Shunie kuanzia leo jiite rasmi Mrs. GENTAMYCINE kwani umeuteka moyo wangu kunakotukuka

Shunie kuanzia leo jiite rasmi Mrs. GENTAMYCINE kwani umeuteka moyo wangu kunakotukuka

Gent asee we jamaa huwa nakuchukulia saba kama dingi flani ila mwenye vituko sana.

Ila fresh mchukue huyo mrax awe mama la mama maisha yaendelee kidizain
 
Duuh! Pole sana aisee. Hapo inabidi usiwe mvivu kula na kunywa maji kwa wingi ili dawa zisikupelekeshe.

Pole sana. Nina imani utakaa sawa soon.
Ahsante sana kwa ushauri na dua zako.
Nitayazingatia yote...Naziona baraka za Allah kupitia dua yako.
[emoji320]
 
Back
Top Bottom