Mimi na wewe pepo yetu...Huendi mbinguni walahi!
Jibu zuriKulinda mahusiano na mmomonyoko wa maadili.
Mimi ni Mnyaki wa KyelaMimi kuwa mke kwa mchaga?
You can't be serious Boss!
Hata kwa shule zisizo za kibiashara kama za serikali??Lengo kuwa tofauti sio kila biashara iwe ya aina moja
Eti wadau kuna baadhi ya shule zipo kwa ajili ya wanaume pekee au wanawake pekee.
Lengo ni nini??
Hata kwa shule zisizo za kibiashara kama za serikali??
Sawa mke wanguZile ni kuchagua tu maana kwenye maisha kuna kula ugali,pilau au chips chaguo lako tu mkuu