Shule za sekondari wilaya Uyui upande wa ulyankuru tabora Kuna shida kubwa

Shule za sekondari wilaya Uyui upande wa ulyankuru tabora Kuna shida kubwa

kasumbiresa

Member
Joined
May 25, 2023
Posts
18
Reaction score
4
Shule zilizipo tabora wilaya Uyui Zina shida kubwa sanaya kiongozi kutokana walipoewa uongozi kutokuwajibika jinsi inavyotakiwa, Kuna shule za upande wa uelekeo wa ulyankuru Kuna shida kubwa sana kitaaluma na za kiongozi Kuna wakuu wa shule wapya wanawake wamehongwa nafasi za ukuuu wa shule, wamebakia kuleta majungu kazini, Kila siku kesi kusuluisha, serikali iondoe watu Hawa kwani ndio wanaorudisha taaaluma nyuma, mfano Kunaujenzi wa maabara ulitokea watu walitaka kumalizana full majungu, sijawahi kupna wakuuu wa shule hawajiwezi kwa lolote kama hao, wanabebwa na mabwana wao walioko halmashauri.
Kuna sekondari kama 3 ziko uelekeo wa ulyankuru ni hatari Kila siku ni kesi majungu umbea ndio vimetawala ofisini
 
Shule zilizipo tabora wilaya Uyui Zina shida kubwa sanaya kiongozi kutokana walipoewa uongozi kutokuwajibika jinsi inavyotakiwa, Kuna shule za upande wa uelekeo wa ulyankuru Kuna shida kubwa sana kitaaluma na za kiongozi Kuna wakuu wa shule wapya wanawake wamehongwa nafasi za ukuuu wa shule, wamebakia kuleta majungu kazini, Kila siku kesi kusuluisha, serikali iondoe watu Hawa kwani ndio wanaorudisha taaaluma nyuma, mfano Kunaujenzi wa maabara ulitokea watu walitaka kumalizana full majungu, sijawahi kupna wakuuu wa shule hawajiwezi kwa lolote kama hao, wanabebwa na mabwana wao walioko halmashauri.
Kuna sekondari kama 3 ziko uelekeo wa ulyankuru ni hatari Kila siku ni kesi majungu umbea ndio vimetawala ofisini
Mkuu, mbona umeandika uzi kama unakimbizwa?

Tulia utiririshe facts zako kwa aya, ukiambatanisha na ushahidi (kama upo) ili tukuelewe ndio tuchangie.
 
Wee ni me au ke??.jinsi ulivyoandika huwezi kueleweka elezea shida nin kilichopo au Wana tatizo gani,wee umeng'ang'ania Wana majungu wamewekwa na mabwana zao..umeandika kama mtu mwenye wivu wao kiongozi hujaeleweka
 
Wee ni me au ke??.jinsi ulivyoandika huwezi kueleweka elezea shida nin kilichopo au Wana tatizo gani,wee umeng'ang'ania Wana majungu wamewekwa na mabwana zao..umeandika kama mtu mwenye wivu wao kiongozi hujaeleweka
Nitashusha nondo tulia
 
Back
Top Bottom