Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Na kweli ishakutokea sasa iunge tu mkonoNdio inaitwa intamisheni kwenye sinema..naishuhudia ikinitokea mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kweli ishakutokea sasa iunge tu mkonoNdio inaitwa intamisheni kwenye sinema..naishuhudia ikinitokea mkuu.
AhahahhaNawazooom tuu
Mie tena jamani... Ujue sisemagi uongo eeeh
Kuna watu wanaheshimika kwa bahati mbaya hapa JF kama GENTAMYCINEAsante
Ameeen love [emoji8]Pamoja kwa shida na raha,JF na nje ya JF iwe full burudan kwa kusifiwa kivitendo.
Sweetheart hope upo shwari baridaniWaooooo shunie
Huu mwaka ni kupendwa tu na kupendana hadi raha
Wa mara mu wakarimu sana jamanKaribu sana shemelaaa
Hakuna tatizo jaman mwache anipende tuNdio maana nikampa pole maana najua mziki wa kupenda!
Je kuna tatizo kumpa pole mwenzangu?
Mpaka nakuogopa sasa [emoji38] [emoji38] yani hilo ni jibu zuri? nawaza ungemjibu vibaya sijui ingekuaje tuDavet jaman mbona nimejibu vizuri tu
Teh teh..Makabila mengine wanaruhusu..Kumbe we wa Tanga..Acha Genta apagaweSakayo dada angu sasa nimeshangaa uniambie nishare nae hivi angekubali kweli nikimwambia anisaidie nimezidiwa mzigua dada angu upande wa tanga wakunyumba
Vipi baba yeyooo
Jamaa yangu ulikwenda wapiGladness not Gradness
Kwahiyo alitingisha kibiriti akakuta kimejaa? [emoji23][emoji23][emoji23]Muulize sakayo ndio anajua ilivyokuwa aliniacha mbele za watu sakayo alimtania tu
Sawa bby.Pole baby..Si unajua baby wako ni mlokole mstaafu..Viwanja vingi havijui..Ngoja nigoogle basi,nisije kukuangusha na leo.
HahahaBaba yeyoo umesahau alinipa talaka mbele yako kama amenirudia anakuwa wa pili
HayaKweli haukunidanganya, nimeona tunavyowekwa foleni
Wapi hubby?Kweli haukunidanganya, nimeona tunavyowekwa foleni
Hahah!! Eti zamuHakuna shida akikubali anakaa kwenye foleni napanga zamu
Wa mara mu wakarimu sana jaman
Pole mwayaWe acha tu. Nimeambiwa eti ntakua spea taya sijui kidumu?