kotinkarwak
JF-Expert Member
- Aug 5, 2010
- 376
- 115
Je Watanzania, are we ready for mabadiliko katika sekta ya Elimu??? au bado tunataka tupotee zaidi kabla ya kuanza kuitafuta njia kwa gharama kubwa kuliko ilivyo sasa???
Nadhani tumeshapotea kiasi fulani na mabadiliko yanayoweza kuipa challenge sekta ya elimu ni kutumia ujanja wa ICT kutoa elimu, kwani hii fursa inaweza kuwa nafuu zaidi katika kutoa elimu bora, hapo kuwawezesha hata watoto wa familia zisizokuwa na uwezo zaidi kuifaidi elimu.
Kumbuka, vigezo vya bei mbaya katika ST Fulani ni kuwa, wanao walimu bora, mazingira bora na pengine kuwa na hii mpya ya ICT classes. Mkongo wa fibre umesha tandazwa nchini kwa hiyo iwe ndio njia mbadala ya kutoa elimu. Katika hili sidhani kama ishu ni nani wa kutoa elimu, serikali inao uwezo wa kutayarisha elimu kwa njia hii au tuitupie mguvu kazi ya open amrket kufanya kweli?...