DJ SEPETU
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 8,413
- 12,336
Mkuu usijisumbue huyu ni zwazwa la ccmMkuu punguza pumba kidogo huyo mke wa mtu tafadhari
Hivi alishaona wapi mke anafanyiwa collaboration!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usijisumbue huyu ni zwazwa la ccmMkuu punguza pumba kidogo huyo mke wa mtu tafadhari
Asante kwaa taarifa kumbe majamaaa ya buku saba ndo linanisumbua kichwa ....Mkuu usijisumbue huyu ni zwazwa la ccm
Hivi alishaona wapi mke anafanyiwa collaboration!!?
Naona unakipangia Kifo foleni Mkuu.
[emoji23] [emoji23] tena Siku hizi buku 3 tuAsante kwaa taarifa kumbe majamaaa ya buku saba ndo linanisumbua kichwa ....
Shwaiiiiniiii zakeee
Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
Kama mashavu ya yamelegea mpaka kuziba tobo je!!Hata kama ni wa 23 nipo tayari Baby Shunie cha msingi ' Mbunye ' isiwe tu imechoka na kufubaa.
Hahahaha....Unauliza matako Bafuni?
Wakati wa masika huwa napotelea shambani mkuu wangu, sasa nimerejea comradeJamaa yangu ulikwenda wapi
Vipi tena umejitoa mbio za kijiti?Dah! Tatizo ni kwamba, tunapangwa foleni. Mie kama Buldoza Ariel Sharon nimeamua kukuachia mkuu wa kikosi kwa heshima, hatuwezi kujiweka sehem moja.
Vipi tena umejitoa mbio za kijiti?
Hahahaha, uko unakosa uvumilivu mkuu, but nasikia ni murembo huyo mubintiFoleni imenishinda mkuu
Hahahaha, uko unakosa uvumilivu mkuu, but nasikia ni murembo huyo mubinti
Hahahaha, mutoto akiwa muzuri,wivu muhimu, sasa wajiweka kandoNna wivu sana mkuu, kuna wenzangu wa masai wazee wa kuweka mkuki mlangoni wanamoyo sana, moyo wangu mdogo kiongozi.
Hahahaha, mutoto akiwa muzuri,wivu muhimu, sasa wajiweka kando
Mkuu Kuna Mdada humu alikuwa anakuzimikia Balaa,' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer '.
Uwe labda umeshawahi sijui Kutongozwa humu au huko barabarani au hata kuwa na Mahusiano na Watu wenye Idadi kama Mabehewa yote ya Treni ya Bara au hata kama una mapungufu yako yoyote au hata kama Wewe ni mchawi / kigagula ila leo nikuambie tu rasmi kuwa katika Members wa JamiiForums ambao natamani sana siku moja Mimi na Yeye tusimame Madhabahuni tukiwa tunafunga Ndoa yetu ni Wewe uitwae Shunie.
Nina sifa moja kubwa kama pia si zawadi niliyopewa na Mwenyezi Mungu ya kujua sana kuchagua vitu vizuri, sahihi na makini na kamwe sijawahi kukosea hivyo nakuomba popote pale ulipo kuanzia sasa tena ikibidi ringa na tamba kabisa huku ukijiita Mrs. GENTAMYCINE kwani Moyo wangu Kwako umeshakufa Kitambo hivyo Kazi Kwako Wewe tu Kuuzika.
Bahati nzuri sijawahi Kumtongoza Mwanamke yoyote humu Jamvini tokea nijiunge rasmi hivyo asikutishe ' Kinyankera ' yoyote kuwa sijui nimeshawahi kumtokea au kumbandua / kumbaioloji ila Wewe ndiyo wa Kwanza hivyo jiamini huku ukitembea kifua mbele kuwa Wewe sasa ndiyo Mrs. Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer.
I love you so much Shunie mwaaaaaaaahhhhhhhhhh.....pokea rasmi hilo busu langu la thamani kubwa lililojaa ' mahaba ' ya Kimataifa.
Penzi ni Kikohozi na kulificha siwezi.
Nawasilisha.