Shule za English medium za serikali

Changamoto za shule hizi ni kupata nafasi., zimetawaliwa na rushwa sana .
Pili zina wanafunzi wengi sana mtoto anatakiwa awe na uwezo wake tu maana walimu hawana uwezo wa kumudu kufundisha na kieleweka vizuri idadi kubwa ya wanafunzi
Tatu kwa dar shule hizi karibu zote zipo city centre , ili mwanao asome vizuri inabidi uwe unaishi ¹maeneo karibu na mjini la sivyo mtoto atataabika sana usafiri .
 
Tanga mjini ziko mbili mwaka huu imeanza mpya ya tatu. Ada zinalipwa ila ni affordable
 
Nilisoma olympio kipindi hicho ada ili kuwa elf 50 tu ambayo elf 25 sikumbuki ilikuwa ya nini na elf 25 nyingine ndio ilikuwa ada, nilisoma na wahindi plus wazungu wa somali na nilikuwa natokea mbagala ila nimepita kipindi flani hapo nadhani 2022 kuna maswala flani nilikuwa nafuatilia nikauliza hivi bado Hawa ndugu zetu wahindi na wazungu wanasoma hapo jibu nililopata ni hapana kwa sasa ni ngozi nyeusi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…