613696019.jpg

Principal Secretary for Early Learning and Basic Education, Dr. Belio Kipsang, Cabinet Secretary for Education Prof George Magoha (C) and South African Minister for Basic Education Angelina Matsie Motshekga. [Photo: Courtesy]


South Africa will teach Kiswahili in her Educational System after signing an agreement with Kenya
This precedes yesterday’s meeting in which Cabinet Secretary of Education Prof George Magoha and South African Minister for Basic Education Angelina Matsie Motshekga signed a Memorandum of Understanding for the respective countries.


The Signing of the MOU paves way for the introduction of Kiswahili teaching in South Africa, which will add to the bulk of many languages taught in the country.


Speaking at his office in Jogoo House, Nairobi, after signing the MOU; Prof Magoha lauded the development as a step forward to strengthen collaboration between the two countries.
Motshekga on the other hand said that 40 per cent of learners in South Africa are currently are either learning or speaking Kiswahili. This, she said would be beneficial to developing country’s educational system.

Ngoja mkawafundishe broken Swahili baada ya muda watagundua mmewaingiza chaka kama ambavyo mliwaingiza chaka Microsoft mpaka wakasitisha mkataba. Baada ya muda Wakenya mtajulikana kwa utapeli.
 
njoo katika forum ya mombasa toa donge lako na hicho kiherehere cha kwamva wajuwa kiswahili au na hayo makosa yako ya kijinga..hku utakimbia..kila mtu anapiga kiswahili safi kabisa...hamna cha samani,zahabu,mara siliazi,lamani...
Wajuwa [emoji777]
Wajua [emoji736]
 
Ngoja mkawafundishe broken Swahili baada ya muda watagundua mmewaingiza chaka kama ambavyo mliwaingiza chaka Microsoft mpaka wakasitisha mkataba. Baada ya muda Wakenya mtajulikana kwa utapeli.
wakenya kw kiswahili mambo mbaya...angalia tayari waandishi wa fasihi ...alafu angalia kenya..mara nyingi shule ambazo zinaongoza kiswahili kitaifa mara nyingi hazitokei pwani...kuna tofauti ya kujua kuongea kiswahili,na kufunza bro..wakenya inapokuja ishu ya kusoma kiswahili wapo makini...jamaa li bara halijui kuongea kiswahili lkn njoo kwnye mtihani anvyo wachakaza wapwani darasani
 
Back
Top Bottom