data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Sasa ww jamaa watu8 nasikia ni Dokta, na mida mwingi uko humu unatibu sa ngapi? Na u-kipaji maalumu hivi huwa ni class tu mbona humu Jf na mitaani no clear line kutenganisha l & t?
hata Bonta wa River Camp ni Doctor.,,lakini ana muda wa kuandika mashairi na kwenda studio achilia mbali kupiga show..ni kipaji maalum pia,,multi-talents,, so is watu8 ,,kila uzi lazima atupie.
Last edited by a moderator: