Shunie kuanzia leo jiite rasmi Mrs. GENTAMYCINE kwani umeuteka moyo wangu kunakotukuka

Shunie kuanzia leo jiite rasmi Mrs. GENTAMYCINE kwani umeuteka moyo wangu kunakotukuka

Nafanya mazoezi ya kucheza ujue[emoji23][emoji23][emoji23]
Dada kapata mume
79db1cb441905509853cab7bf78d95f8.gif
upo wew miss san wew
 
Huna uhakika yani 'coz 1st paragraph unasema hata akiwa mchawi au amewah kuwa na wapenzi kama mabehewa then hapohapo 2nd paragraph unajipa credit kuwa hukoseagi kuchagua vitu vizuri sahihi na makini!

Iz iti kam kam kweli? You're not serious if not sure bro.
 
Huyo Mwanamke nampenda sijapata kuona na haijawahi kutokea. Ila hata yeye pia huko alipo au salamu hizi zikimfikia itabidi afurahi kwani amepata dhahabu halisi kabisa hivyo Kazi Kwake tu kuitunza na kuhakikisha kwamba haitamaniwi na wengine ambao usiku na mchana walikuwa wanaota Kupendwa na GENTAMYCINE ila bahati mbaya sana moyo wangu haukuwaona kama ambavyo kila uchao ulikuwa ukimwona tu Shunie.

Umechelewa Braza
Mimi ndio Namkaa huyo Chick.
Shunie Love uwe na usiku mwema...
 
Huyo Mwanamke nampenda sijapata kuona na haijawahi kutokea. Ila hata yeye pia huko alipo au salamu hizi zikimfikia itabidi afurahi kwani amepata dhahabu halisi kabisa hivyo Kazi Kwake tu kuitunza na kuhakikisha kwamba haitamaniwi na wengine ambao usiku na mchana walikuwa wanaota Kupendwa na GENTAMYCINE ila bahati mbaya sana moyo wangu haukuwaona kama ambavyo kila uchao ulikuwa ukimwona tu Shunie.
Da, Genta unatisha ni sawa na kutongoza sokoni tena kwa loud speaker. Haya mzee kama utakubaliwa usisahau kunipa kadi ya mwaliko wa harusi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana Genta kwa hiyo ule uzi uliokeshesha watu usiku wa manane ulikuwa unanihusu jaman shunie mm kupendwa na Genta [emoji4][emoji4] asante kwa kunipenda si unajua vile nilivyo shabiki wako toka sijawa member jf nafatilia thread zako na baadhi ya michango yako

Kupendwa na Genta jf na thread juu kukufungulia si jambo la mchezo mchezo [emoji7][emoji7] nakupenda pia sasa utakubali kuwa mume wa pili jaman[emoji39][emoji85][emoji85]
Mume mwenza... Atakubali tu
 
Neno "-TUKUKA" unalipenda sana, post zako au comments zako nyingi lazima liwepo.
Tutakupa jina sasa, tutakuwa tunakuita Mzee wa KUTUKUKA.
 
Back
Top Bottom