Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na keshaniacha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na keshaniacha.
Ntakuja tangaPesa mbele kama tai. Hakuna mambo ya kukopana hapa
Karibu sanaNtakuja tanga
Ila usinikimbie!Karibu sana
Kwamba inaliwaga?ahh haahHii shemeji ya MSAGA SUMU au vipi?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] halaf nimefurahi umerudisha avatar ya zamani
Kwamba inaliwaga?ahh haah
Kwahiyo umeniacha?
Sawa shemeji. Nimejitolea kukufuta machungu naona hutaki.Nikyache vipi? Kwani tulishakua wote, ndio kwanza mchakato ulikua uaanza
Ahha hahBwana wee.. Kila upande naitwa shem ila cha ajabu kuna kipindi nnakua hubby..
Sikiambiagi watu mimi.Ila usinikimbie!
Sawa shemeji. Nimejitolea kukufuta machungu naona hutaki.
Ambe mkaruka! hilo litafanyika kwa umakini mkubwa 'poti'Namkaribisha rasmi Mkoani Mara ( Musoma ), Lindi na Gisenyi nchini Rwanda. Na kuanzia leo nawaomba ' Poti ' zangu wote kutoka Mkoani Mara muwe mnamuheshimu Shemeji yenu Shunie na mumpe ushirikiano wenu wote mkiwa nae humu. Najipanga kufanya Sherehe kubwa kidogo ambayo inaweza ikatikisa si tu Tanzania na Rwanda bali hata na dunia nzima.
Na Harusi yangu au Mahusiano yangu na Shunie yasipofanikiwa hawa Watu watanikoma kwakweli kwani nawajua walivyo na husuda:
Leo Mwanamume nimesema ukweli japo najua watakaonuna ni lukuki / wengi.
- Wahaya ( Kagera )
- Waha ( Kigoma )
- Wanyiramba na Wanyaturu ( Singida )
- Warangi ( Dodoma )
DaahUnauliza matako Bafuni?
Bangi ya wakurya haifai, jamaa fyatu kabisa[emoji23]Sijaweka alama ya kuuliza, hiyo ni sentensi ya kawaida na wala sio swali
Mkuu wewe ukitembea kwa road matako unayaacha bafuni?Kwani Wewe ukienda Kuoga huwa unaoga na Mchupi kama siyo Mboksa wako? Hii misemo huwa na dhana pana ila bahati mbaya ikikutana na Watu wenye akili za Ki ' Emolo ' na ' Jolly Bebe ' ndiyo huwa inakuwa tatizo na haieleweki.
Shem mwamhie Mzee sasa apunguze ukali.Pamoja kuwa yeye ni musoma tribe anaoa mkoa wenye ustaarabu mkubwa.Wakwe wataogopa kwenda Mara.[emoji3][emoji3][emoji3]
Mambo coco[emoji137] [emoji137]
Aisee umenipa mbinu maana Nina mpango Wa kukushushia bonge la makala!