we mwenyewe nasoma naona unapuyanga tu hukutoa conclussion. Hizo shule ndio nyingi kulinganisha na hizo zako. Hizo shule zako ni mpya ndio maana unaziona ni bora kwa vigezo vyako, why unakuwa radical criticised na shule za umma ambazo ndio nyingi?Bado comments zako ni za kupuyanga. Soma tena uzi wangu
Haya naona hautuelewaniwe mwenyewe nasoma naona unapuyanga tu hukutoa conclussion. Hizo shule ndio nyingi kulinganisha na hizo zako. Hizo shule zako ni mpya ndio maana unaziona ni bora kwa vigezo vyako, why unakuwa radical criticised na shule za umma ambazo ndio nyingi?
Hizo sio shule bali ni vituo vya kufanyia mitihani.Ukitaka kujua ubovu wa elimu ya Tanzania take a time mara moja moja upite ukague mazingira ya shule hizi.
1 Shule hazina usimamizi hata kidogo, hata uliopo ni mbovu kupindukia.
2. Wanafunzi hawajui wanafika saa ngapi shuleni
3.Ukikaa karibu na shule huwezi kuelewa mda wa mapumziko na mda wa darasani ni upi
4. Makele darasani ni ya kutisha
5. Watoato wanzagaa kwenye vibanda vya mangi kununua sambusa mda wote
6.Watoto wanazurura sana.
7. Vibinti vya secondary vingi ni malaya na vijana wa kiume wanavaa hovyo hovyo
kiufupi hizi shule hazina usimamizi na zimetelekzwa sijui watoto huko huwa wanasoma nini?
ni aibu na inatia huruma kwa hawa watoto maana naona kama wametelekezwa au kutupwa
Ushauri wangu
1. Shule ziwe na uzio
2. Kila shule Pawepo walimu wa nidhamu kuismamia tabia na mienendo ya wanafunzi tu.
3. Ukaguzi lazima uwepo kuhakikisha walimu wanatimiza wajibu wao
St Kayumba ya sasa na ya miaka ya 80/90 ni vitu viwili tofauti kabisa
Poleni watoto wa St kayumba
ChaiChuo kikuu wote waliojazana kusoma degee wote ni shule za private? Kaangalie wajiunga chuo.kikuu cha Dar es salaam
Shule za private ni asilimia ndogo sana wengi wanatoka shule za Serikali
Jaribu ku comprehend mambo, hakuna namna kila kitu kinaweza kuwa at par. Never on the earth, so does the heavens.We ushauri wako ni upi? Siku hizi Walimu shule wanazofundisha watoto wao hawasomi hapo what do you expect? Hata mtoto wa diwani humkuti st kayumba
Advance hasa special school wengi wanatoka private, wala sio uongo.Sikia nikwambie,
Wanaoingia chuo mostly wametoka form 6,waliingia form 4 katika shule za serikali kupitia private schools (fuatilia mwaka jana tabora boys form 5, 60%walikuwa private).
Hao wana pesa, wanasoma tuition za gharama ile likizo ya form 4.
Mwalimu wa shule ya serikali katika special school ana mchango mdogo sana katika ufaulu wa mwanafunzi.
Even though,huwezi ukasifia shule moja ya serikali wakati kuna shule 99 zinazofanya vibaya.