GJHariohay
JF-Expert Member
- Oct 24, 2013
- 1,041
- 1,160
Hahaha kweliat your own risk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha kweliat your own risk
Hahahaha
Naomba ubuyu
Ahahhaah asante mwifwaHongera sana
Dadaa. Njoo kule mambo ni [emoji91] [emoji91] [emoji91]Ebu acheni wivu jaman kwani Genta hatakiwi kupenda na yeye ana moyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na me ndio nilichokumbuka na mapovu niliyotoa yaan unanifanya nacheka kama chiziHahaaa. Dada nimekumbuka ile siku alivyosema tusubiri masaa sita tukasema hatuwezi acha usingizi kumbe ulikuwa wewe dada lol.
Kila la kheri kwa moyo mmoja, nakuomba ututamkie hapa barazani kwamba umempokea ndugu yetu GENTAMYCINE ili awe na amani.Ameen
Ahhahh sasa Genta atakubali kuwa mume wa pili si unajua wa kwanza ni Baba DMrs.Genta ndani ya nyumba[emoji23][emoji23]
Hongera maa kwa kudondokewa na Genta.
KhaaaaMwaka unamwendea vibaya huu
Atafute magadi na maji ya bahari aogee maana kama kwao kuna wasichana wengine hii gundu/nuksi itawaandama
Bora aje kuukataa huu upendo hadharani
AhahahahSie wataalam ikikupata badala ya kuizuia unafungua kidogo mdomo unahema taratibu hata ikikuponyoka inakua kama sub woofer
Usiogope mkuu jiamini we ni mwanaumemkuu umetuonesha njia wengine tuliekuwa tunaogopa kupiga sound hapa jamvini
Atakuwa amelala saa hizi....timezone era [emoji38][emoji38][emoji38]Hachelewi yule jamaa ohooo[emoji13] [emoji13] [emoji13]
AhahahahAfadhali umefika. Moyo wa Genta utulie
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nakuona ujue. Mie sitii neno.
Sijui baba D akija patakuwaje hapaAhhahh sasa Genta atakubali kuwa mume wa pili si unajua wa kwanza ni Baba D
Hahahahaaa. Tucheke tu dada sababu siku zote tusililojua huwa ni kama usiku wa kiza.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na me ndio nilichokumbuka na mapovu niliyotoa yaan unanifanya nacheka kama chizi
weka dau ugombanie chombo hicho!!Huu uzi unaniumiza kichinichini. Kama Sir Nature, inaniuma sanaaaaaa
Ahahhaha jaman ngoja akubali kuwa mume wa pili akitoka Baba DMrs G mwenyewe