Shunie kuanzia leo jiite rasmi Mrs. GENTAMYCINE kwani umeuteka moyo wangu kunakotukuka

Shunie kuanzia leo jiite rasmi Mrs. GENTAMYCINE kwani umeuteka moyo wangu kunakotukuka

Mie sijambo kabisa sijui wewe. Hatujaonana siku mbili tatu hivi kulikoni.

Kwema huko?
Kweli mkuu hizo siku chache ambazo hatujaonana ni kama miezi miwili aisee.
Mimi sijambo kabisa naomba hofu ikae mbali nawe mpendwa wangu.
 
Jaman jaman kama umetokea kumkubali mdada fulani humu anza kumtumia muamala ulizia namba ya wakala wa mpesa jiran yake hapo alipo tuma kisha dondosha gazeti refu kama hili.

Haya genta jiongeze tuma hata vocha kwa shunie maana uzi unakimbia ila shosti angu MB zinamuishia bure bure wakati kuna mtu anamkubali na kuota ndoto kubwa kubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui ukoje
Muone kwanza
 
Mkuu, hivi kumbe Carbamazepine ni dawa? Tena ya ku-relieve moods? Nilikuwa sijui. Asante kwa kunifungua macho. Ngoja niende Google...[emoji124]‍♂️[emoji124]‍♂️[emoji124]‍♂️[emoji124]‍♂️[emoji124]‍♂️
Nitaomba mrejesho wa google mkuu
 
Inaonyesha huyu Shunie ni mtoto mtamu sana, nitamuwahi Genta kabla hajamtia mikononi nimpige mti.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana Genta kwa hiyo ule uzi uliokeshesha watu usiku wa manane ulikuwa unanihusu jaman shunie mm kupendwa na Genta [emoji4][emoji4] asante kwa kunipenda si unajua vile nilivyo shabiki wako toka sijawa member jf nafatilia thread zako na baadhi ya michango yako

Kupendwa na Genta jf na thread juu kukufungulia si jambo la mchezo mchezo [emoji7][emoji7] nakupenda pia sasa utakubali kuwa mume wa pili jaman[emoji39][emoji85][emoji85]
Mama d mimi napitaa tu
 
Back
Top Bottom