Shule za wanaume/wanawake pekee. Lengo ni nini?? Does anybody know??

Single huongeza umakini kwenye masomo lakini hupunguza namna ya kuchangamana na jinsi nyingine once unapomaliza na kumbuka balehe hukukuta ukiwa shule, pia madhara huleta michezo mibaya kama kujichua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…