Shule za wanaume/wanawake pekee. Lengo ni nini?? Does anybody know??

Wanawake wasumbufu sana nafikiri ni kuondoa hiyo hali.Pia kuna jamaa alikuwa anasema shule hususani za wanafunzi wa kiume tupu,ufaulu wake huwa juu sana karibu dunia nzima sina uhakika kwa hili kulinganisha na mchanganyiko .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…