Sasa ww jamaa watu8 nasikia ni Dokta, na mida mwingi uko humu unatibu sa ngapi? Na u-kipaji maalumu hivi huwa ni class tu mbona humu Jf na mitaani no clear line kutenganisha l & t?
Dhumuni lake ni kukuza vipaji
Kama vipaji gani?
Na,je!
Lengo hilo linatekelezwa?
Kama vipaji gani?
Na,je!
Lengo hilo linatekelezwa?
Tembelea shule moja wapo, jaribu kupiga story na denti yeyote wa hapo ni rahisi tu ikiwezekana ongea pia na ticha wa taaluma mbona majibu yote utapata. Utaambiwa namna wanavyoandaliwa kulingana na uwezo wao walionao
Tupe tathimini yako basi. Angalau tuwe na mwanga kutokana na uhalisia wa ulichokiona na kukiishi huko ilboro
Si Ilboru,ni Mzumbe na Kibaha.
Maisha yangu huko ndio yaliyo nifanya nilete mada hii.
Kabla sijatoa tathmini yangu,naomba unijibu basi maswali ya kwenye mada Jile79
Sasa ww jamaa watu8 nasikia ni Dokta, na mida mwingi uko humu unatibu sa ngapi? Na u-kipaji maalumu hivi huwa ni class tu mbona humu Jf na mitaani no clear line kutenganisha l & t?
Katika hizo shule wengi wao wana vipaji vya kubeba maandishi/kukariri kwa kiwango kikubwa sana.
Ni wachache sana wameweza kuja na maarifa au vitu vipya kuonyesha wao wana vipaji bada ya kumaliza hizo shule.
Huo ni ushuhuda wang kwa miaka niliyosoma huko.
lengo takikana hilo unalojua wewe ni lipi?
Nifahamishe.
Huwezi kuanzisha shule zinazo kusanya watoto walio perform vema la saba au fm 1V,ukawaweka pamoja bila kuwa na lengo maalum!
Nadhani hawa walikuwa waandaliwe kuwa watu "maalum" katika nchi yetu kwa sekta mbalimbali!
Sasa,swali ni,unadhani lengo takikana linafikiwa?
Lengo la kuwa na shule hizo ni zuri kwa maana ya kuwaweka watoto wenye vipaji maalum kama vile vya ubunifu ili waweze kuwa pamoja na kushirikiana katika kubuni vitu. Tatizo lililokuwepo kwenye ni jinsi ya kuwapata kwa kutumia matokeo ya mtihani wa kuandika tu, ingekuwa vizuri kama watoto wangechunguzwa vipaji vyao halsi tangu shule na aina ya maisha wanayoishi nje ya shule, kwa kutumia ufaulu wa mtihani kama kigezo, kuna uwezekano wa kuchukua mtoto aliyeba mtihani kwa hiyo yeye kipaji atachokuwa nacho ni cha wizi wa mitihani na atakapokuwa mkubwa na kuajiriwa sehemu ataendeleza kipaji chake kwa kuiba mali ya uuma na kuwa fisadi.
Wapo kaka,kuna madogo nilipata wasikia kwenye Mahafali ya kidato cha Sita Ilboru sek.
Walichukua tuzo ya ubunifu katika uhifadhi wa Mazingira na shindano lilikuwa la Wanafunzi wanaosoma Sayansi tu.
Well,ni kipaji,
ila jaribu kuangalia shule kama Marian Girls,Feza boys na St.Francis,
wanafaulu vizuri mitihani,na mazingira bora yamewekwa kukuza vipaji vingine kama michezo n.k.
Ukiangalia vema maisha ya wanafunzi wa special schools,wanatumia karibu masaa 18 had 20 in a day just studying hard [KUTOBOA].
I wonder kama ndio lengo kuu la kuanzishwa kwake.