DJ SEPETU
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 8,413
- 12,336
Sawa naingojeaSafi kabisa ngoja nitafute namba ya wakala wa mpesa ili utume pesa ya soda huku nikosoma hilo gazeti lako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa naingojeaSafi kabisa ngoja nitafute namba ya wakala wa mpesa ili utume pesa ya soda huku nikosoma hilo gazeti lako
*ivi Mkuu kwanini unapnda majib ya ovyo hivo?kwani hapo kulikuwa naulazima gani kumwita hopeless?Tafuta Kitabu cha Misemo na Nahau ukute maneno mengine zaidi ya hayo. Hopeless!
Shunie popote ulipo nimekupenda kunakotukuka Mama.
Hiyo namba ilitahiriwa na ganzi ndo maana dishi limeyumba!Bangi ya wakurya haifai, jamaa fyatu kabisa[emoji23]
Mkuu inabidi niazime hii lyrics aloo..I've been looking everywhere for you
Since the day we met
I've never been my old self again oh hoo
You don't have to believe in everything
I say right now
Cause to you I'm just another man
Until I prove myself to be
Worthy of your love you see
I'm not the kind of guy
That will bring you
Flowers everyday
I'm not the kind of guy
That will tell you
I love you in many fancy ways
Oh girl!
I've got to tell you this
I love you!
I want you
I love you!
I want you
Oh hoo hoo
[Chorus:]
I'm your Romeo
Could you be my Juliet
I know what women want
I've been around long enough
To understand it
But I want you to tell me
How to love you
'Cause I want to love you
The way you wanna be loved
It is better to have loved & lost
Than never to have loved at all
I'm not the kind of guy
That will bring you
Flowers everyday
I'm not the kind of guy
That will tell you
I love you in many fancy ways
But my girl
I've got to tell you this
I love you!
I want you
I love you!
I want you
I think I'll prove myself
To be worthy of your love
*wahiiiiiiiii kumbe unaishi maraa afu unakuwa na mdomo kama wakike axe mwanamme hawi hivi mana unamaneno kama wale wamama wa uswaziNamkaribisha rasmi Mkoani Mara ( Musoma ), Lindi na Gisenyi nchini Rwanda. Na kuanzia leo nawaomba ' Poti ' zangu wote kutoka Mkoani Mara muwe mnamuheshimu Shemeji yenu Shunie na mumpe ushirikiano wenu wote mkiwa nae humu. Najipanga kufanya Sherehe kubwa kidogo ambayo inaweza ikatikisa si tu Tanzania na Rwanda bali hata na dunia nzima.
Na Harusi yangu au Mahusiano yangu na Shunie yasipofanikiwa hawa Watu watanikoma kwakweli kwani nawajua walivyo na husuda:
Leo Mwanamume nimesema ukweli japo najua watakaonuna ni lukuki / wengi.
- Wahaya ( Kagera )
- Waha ( Kigoma )
- Wanyiramba na Wanyaturu ( Singida )
- Warangi ( Dodoma )
Deo kisanduHiyo namba ilitahiriwa na ganzi ndo maana dishi limeyumba!
Acha kujipaisha mkuu,,shunie mke wa MTU naalishawahi kusema wawapi we jamaaa?Yupo Chumbani Kwake analia kwa furaha sana kwani kumbe hata Yeye amekuwa akizunguka Makanisani kote kuomba tu aombewe ili aweze kuwa Mrs. GENTAMYCINE na hatimaye leo Mwenyezi Mungu amejibu maombi yake. Ashindwe mwenyewe. Kweli Mwanamke yoyote akimuomba Mungu kiukweli na kumaanisha basi hujibiwa pale pale kama ambayo Shunie amejibiwa.
maneno ya wanawake hayo kidumee hutakiwi kuwa hivo Mkuu.Wewe kwa Avatar yako tu hiyo yenye ' Msura ' mbaya utadhani ' Bundi ' anajisaidia haja kubwa unataka akupende nani?
Thnx Mkuu najaribu kupima uvumilivu wa Mkuu Gentamycine katika kujibu hoja mujarabu!This is JF and this is Chit-Chat.
Karibu sana mkuu!!
Namzingua Mkuu Gentamycine najua atapanic 🙂🙂Mkuu hii ni chit chat usijiumize kichwa bure
[emoji23] [emoji23] [emoji23] usimkatishee tamaaa mkuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana Genta kwa hiyo ule uzi uliokeshesha watu usiku wa manane ulikuwa unanihusu jaman shunie mm kupendwa na Genta [emoji4][emoji4] asante kwa kunipenda si unajua vile nilivyo shabiki wako toka sijawa member jf nafatilia thread zako na baadhi ya michango yako
Kupendwa na Genta jf na thread juu kukufungulia si jambo la mchezo mchezo [emoji7][emoji7] nakupenda pia sasa utakubali kuwa mume wa pili jaman[emoji39][emoji85][emoji85]
Hahaaaaaaa za dream imemwangukia shunie Sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23] ndio walewale wa prayer za dreams come true, acha waote tu jamaa Gentamycine kaamua aimwagilie kabisa ndoto yake iweze kuchipua
Wimbo unaitwa ...' i will be right here waiting for you'Wimbo unaitwaje mkuu?, nataka niutafute niwe nausikiliza mzee
cc. Vladimirovich Putin
Haaa hapana hilo jibu mpaka usingizi[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Unauliza matako Bafuni?
Mkuu inabidi niazime hii lyrics aloo..
Ahhha hhaa aisee,inabidi huwe nabii Tito tu hamna namnaMSAGA SUMU umejionea mwenyewe ndugu yangu. Haya mambo ndio yamenivuruga kabisaaaa
*mkuuu shunie hana chura kumbeTatizo hana chura![emoji28][emoji28][emoji28]
naanavyojuaa kupanic Yule jombaa axeeNamzingua Mkuu Gentamycine najua atapanic 🙂🙂
GENTAMYCINE Huyo mke wa mtu, huogopi?nikuambie tu rasmi kuwa katika Members wa JamiiForums ambao natamani sana siku moja Mimi na Yeye tusimame Madhabahuni tukiwa tunafunga Ndoa yetu ni Wewe uitwae Shunie.