Thomas Brown
JF-Expert Member
- Jan 25, 2025
- 344
- 856
Eti wadau kuna baadhi ya shule zipo kwa ajili ya wanaume pekee au wanawake pekee.
Lengo ni nini??
Lengo ni nini??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtueleze umuhimu wake sisi ambao tumesoma unisex.Tuliosoma shule mchanganyiko tunaelewa umuhimu wake na tunajua athari za shule za jinsia moja tu
hayo mambo yako wazi haina haja ya kuyaelezaMtueleze umuhimu wake sisi ambao tumesoma unisex.
Kwa kweli mkuuNi upuuzi mtupu
Kivipi mkuu?Kwa kweli mkuu
Kwani kuna sehemu nimesema shule za jinsia moja zinapunguza kitu??Kivipi mkuu?
Mi nimesoma Azaboys na mbona sijaona nilichopungukiwa?
Ila umekubali ya kuwa shule za unisex ni upuuzi.Kwani kuna sehemu nimesema shule za jinsia moja zinapunguza kitu??
Ni upuuzi mtupu
Kwa kweli mkuu
Ila sijasema kuwa zinapunguza kituIla umekubali ya kuwa shule za unisex ni upuuzi.
Wana lengo zuri lo hayo mengine ni ya waja
Mchanganyiko ndiyo bora zaidi...Wana lengo zuri lo hayo mengine ni ya waja
Unapenda tu kuona warembo lo😊Mchanganyiko ndiyo bora zaidi...
Fahari ya macho, kazi na dawa...Unapenda tu kuona warembo lo😊
Huendi mbinguni walahi!Fahari ya macho, kazi na dawa...