Shunie kuanzia leo jiite rasmi Mrs. GENTAMYCINE kwani umeuteka moyo wangu kunakotukuka

Shunie kuanzia leo jiite rasmi Mrs. GENTAMYCINE kwani umeuteka moyo wangu kunakotukuka

Acheni kumkatisha tamaa mwenzenu. Kila mtu Mungu amempangia riziki yake na namna ya kuipata, kwani GENTAMYCINE akimmiliki mtoto Shunie atakuwa amevunja ibara gani ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar? Au huyo anaye mmiliki ana kipi cha zaidi ambacho mkuu GENTAMYCINE hana? Au ya kwake ina AC ndani? Mkuu GENTAMYCINE kila la heri nakuombea ufanikiwe! Na wewe Shunie usomapo uzi huu usifanye moyo wako kuwa mgumu, tazama GENTAMYCINE anabisha hodi, endapo utafungua mlango wa moyo wako, basi ataingia kwako na kufanya makao
 
Mkuu Kuna Mdada humu alikuwa anakuzimikia Balaa,

Tangu ulivyotaja Kwenye ule Uzi uliopita Kuwa Luna MTU unamzimikia Kuna comments Aliitoa Mzigua90 kuwa

Anapenda Mkaka wa Kikurya na Akatoa sababu kuwa anapenda mkurya kwasababu anapenda zile Amsha Amsha,mapenzi Au Shoo za Kibabe...naomba aje hapa Akiri!
Si awe nao wote wawili tu?
 
Acheni kumkatisha tamaa mwenzenu. Kila mtu Mungu amempangia riziki yake na namna ya kuipata, kwani GENTAMYCINE akimmiliki mtoto Shunie atakuwa amevunja ibara gani ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar? Au huyo anaye mmiliki ana kipi cha zaidi ambacho mkuu GENTAMYCINE hana? Au ya kwake ina AC ndani? Mkuu GENTAMYCINE kila la heri nakuombea ufanikiwe! Na wewe Shunie usomapo uzi huu usifanye moyo wako kuwa mgumu, tazama GENTAMYCINE anabisha hodi, endapo utafungua mlango wa moyo wako, basi ataingia kwako na kufanya makao
Hahahaaaaaaa eti AC aiseee
 
Shunie dada njoo huku.

Ila Shemeji kabila lako lantisha sababu sie Watanga tumezowea kudekezwa sasa utaweza kumdekeza dada au ndio kila siku utampa kipigo.

ukhuty njoo huku dada kadondokewa.
nimekuja dada angu shunie mdogo wangu mambo ndo hivyo tena shemeji karibu san tanga
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana Genta kwa hiyo ule uzi uliokeshesha watu usiku wa manane ulikuwa unanihusu jaman shunie mm kupendwa na Genta [emoji4][emoji4] asante kwa kunipenda si unajua vile nilivyo shabiki wako toka sijawa member jf nafatilia thread zako na baadhi ya michango yako

Kupendwa na Genta jf na thread juu kukufungulia si jambo la mchezo mchezo [emoji7][emoji7] nakupenda pia sasa utakubali kuwa mume wa pili jaman[emoji39][emoji85][emoji85]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usiniangushe tafadhali
 
Uwe labda umeshawahi sijui Kutongozwa humu au huko barabarani au hata kuwa na Mahusiano na Watu wenye Idadi kama Mabehewa yote ya Treni ya Bara au hata kama una mapungufu yako yoyote au hata kama Wewe ni mchawi / kigagula ila leo nikuambie tu rasmi kuwa katika Members wa JamiiForums ambao natamani sana siku moja Mimi na Yeye tusimame Madhabahuni tukiwa tunafunga Ndoa yetu ni Wewe uitwae Shunie.

Nina sifa moja kubwa kama pia si zawadi niliyopewa na Mwenyezi Mungu ya kujua sana kuchagua vitu vizuri, sahihi na makini na kamwe sijawahi kukosea hivyo nakuomba popote pale ulipo kuanzia sasa tena ikibidi ringa na tamba kabisa huku ukijiita Mrs. GENTAMYCINE kwani Moyo wangu Kwako umeshakufa Kitambo hivyo Kazi Kwako Wewe tu Kuuzika.

Bahati nzuri sijawahi Kumtongoza Mwanamke yoyote humu Jamvini tokea nijiunge rasmi hivyo asikutishe ' Kinyankera ' yoyote kuwa sijui nimeshawahi kumtokea au kumbandua / kumbaioloji ila Wewe ndiyo wa Kwanza hivyo jiamini huku ukitembea kifua mbele kuwa Wewe sasa ndiyo Mrs. Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer.

I love you so much Shunie mwaaaaaaaahhhhhhhhhh.....pokea rasmi hilo busu langu la thamani kubwa lililojaa ' mahaba ' ya Kimataifa.

Penzi ni Kikohozi na kulificha siwezi.

Nawasilisha.
Mtoto mkali kama Shunie hawezi kwenda kwa mwanaume mmbeya namna hiyo
 
Back
Top Bottom