Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtaka yote kwa pupa......!!Yaaan si muelewi jaman anataka huku na huku
hongera kwa kumpenda motto wa mwanayamala, ushauri kutoka kwa mshana nao ni muhimuMimi niliyenaye ni mke wangu, sina wivu ila mtongozo wako umechelewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui ukoje
Muone kwanza
Baba D jaman we ndio mume nimemuuliza ataweza kuwa mume wa piliMama d mimi napitaa tu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hongera kwa kumpenda motto wa mwanayamala, ushauri kutoka kwa mshana nao ni muhimu
[emoji3][emoji3][emoji3]...ha hahahaha, anko, kuna tofauti ya mshika mapembe na mkamuaji, kwa sisi wafugaji tunaelewa na kuelewana
Eti binamu huyu kuna haja ya kumnywea bia ili tumuoneshe tofauti kati ya mke wa mtu na vimada wa mjini ??...ha hahahaha, anko, kuna tofauti ya mshika mapembe na mkamuaji, kwa sisi wafugaji tunaelewa na kuelewana
Hivi huyu si mwanaume wa dar ??Baba D jaman we ndio mume nimemuuliza ataweza kuwa mume wa pili
mmmh...mkurya anataka kuelekezwa kibra![emoji2] [emoji2]Jaman jaman kama umetokea kumkubali mdada fulani humu anza kumtumia muamala ulizia namba ya wakala wa mpesa jiran yake hapo alipo tuma kisha dondosha gazeti refu kama hili.
Haya genta jiongeze tuma hata vocha kwa shunie maana uzi unakimbia ila shosti angu MB zinamuishia bure bure wakati kuna mtu anamkubali na kuota ndoto kubwa kubwa.
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Hivi huyu si mwanaume wa dar ??
Anyway dear unajua ninavokuhamuu [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Kuna haja ya kurudi porini make hipo siku ntakuta na gudume ashakutaka[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Hapa ni chit chat baba angu uwe na amani zoteKuna haja ya kurudi porini make hipo siku ntakuta na gudume ashakutaka
Au ndo wa ubuyu?Hapa ni chit chat baba angu uwe na amani zote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu sioAu ndo wa ubuyu?
Ebhu sema ukweliii nijue[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu sio
Lee hawezi nitema[emoji3] [emoji3] [emoji3] chit chat bana ama kweli ni chit
Lee umetema mzigo nini