Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,445
- 205,933
Amini mkuu huu uzi ukiufatilia utajua jinsi gani mwana alivyoumia viungo vyake vya mwili hasa vidole[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amini mkuu huu uzi ukiufatilia utajua jinsi gani mwana alivyoumia viungo vyake vya mwili hasa vidole[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jaman sasa ulitaka niongope nipo single na wakati uongoMpaka nakuogopa sasa [emoji38] [emoji38] yani hilo ni jibu zuri? nawaza ungemjibu vibaya sijui ingekuaje tu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Teh teh..Makabila mengine wanaruhusu..Kumbe we wa Tanga..Acha Genta apagawe
Wapi hubby?
Haya
Naomba ubuyu mie
Sawa bby.
Kwahiyo alitingisha kibiriti akakuta kimejaa? [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hivi kahamia kwa mziguaWe acha tu. Nimeambiwa eti ntakua spea taya sijui kidumu?
Ebu acheni uchonganishi jamanAmini mkuu huu uzi ukiufatilia utajua jinsi gani mwana alivyoumia viungo vyake vya mwili hasa vidole
Sawa shemela nitajioneaKwa kweli Ila
Kinyonga ni mtaratibu kwenye Amani shemelaaa
Eenh kila week moja kwa mwingineHahah!! Eti zamu
Utashindwaje sasa kutoniwezaHahaha
Sikuweeeziii
Sasa hivi kahamia kwa mzigua
[emoji125] [emoji125] [emoji125] aya tumeachaEbu acheni uchonganishi jaman
Nimeipenda hiyo... hahahEenh kila week moja kwa mwingine
Aisee umenipa mbinu maana Nina mpango Wa kukushushia bonge la makala!Jaman jaman kama umetokea kumkubali mdada fulani humu anza kumtumia muamala ulizia namba ya wakala wa mpesa jiran yake hapo alipo tuma kisha dondosha gazeti refu kama hili.
Haya genta jiongeze tuma hata vocha kwa shunie maana uzi unakimbia ila shosti angu MB zinamuishia bure bure wakati kuna mtu anamkubali na kuota ndoto kubwa kubwa.
Kwahiyo umeniacha?Hata huko nimeaga mashindano. Nimegundua nyie tabia zinafanana. Kupanga watu foleni
Na keshaniacha.Sasa hivi kahamia kwa mzigua
Asante kumbe muamala mbele ka tai!Anasubiri aombwe etii. Halafu wakitoka hapo wanasema wamawake wanaomba sana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] halaf nimefurahi umerudisha avatar ya zamaniHata huko nimeaga mashindano. Nimegundua nyie tabia zinafanana. Kupanga watu foleni
He he ndio muache[emoji125] [emoji125] [emoji125] aya tumeacha
Nimeipenda hiyo... hahah
Pesa mbele kama tai. Hakuna mambo ya kukopana hapaAsante kumbe muamala mbele ka tai!
[emoji3][emoji3][emoji3]Kwahiyo umeniacha?