GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #581
Nimejibu jaman genta atakubali kuwa mume wa pili
Hata kama ni wa 23 nipo tayari Baby Shunie cha msingi ' Mbunye ' isiwe tu imechoka na kufubaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejibu jaman genta atakubali kuwa mume wa pili
Hata sijakamatwa comradeUmekamatwa na jimama la kinyamwezi au kimanyema!
Si kwa utoro huu
Hata kama ni wa 23 nipo tayari Baby Shunie cha msingi ' Mbunye ' isiwe tu imechoka na kufubaa.
Kwa hiyo na mimi nirudishe majeshi ama?
Namba moja hukamati tenaHata sijakamatwa comrade
ni uamuzi tu mkuu, silali kifuani kwa mtuNamba moja hukamati tena
Au unalala kifuan[emoji23] [emoji23]
Basi amani comradeni uamuzi tu mkuu, silali kifuani kwa mtu
Nasikia mama zangu warangi wapo wengi kweli huko Musoma lakini wengine hawana masikio, wengine wana sikio moja moja mara hawana vidole yaani viungo vinavyojitegemea vipo nusu sasa huyu S. huyu aende kwa amani, na je una muhakikishiaje usalama wake maana Musoma sio pa kuingia hovyo hovyo? kwa kweli sina wivu maana muda wangu umepita wa hizi heka heka ila hata hivyo nawaombea dua lengo likamilikeNamkaribisha rasmi Mkoani Mara ( Musoma ), Lindi na Gisenyi nchini Rwanda. Na kuanzia leo nawaomba ' Poti ' zangu wote kutoka Mkoani Mara muwe mnamuheshimu Shemeji yenu Shunie na mumpe ushirikiano wenu wote mkiwa nae humu. Najipanga kufanya Sherehe kubwa kidogo ambayo inaweza ikatikisa si tu Tanzania na Rwanda bali hata na dunia nzima.
Na Harusi yangu au Mahusiano yangu na Shunie yasipofanikiwa hawa Watu watanikoma kwakweli kwani nawajua walivyo na husuda:
Leo Mwanamume nimesema ukweli japo najua watakaonuna ni lukuki / wengi.
- Wahaya ( Kagera )
- Waha ( Kigoma )
- Wanyiramba na Wanyaturu ( Singida )
- Warangi ( Dodoma )
Sasa kama inatumika kwa mumewe unadhani utaikuta haina alama!Hata kama ni wa 23 nipo tayari Baby Shunie cha msingi ' Mbunye ' isiwe tu imechoka na kufubaa.
poa poaBasi amani comrade
maneno ya wanawake hayo kidumee hutakiwi kuwa hivo Mkuu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] usimkatishee tamaaa mkuuu
Thanks Mr. GENTAMYCINE for giving us something to refresh this weekend. At least tuachane kidogo na zile mambo za kisiasa. Nice.
Hahahah shunie akubaliNipo tayari kuwa Mume wa Pili na hata ikibidi ' Kufariki ' kwa ajili yako Shunie. Mimi Kwako ni kama vile treni ya Bara ya TRL imefika Kituo cha mwisho cha Kigoma. Nakupenda hadi Mbinguni Kuume kwa Mungu Baba pamoja na Malaika wake Wakuu wawili Jibril na Mikaela wanajua.
haa hahaa haaaaShunie una mkosi gani huo? Unapendwa na jamaa zombi kama hili??
Kazi kweli kweliiiNaona una Kazi ya ziada kulinda mzigo
Mkuu punguza pumba kidogo huyo mke wa mtu tafadhariHata wa 17 nipo tayari Baby.